nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,408
- 2,196
Kumbe;Wewe ndio umekurupuka, hiyo post kai-edit baada ya kuona anakosolewa na ndio akaweka waziri mkuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hey! Sitembei na ibara wala vifungu vya sheria kichwani. Kama kuna niliyempotosha anisamehe, sitapotosha tena.Acha kupotosha ni ibara ipi inasema mmoja lazima awe mzanzibar.
Nadhani maoni yako yanaongozwa na chuki uliyonayo kwa CDM kuliko uhalisia.Zitto aliondoka CDM akiwa kwenye kilele cha umaarufu,akaanzisha chama akaingia kwenye uchaguzi 2015,akaambulia jumbo mmoja pekee la uchaguzi na kura za urais chini ya 5%,harafu unataka kutuaminisha kwamba huyu ana ushawishi mkubwa kiasi kwamba inabidi CDM wamuombe waungane nae.Tuwe serious kidogo basi,ukweli ni kwamba katika kadhia ile Zitto was the looser.Why not Tundu Lisu aungane na zitto?
Tundu Lissu ana kipi cha raia kumpa kura? Au kura za huruma??
Acheni utani
We warnes you kufukuza wale watu CDM ndio lilikuwa kaburi, mkatetea na kujiona wanababe
CDM imwombe zitto, na sio zitto ajilete.
Najua kuna watu wapo kazini kuhakikisha Membe anagombea urais kupitia ACT lakini siyo kwa maslahi ya taifa bali ni kwa maslahi ya CCM.
Nashauri ZittoTundu Lissu wapitie bandiko ili wafanye kitu kwa maslahi mapana ya upinzani kwa ujumla,nawahakikishia mtashinda.
Membe hawezi kushinda urais hata siku moja maana hatakuwa na back-up ya nguvu ya umma kama itakavyokuwa kwenu.
Najua kuna vijana wa Makumbusho wanakufata wakikwambia umchukue Membe ila nakuhakikishia wanakuingiza mtegoni kama ilivyokuwa kwa Lowassa na chadema. Lissu na wewe ndio mna % kubwa ya kushinda urais mwaka huu. Kubali uwe waziri mkuu, Lissu awe Rais.
Nyaraka zinawabeba otherwise msije kuwalaumu Watanzania.
Alianza uzi kwa mbwembwe hatimae umenywea kwa wanao jua katibaNajua kuna watu wapo kazini kuhakikisha Membe anagombea urais kupitia ACT lakini siyo kwa maslahi ya taifa bali ni kwa maslahi ya CCM.
Nashauri ZittoTundu Lissu wapitie bandiko ili wafanye kitu kwa maslahi mapana ya upinzani kwa ujumla,nawahakikishia mtashinda.
Membe hawezi kushinda urais hata siku moja maana hatakuwa na back-up ya nguvu ya umma kama itakavyokuwa kwenu.
Najua kuna vijana wa Makumbusho wanakufata wakikwambia umchukue Membe ila nakuhakikishia wanakuingiza mtegoni kama ilivyokuwa kwa Lowassa na chadema. Lissu na wewe ndio mna % kubwa ya kushinda urais mwaka huu. Kubali uwe waziri mkuu, Lissu awe Rais.
Nyaraka zinawabeba otherwise msije kuwalaumu Watanzania.
Mkuu, jamaa ame-edit post yake ya kwanza kwenye huu uzi na nimesema hapo juu.Mkuu umesoma vizuri bandiko hapo juu? Mleta mada hajasema Zitto awe Makamu wa Rais baada ya uchaguzi bali awe Waziri Mkuu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Tundu na zitto waungane!!Najua kuna watu wapo kazini kuhakikisha Membe anagombea urais kupitia ACT lakini siyo kwa maslahi ya taifa bali ni kwa maslahi ya CCM.
Nashauri ZittoTundu Lissu wapitie bandiko ili wafanye kitu kwa maslahi mapana ya upinzani kwa ujumla,nawahakikishia mtashinda.
Membe hawezi kushinda urais hata siku moja maana hatakuwa na back-up ya nguvu ya umma kama itakavyokuwa kwenu.
Najua kuna vijana wa Makumbusho wanakufata wakikwambia umchukue Membe ila nakuhakikishia wanakuingiza mtegoni kama ilivyokuwa kwa Lowassa na chadema. Lissu na wewe ndio mna % kubwa ya kushinda urais mwaka huu. Kubali uwe waziri mkuu, Lissu awe Rais.
Nyaraka zinawabeba otherwise msije kuwalaumu Watanzania.
Magufuli na Majaliwa ni yupi Mzanzibari kati yao.Lissu na Zitto yupi ni Mzanzibari kati yao?
Hivi huwa mnaona nini kwa huyo mzee Duni, uzanzibar tu au kuna kingine
Hivi mnafikiri kukabidhiwa nchi ni kama gheto?
Wakiungana hao, mi nakuambia patachimbika, ushindi asbh tu. CCM wamegeuza Nccr ndio kichaka cha kujifichia Tume huru. .Nawashauri chadema na ACT waendelee kukaza hivyo hivyo
Waungane kweli? Haiwezekani. Wote midomo mikubwa. Wote megalomaniac. Lisu ni ugonjwa tu, angekuwepo angekwisha kosana na Mkiti wake.Najua kuna watu wapo kazini kuhakikisha Membe anagombea urais kupitia ACT lakini siyo kwa maslahi ya taifa bali ni kwa maslahi ya CCM.
Nashauri ZittoTundu Lissu wapitie bandiko ili wafanye kitu kwa maslahi mapana ya upinzani kwa ujumla,nawahakikishia mtashinda.
Membe hawezi kushinda urais hata siku moja maana hatakuwa na back-up ya nguvu ya umma kama itakavyokuwa kwenu.
Najua kuna vijana wa Makumbusho wanakufata wakikwambia umchukue Membe ila nakuhakikishia wanakuingiza mtegoni kama ilivyokuwa kwa Lowassa na chadema. Lissu na wewe ndio mna % kubwa ya kushinda urais mwaka huu. Kubali uwe waziri mkuu, Lissu awe Rais.
Nyaraka zinawabeba otherwise msije kuwalaumu Watanzania.
Najua kuna watu wapo kazini kuhakikisha Membe anagombea urais kupitia ACT lakini siyo kwa maslahi ya taifa bali ni kwa maslahi ya CCM.
Nashauri ZittoTundu Lissu wapitie bandiko ili wafanye kitu kwa maslahi mapana ya upinzani kwa ujumla,nawahakikishia mtashinda.
Membe hawezi kushinda urais hata siku moja maana hatakuwa na back-up ya nguvu ya umma kama itakavyokuwa kwenu.
Najua kuna vijana wa Makumbusho wanakufata wakikwambia umchukue Membe ila nakuhakikishia wanakuingiza mtegoni kama ilivyokuwa kwa Lowassa na chadema. Lissu na wewe ndio mna % kubwa ya kushinda urais mwaka huu. Kubali uwe waziri mkuu, Lissu awe Rais.
Nyaraka zinawabeba otherwise msije kuwalaumu Watanzania.
Lissu na Zitto yupi ni Mzanzibari kati yao?
nili comment kabla hajai edit post.Magufuli na Majaliwa ni yupi Mzanzibari kati yao.
nili comment kabla hajai edit post.
nili comment kabla hajai edit post.Amesema waungane mmoja awe Rais mwingine waziri mkuu..hivyo hajasema mmoja awe makamu wa RAIS
nili comment kabla hajai edit post.Majitu yanajilopokea tu. Mleta uzi ni mtupu lakini hajijui
God save us