Maswali mengi ni ya kijinga. Eti unauliza namba ya siku ili ujishirikishe kwenye tafiti. Kwani tulisajili namba za simu ili iweje. Hata hili zoezi la sensa ni la kijinga na upigaji tu kwani vyeti vya kuzaliwa, kifa na vitambulisho vya nida ninafanya kazi gani?Tunafanya sensa mara moja tu kila baada ya miaka 10....na bado watu wanaona maswali mengi! Issue hapa ni maswali ya msingi, yatasaidia kutambua ukubwa wa mahitaji ya msingi, by the way...huhitaji haya certificate ya darasa la 7 kuyajibu!
Huko mbali sana, unamjibu ndio, halafu unachukua glass ya maji unakunywaHivi unamuulizaje mtu kama ana ualibino [emoji23][emoji23] akikujibu kwani unanionaje utasema raia mkorofi.
Swali namba 7, ni swali la dhihaka
Duhh..Kwanza maswali ni mengi bila sababu ya msingi halafu mengi ni ya kijinga na kipuuzi. Ingewezekana kabisa kuwa na dodoso lenye maswali machache na ya msingi. Baadhi ya maswali wangeachiwa watendaji wa mitaa/vijiji wakisaidiwa na wenyeviti wao kwani ni ya kifamilia zaidi na yanahitaji utulivu.
Kwa ufupi hii itakuwa sensa ya hovyo kabisa kufanyika nchini na itachukuwa muda mrefu bila sababu yo yote. Wananchi wengi watayakwepa au kuyapuuza baadhi ya maswali kwa kusema uongo!
PIA, SOMA:
- Maswali 100 ya sensa ya watu na makazi ya mwaka
Kwanza maswali ni mengi bila sababu ya msingi halafu mengi ni ya kijinga na kipuuzi. Ingewezekana kabisa kuwa na dodoso lenye maswali machache na ya msingi. Baadhi ya maswali wangeachiwa watendaji wa mitaa/vijiji wakisaidiwa na wenyeviti wao kwani ni ya kifamilia zaidi na yanahitaji utulivu.
Kwa ufupi hii itakuwa sensa ya hovyo kabisa kufanyika nchini na itachukuwa muda mrefu bila sababu yo yote. Wananchi wengi watayakwepa au kuyapuuza baadhi ya maswali kwa kusema uongo!
PIA, SOMA:
- Maswali 100 ya sensa ya watu na makazi ya mwaka
Picha haifunguki usimulaum kwa uvivuAcha uzembe na uvivu wa kusoma na kutafuta! Hata ungewekewa hapa hayo maswali ungetaka tukusomee!
Ndicho kitakachotokeaNi mengi mno,kama mimi ningekuwemo kwenye mchakato huo nisingeyauliza ningeyajaza mwenyew ninavyojua
Kwa maswali yalivyo mengi mtu mmoja anahojiwa kwa zaidi ya saa moja!Hawajafika mpaka saivi...
Data ya sensa! Mfumo wetu pesa ya maendeleo anatoa Rais kwa utashi wake, hatumii Data ya sensa wala bajeti ya bunge.Una uhakika wewe! Unajua kuwa data halisi ni data ya sensa na si surveys!