Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MTU AKISEMA KUNA SHIMIVUTA, UMISSETA, SHIMIWI BASI JUA HUKO KUNA MAUAJI.Kwa tuliofika UMISETA Taifa tuna Siri nyingi sana za Hawa watumishi wa umma. ( THOU NI KITAMBO SANA)
Wacha bwama watupe utelez na sisi wabeba tofar tukienda marasoniUmenikumbusha marathon za crdb full umalaya Yan,
Wafanyakazi wa crdb acheni umalaya mbw@ NYIE , mnasambazia HIV kijinga
Nilidhan nimemfananisha, nilimuona rainbow yuko na mwamba na walikua wanaongelea Habari za kwenda kujipumzisha.Habarini ndugu wana JF
Kwa mlioko huko dodoma hawa wake zetu wa ndoa watarudi salama kweli?
Maana shemeji yenu najitahidi kumtafuta kupitia video call naona hataki kupokea simu anadai ya kwamba umeme umekatika kuna giza hivyo hawezi kupokea simu.
Kwa mliopo huko, ni kweli changamoto ya umeme bado ipo dodoma, napata mashaka tangu aje huko dodoma, maana hata simu amekuwa mzito kupokea anasema anakuwa amechoka baada ya kushiriki mashindano ya mechi.
Kwa ufupi Wife ni muajiriwa katika shirika la umma mimi ni mfanyabiashara, na tangu aende kushiriki hayo mashindano akili haijatulia, maana naona fika anaongopa wazi kabisa.
Hivyo, kwa mlioko huko naomba mnitoe wasiwasi hayo mashindano ni salama kweli, ama ndio walivyokanyaga mkoa huo na pete za ndoa wamevua.
Nahisi kuvurugwa.
Dodoma amekutana na x wake, pole sana mkuu acha wakumbushieshida sio safari, huwa anasafari sana na mawasiliano huwa yapo, ila kwa hii ya dodoma amekuwa tofouti kabisa. Amenisikitisha kwa hili.
[emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana mkuu.Waswahili wanasema "Ukiona manyoya,ujue kashaliwa".Habarini ndugu wana JF
Kwa mlioko huko dodoma hawa wake zetu wa ndoa watarudi salama kweli?
Maana shemeji yenu najitahidi kumtafuta kupitia video call naona hataki kupokea simu anadai ya kwamba umeme umekatika kuna giza hivyo hawezi kupokea simu.
Kwa mliopo huko, ni kweli changamoto ya umeme bado ipo dodoma, napata mashaka tangu aje huko dodoma, maana hata simu amekuwa mzito kupokea anasema anakuwa amechoka baada ya kushiriki mashindano ya mechi.
Kwa ufupi Wife ni muajiriwa katika shirika la umma mimi ni mfanyabiashara, na tangu aende kushiriki hayo mashindano akili haijatulia, maana naona fika anaongopa wazi kabisa.
Hivyo, kwa mlioko huko naomba mnitoe wasiwasi hayo mashindano ni salama kweli, ama ndio walivyokanyaga mkoa huo na pete za ndoa wamevua.
Nahisi kuvurugwa.
Kha!kha!.Umenikumbusha marathon za crdb full umalaya Yan,
Wafanyakazi wa crdb acheni umalaya mbw@ NYIE , mnasambazia HIV kijinga
Utakuwa humpendiDuh mkuu jifunze kuchukulia vitu in a simple way,utakufa mapema,mimi mke wangu akienda kwa shughuli za serikali huwa sijihangaishi kumtafuta hadi anitafute yeye,asiponitafute tutakutana akirudi,sipendi upuuzi mimi[emoji41][emoji41][emoji41]
Eti lione na sura nzito. Limejamba sikia halufu! Eti kata simu. Yupo mmoja eti lilimkutawahuni sio poa,
hapo ukute anamuwekea huku anamuambia akutukane😂
Fukuza aishie hukohukoshida sio safari, huwa anasafari sana na mawasiliano huwa yapo, ila kwa hii ya dodoma amekuwa tofouti kabisa. Amenisikitisha kwa hili.
MnateteanaNi kweli kuna shida ya umeme, relax.
Kwani dom hakuna mgao wa umeme?Mnateteana