Kwa milioni 18 napata gari gani nzuri?

Ushauri wangu ukishanunua hiyo gari uwe mstaarabu barabarani...

Raia wanaonunua gari kwa kudunduliza hela huwa mnakuwa wabishi na roho mbaya sana barabarani, wazee wa kubania mtu asiingie njia kuu n.k...

Tabia hii unaiona sana kwa raia wenye vi baby walker, salon cars
 
Dah ila watu kwamba hainywi mafuta kabisa?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…