Kwa mlio Dodoma kwenye hayo mashindano ya Shummita yanayoendelea huko wake zetu wako salama kweli

Kwa mlio Dodoma kwenye hayo mashindano ya Shummita yanayoendelea huko wake zetu wako salama kweli

Kwa tuliofika UMISETA Taifa tuna Siri nyingi sana za Hawa watumishi wa umma. ( THOU NI KITAMBO SANA)
 
Dah! Kuna wajumbe mnachangia hii mada kwa masihara. Ila mtambue tu hakuna kitu kinauma kwa mwanaume kama hiki cha kuhisi mke wako anapigwa tukio. Yaani usikie tu kwa jirani.
 
Habarini ndugu wana JF

Kwa mlioko huko dodoma hawa wake zetu wa ndoa watarudi salama kweli?

Maana shemeji yenu najitahidi kumtafuta kupitia video call naona hataki kupokea simu anadai ya kwamba umeme umekatika kuna giza hivyo hawezi kupokea simu.

Kwa mliopo huko, ni kweli changamoto ya umeme bado ipo dodoma, napata mashaka tangu aje huko dodoma, maana hata simu amekuwa mzito kupokea anasema anakuwa amechoka baada ya kushiriki mashindano ya mechi.

Kwa ufupi Wife ni muajiriwa katika shirika la umma mimi ni mfanyabiashara, na tangu aende kushiriki hayo mashindano akili haijatulia, maana naona fika anaongopa wazi kabisa.

Hivyo, kwa mlioko huko naomba mnitoe wasiwasi hayo mashindano ni salama kweli, ama ndio walivyokanyaga mkoa huo na pete za ndoa wamevua.

Nahisi kuvurugwa.
Nilidhan nimemfananisha, nilimuona rainbow yuko na mwamba na walikua wanaongelea Habari za kwenda kujipumzisha.
 
Naomba msihofu wenye wake zenu. Sisi huku tupo kimichezo zaidi. Tunaishi kama dada na kaka. Hakuna mambo ya kutongoza mke wa mtu huku. Tena usiwe na hofu na mkeo, kifupi wake zenu wako salama. Hakuna anayetomasa maziwa mke wa mtu huku. Kila mwanamke huku anajitambua. Hata mwakani usikose kumruhusu aje afanye kile anachotamani moyoni. Michezo ni afya, michezo ni udugu. Kazi iendelee.
 
Mkuu kule wameenda kufanya kazi ya mashindano ya KUTOaMBWA nje kisha wakipata majasho wanaoga maji ya chumvi.

Kama huamini mfanyie surprise visit. Vunja ratiba yako kutwa nzima shinda hapo walipokusanyikana huku ukimzoom kwa jicho la tai kuanzia kwa njemba linalomshangilia sana au analolishangilia then mienendo mara baada ya ratiba ya michezo kumalizika. Halafu malizia na mida ya jioni mitoko kwenda bambalag na kwingineko.

Ila hakikisha unapofanya yote hayo uwe na roho ya chuma na usidrive.
Ukishuhudia upuuzi wowote jipige kifuani mara saba na ugeuke nyuma urudi ulikotoka.
 
Habarini ndugu wana JF

Kwa mlioko huko dodoma hawa wake zetu wa ndoa watarudi salama kweli?

Maana shemeji yenu najitahidi kumtafuta kupitia video call naona hataki kupokea simu anadai ya kwamba umeme umekatika kuna giza hivyo hawezi kupokea simu.

Kwa mliopo huko, ni kweli changamoto ya umeme bado ipo dodoma, napata mashaka tangu aje huko dodoma, maana hata simu amekuwa mzito kupokea anasema anakuwa amechoka baada ya kushiriki mashindano ya mechi.

Kwa ufupi Wife ni muajiriwa katika shirika la umma mimi ni mfanyabiashara, na tangu aende kushiriki hayo mashindano akili haijatulia, maana naona fika anaongopa wazi kabisa.

Hivyo, kwa mlioko huko naomba mnitoe wasiwasi hayo mashindano ni salama kweli, ama ndio walivyokanyaga mkoa huo na pete za ndoa wamevua.

Nahisi kuvurugwa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana mkuu.Waswahili wanasema "Ukiona manyoya,ujue kashaliwa".

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Haiharibiki hiyo,ukiletewa utaikuta ipo vile vile.
 
Kama umezaa nae,fanya mpango wa kujua watoto wako,wenye uhalisia,jali hao. Yeye tema. Hapo kimejaa ujue,unachotakiwa kufanya ni kufukia
 
Mbna vinyozi dodoma hatuna hio taarifa ya umeme kukatika

Mi vichwa vinaingia tu hapa saloon
Muulize vizuri


😁😁😁😄
 
Back
Top Bottom