Kwa milioni 4 ninunue gari gani iliyotumika?

Kwa milioni 4 ninunue gari gani iliyotumika?

nnachoshangaa mpaka DKK hii kwamba mtoa mada bado tu hajapigwa made na wadau , jinsi anavojbu kwa jeuli hapo, hiyo n million 4 asee huyu jamaa siku akishika hela, watu hawatakunywa maji
 
Kama kazi ni mizunguko tu, nunua hiyo vitz, lkn kama utakuwa unahitaji kwenda site au sehem yenye barabara mbaya, tafuta mbadala..
Kwenye, 4m tafuta gari ya 3m..hyo 1m ni marekebisho, hakuna gari ya mkononi nzima
Sio kweli, zipo za mkononi nzima nyingi tu ukituliza akili na kupunguza papara. Mie nilinunua Corolla 110 yenye engine ya 5A-FE mwaka 2014 kwa mtu na ilikuwa ni namba B, gari leo ni miaka 7 tangu niinunue na miaka 11 tangu iingie ardhi ya Tanzania, zaidi ya service za kumwaga oil, kubadili shocks na CV joints sijahaha na vitu vingine.
Gari nimeipigisha sana shuruba kwa safari ndefu. Nimeenda nalo Mtwara mara 3, Tanga x2, Mbeya mara 3 na mwezi wa 7 nilipiga Dar hadi Sumbawanga non-stop na kisha baada ya siku 4 nikapiga tena Sumbawanga to Dar non-stop. Gari ipo vizuri na nimeitoa mikononi mwa mtu.

Na nitoe tu ushahidi kuwa kabla ya kununua hili gari nilikuja humu humu kuomba ushauri nikiwa na option ya gari 3; Passo, Vitz Clavia na Corolla. Ila kupitia michango ya wengi nikashauriwa nichukue Corolla kwa sababu za reliability na easy mainatanance . Mmoja ya watu waliochangia ni RRONDO , na Mshana Jr .

So cha kumshauri mleta mada ni yeye kuweka machaguo yake na kisha ashauriwe kulingana na machaguo mara baada ya kujiridhisha na magari ayapendayo. Ila binafsi ningemshauri achukue Vitz RS old Model anawezapata kwa milioni 5½ kama pia atahitaji na performance ila kama budget yake ipo fixed achukue Vitz za kawaida au hata Clavia.
 
Sio kweli, zipo za mkononi nzima nyingi tu ukituliza akili na kupunguza papara. Mie nilinunua Corolla 110 yenye engine ya 5A-FE mwaka 2014 kwa mtu na ilikuwa ni namba B, gari leo ni miaka 7 tangu niinunue na miaka 11 tangu iingie ardhi ya Tanzania, zaidi ya service za kumwaga oil, kubadili shocks na CV joints sijahaha na vitu vingine.
Gari nimeipigisha sana shuruba kwa safari ndefu. Nimeenda nalo Mtwara mara 3, Tanga x2, Mbeya mara 3 na mwezi wa 7 nilipiga Dar hadi Sumbawanga non-stop na kisha baada ya siku 4 nikapiga tena Sumbawanga to Dar non-stop. Gari ipo vizuri na nimeitoa mikononi mwa mtu.

Na nitoe tu ushahidi kuwa kabla ya kununua hili gari nilikuja humu humu kuomba ushauri nikiwa na option ya gari 3; Passo, Vitz Clavia na Corolla. Ila kupitia michango ya wengi nikashauriwa nichukue Corolla kwa sababu za reliability na easy mainatanance . Mmoja ya watu waliochangia ni RRONDO , na Mshana Jr .

So cha kumshauri mleta mada ni yeye kuweka machaguo yake na kisha ashauriwe kulingana na machaguo mara baada ya kujiridhisha na magari ayapendayo. Ila binafsi ningemshauri achukue Vitz RS old Model anawezapata kwa milioni 5½ kama pia atahitaji na performance ila kama budget yake ipo fixed achukue Vitz za kawaida au hata Clavia.
Asante saaana mkuu
Kulingana na ushauri wa wengi humu nimeamua kutafuta kwa utulivu kabisa vitz old model huku nikimuweka Mungu mbele
 
Zugusha hio pesa magari yapo mengi utanunua baadae
Huwa nawashangaa sana watu wenye michango na mawazo kama yako , mtoa mada kaomba ushauri gari ya kuendana na pesa aliyo nayo wala hajauliza pesa afanyie nini

Wewe unajuaje kama kesha zungusha ndo kapata profit hiyo kaona anunue gari? Au unamfahamu mtoa mada?

Toa ushauri kwa jamboa lililo ulizwa swala la matumizi na mfawanyo wa fedha zake wewe halikuhusu.
 
@Kajeba zingatia hili.

Laki 6 had 8 kwa mwezi haitoshi, tengeneza scale nyngne uongeze kipato kupitia io 4miln
Ondokaneni kwanza na mawazo ya kimaskini kwamba kumiliki gari ni anasa maana kwa mawazo haya hata pikipiki mtasema awekeze kwanza kadhalika hata baskeli mtasema awekeze kwanza baadae hata kununua viatu mtataka ajiwekeze kwanza , maisha ya dunia ni mafupi sana usijipe tabu na mateso eti kisa ujiwekeze, kila kitu kina umuhimu wake katika maisha uhitaji wa gari si sawa na uhitaji wa pesa za kujiwekeza kadhalika si sawa na uhitaji wa nyumba nk. kina Mengi wamejiwekeza weeee lakin wamewaachia kina jacklyne ambao hata hawajui mengi kapambanaje ishi kwa furaha na upe raha uzima wako lililo ndani ya wakati wako lifanye.

Kisa nini kuambukizana vikwapa na TB na kusimamishwa kwenye public cars pamoja na kutukanwa na makondakta walevi hovyo hovyo wakati uwezo wa kuwa na usafiri wako wa kawaida na ukasafiri confortable na familia yako unao? Uzuri zipo gari kulingana na hali ya yeyote yule mwenye nia ya kumiliki gari. Kama uwezo wako ni wa kuimudu vits au starlet basi usihangaike na harrier au vanguard hivyo tu

Ndio mana hata viatu kuna anae vaa yebo ya tsh 3500 na kuna naye vaa viatu vya PVC tsh.6,500 lakin pia yupo anaye vaa safari boot Tsh. 70,000/= lakin yupo anaye vaa CAT Tsh. 250,000/= lakib mwisho wa siku kila mtu kavaa kiatu cha nafasi yake.
 
Back
Top Bottom