Kwa mshahara huu, Mo Dewji utajiri wako unatokana na unyonyaji wa wafanyakazi wako

Kwani hakuna mamlaka ya serikali inayohusika na udhibiti wa viwango vya mishahara?
 
Mo Kweli NYOSO,Kuna Jamaa Shamba Boy Kazi Yake Kuu ni Kuhudumia Mifugo kuwapa Chakula (Kuku+Mbuzi na ChairFire) analipwa Laki na nusu.
Hahaha. Jamaa mpigaji mie kuna jamaa ninafahamu anafanya kazi ya kuhudumia kuku tu kwa mwezi anapata laki 1 na bado ana pata maji na umeme wa solar wa bure. Pasipo kusahau na eneo la kujilimia mboga mboga zake
 
Wanaoomba hizo kazi sio wote wanaangalia mshahara , wengine wanatafuta experience na kutengeneza CV tu
 
Ili uwe tajiri lazima uangalie namna ya KuCut Costs na KuMaximise profit.Hata kama ikibidi upate watu kukufanyia kazi bure!
 
Kama unauhakika naulichokiandika basi nivizuri zaidi
 
Karibia Wahindi wote matajiri ni wanyonya Jason, wabaguzi. Nimefanya nao kazi nilishindwana nao. A learned person cannot work with them. Hawafai kwa ujumla
 
viwanda vingi Tanzania mishahara ni vichomi iwe unalipwa kwa siku,kwa wiki,kwa mwezi serikali imetutelekeza hizo ndo ajira!!Fanya uchunguzi viwandani utatamani ulie...!!
Ni Kweli kuna TAJIRI ana wiwanda vikubwa kibarua anamlipa Tsh 3000 kwa siku,mie nashangaa Waziri wa kazi/Ajira na Waziri wa Viwanda wapo tu kutwa kwenye Majukwaa kupiga bla bla za chama badala ya kwenda field kutetea maslahi ya wafanyakazi,hivi 3000 kwa siku inatosha?
 
Wauza maduka ya nguo kino wengi wanalipwa 150,000 leo kampuni kubwa inamlipa dereva 130,000!
Halafu Mawaziri wapo kazi Kuzunguka na VX tu kuhubiri ngonjera za sisiemu,Hawa wafanyabiashara type za Mo wabanwe,wanawanyonya wafanyakazi kupata faida kubwa kisha fedha wanaenda kujenga MIJUMBA UFUKWENI kisha hawakai watu au anakaa SHAMBA BOY tu na Kununua Migari ya Mabilioni kuyaanika Uwani halafu hawayaendeshi hislafu tu.
 
Sio uwatengenezee mazingira mazuri ya biashara ili wawe wengi watengeneze ajira nyingi zenye staha
 
Wote tuliuza chipsi na mitumba mtaani itakuwaje kumbuka na kilimo cha tz kilivyo wengeni tumetumia gharama kulima tumepata mazao ya kutosha lakini bei ya mazao ni hasara
 
Naunga mkono hoja ndio maana ukienda ulaya tunafanya kazi kwa masaaa ili upate pesa tatizo sis tumeshalemaaa na ile ya mwisho wa mwezi ndio upate kingi ila matajiri hawawez kufanya hvyo

Ndio maana hata baa unalipwa kwa kreti ulizouza
 
Sijui kwa kweli mkuu ila kama ni kweli basi kuna namna.

Au kuna posho katikati ya mwezi, bima ya afya na benefits nyingine....
mkuu Hakuna Posho Kule Wala Bima Ya Afya Na Mikataba Ya Pale Ya Hovyo Kweli,mie Nimeshafanyakazi Pale Kwa Miaka 3 Sema Kilichokuwa Kinanisaidia Ni Wizi Kila Siku Nilikuwa Naiba Baada Ya Madili Yakuiba Kupotea Namie Kazi Nikaacha
 
Shida Ya Serikali Ya Hapa Haina Kima Cha Chini Cha Mishahara Ya Wafanyakazi Wote Nchini Ndio Maana Unyonyaji Umekuwa Mwingi Na Serikali Inayajua Yote Hayo Mfano kwa hapa Tanzania viwanda vyote hapa nchini vinawalipa vibarua 3000 kwa masaa 12 Nambie Hapo Mtu Ana Survive Vipi Kwa Maisha Yasasa ?
 
Viongozi wetu hawatetei wala hawafatilii maslahi ya mfanyakazi,ukiona kiongozi anakimbizana na mfanyabiashara mara hivi mara hivi ujue anataka akatiwe fungu lake atulie basi.
 
Kwa hapo mi nimekuelewa mkuu,asante kwa ufafanuzi!!
 

Kwa mara ya kwanza nimesoma point toka kwako. Nimefurahi... Nitapata usingizi mzuri leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…