Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Ushauri wangu ukishanunua hiyo gari uwe mstaarabu barabarani...
Raia wanaonunua gari kwa kudunduliza hela huwa mnakuwa wabishi na roho mbaya sana barabarani, wazee wa kubania mtu asiingie njia kuu n.k...
Tabia hii unaiona sana kwa raia wenye vi baby walker, salon cars
Raia wanaonunua gari kwa kudunduliza hela huwa mnakuwa wabishi na roho mbaya sana barabarani, wazee wa kubania mtu asiingie njia kuu n.k...
Tabia hii unaiona sana kwa raia wenye vi baby walker, salon cars