Kwa mshahara huu, Mo Dewji utajiri wako unatokana na unyonyaji wa wafanyakazi wako

Kwa mshahara huu, Mo Dewji utajiri wako unatokana na unyonyaji wa wafanyakazi wako

Hapo mwanzo nilikuwa nashangaa Kwanini matajiri wa kihindi wana roho mbaya na kuwalipa mishahara midogo watu weusi......hadi hapo nilipopata nafasi ya kusimamia kiwanda kimoja hivi.......ni kiwanda kidogo lakini kimenifunza mengi sana juu ya sisi Watanzania........

Kwa mtu ambaye alishawahi kuwasimamia kazi Watanzania anaweza akanielewa.....

Kiukweli kuna utofauti mkubwa sana kati ya WaTanzania na watu wa mataifa mengine.....hasa kwenye uchapakazi......

Ukifanya kazi na Watanzania na ukawaendekeza na kuwapeleka kiungwana lazima utapata hasara na kufunga biashara.........

Kwanza Mtanzania hawezi kufanya kazi mpaka asimamiwe kama wapo wa hivyo ni wachache sana.....pili ni uvivu
Mtanzania anakuwa na kimuhe muhe cha kazi akiwa hana kazi lakini akishapata kazi ndio utamjua.......

Hapo kiwandani kulikuwa na kamera....yaani upande wa ndugu zangu kule Yaani muda wote kama Hakuna mtu wao ni story na kubishana mipira na siasa.......

Lakini upande wa ndugu zetu wa nje muda wote wanapiga kazi hata kama superviser hayupo wao ni kazi tu....sasa mtu kama huyo unaachaje kumlipa mshahara mkubwa.....!!?

Kwa kweli ukiwa hujawahi kuwasimamia au kufanya kazi na waTanzania huwezi kuona madhaifu yao.........

Ni bora ufanye kazi na wahindi au Wachina kumi kuliko kufanya kazi na Watanzania mia......

Sehemu pekee unapoziona nguvu za Watanzania kazini ni muda wa kufunga kazi na muda wa kupokea mishahara yao.......

WATANZANIA TUBADILIKE
 
"Someone cannot make himself/herself better off without making someone else worse off"
 
Hapo mwanzo nilikuwa nashangaa Kwanini matajiri wa kihindi wana roho mbaya na kuwalipa mishahara midogo watu weusi......hadi hapo nilipopata nafasi ya kusimamia kiwanda kimoja hivi.......ni kiwanda kidogo lakini kimenifunza mengi sana juu ya sisi Watanzania........

Kwa mtu ambaye alishawahi kuwasimamia kazi Watanzania anaweza akanielewa.....

Kiukweli kuna utofauti mkubwa sana kati ya WaTanzania na watu wa mataifa mengine.....hasa kwenye uchapakazi......

Ukifanya kazi na Watanzania na ukawaendekeza na kuwapeleka kiungwana lazima utapata hasara na kufunga biashara.........

Kwanza Mtanzania hawezi kufanya kazi mpaka asimamiwe kama wapo wa hivyo ni wachache sana.....pili ni uvivu
Mtanzania anakuwa na kimuhe muhe cha kazi akiwa hana kazi lakini akishapata kazi ndio utamjua.......

Hapo kiwandani kulikuwa na kamera....yaani upande wa ndugu zangu kule Yaani muda wote kama Hakuna mtu wao ni story na kubishana mipira na siasa.......

Lakini upande wa ndugu zetu wa nje muda wote wanapiga kazi hata kama superviser hayupo wao ni kazi tu....sasa mtu kama huyo unaachaje kumlipa mshahara mkubwa.....!!?

Kwa kweli ukiwa hujawahi kuwasimamia au kufanya kazi na waTanzania huwezi kuona madhaifu yao.........

Ni bora ufanye kazi na wahindi au Wachina kumi kuliko kufanya kazi na Watanzania mia......

Sehemu pekee unapoziona nguvu za Watanzania kazini ni muda wa kufunga kazi na muda wa kupokea mishahara yao.......

WATANZANIA TUBADILIKE
Sasa unamlipa mtu 130,000/= hiyo motisha ya kufanya kazi anaitoa wapi?

Anafanya tu bora liende ila ukimlipa vizuri na kuset rules zako kazi zinafanyika vizuri tu.
 
Labda kuna sifuri imesauhaulika hapo mbele ya 130,000/= (1,300,000/=)
 
Huwa najiuliza sana taasisi kama Forbes inatumia vigezo gani kumjua tajiri namba moja katika nchi husika. Wanashindwa hata kutembelea wafanyakazi wa kampuni za tajiri husika kuangalia hali zao nao zikoje?

Juzi hapa nilileta bandiko kuhusu mishahara ya wafanyakazi wanaofanya katika kampuni za matajiri hawa wawili hapa Tz, Mo Dewji na Bakhresa.
METL GROUP, BAKHRESA GROUP Kampuni kubwa Tanzania zisizojali Wafanyakazi wake

Nilieleza jinsi wanafunzi wa nchi kama Marekani, hata hapo Kenya wanavyotamani kufanya kazi katika kampuni za matajiri wa nchi zao.

Lakini kwa hapa Bongo mambo ni tofauti kabisa, wafanyakazi wa Mo na Bakhersa wanafanya kazi kwakua hakuna mbadala, ajira hakuna. Na hiki ndicho kigezo hutumia kuwanyonya wafanyakazi kwani wanajua hana pa kwenda hata kama mshahara ni mdogo.

Embu wana JF tuangalie hili tangazo la kampuni ya tajiri namba moja Tz, Dewji.
Ni la dereva atakae husika na mauzo pia.

Hivi kweli kwa hali ya hapa Dar unamlipaje mtu mshahara wa Tsh 130,000 kwa mwezi? Mtu huyo anafamilia, analipa kodi, anasomesha, umeme, maji nk Ushahidi link hii hapa chini na screenshot zake, wasije wakabadilisha au kulitoa.

Salesperson Cum Driver. in Dar Es Salaam

Yani hata kima cha chini hawaja kifikia. Mbaya zaidi Serikali inajua haya lakini wanashindana na Mange Kimambi mitandaoni.

Waziri wa kazi na ajira tekeleza majukumu yako, sioni sababu ya nyie kushikilia nafasi hizo huku wananchi wanabyonywa na hawa mabepari wanao zidisha umasikini kwa wananchi.

View attachment 718025View attachment 718026
This is what you can see from outside....mara kadhaa kuna incentives zimefichwa....

Nimewahi kufanya kazi Quality Group.....nliona payslip ya Financial Controller, an expat from India akilipwa laki 5 back in mid 2000....nikashangaa sana...

later on nikaja kufahamu kumbe kulikuwa na payroll mbili....hiyo ya laki 5 ambamo kuna statutory deductions kama Pension contributions na PAYE na payroll nyingine ya siri isiyo na deductions zozote....
 
Huwa najiuliza sana taasisi kama Forbes inatumia vigezo gani kumjua tajiri namba moja katika nchi husika. Wanashindwa hata kutembelea wafanyakazi wa kampuni za tajiri husika kuangalia hali zao nao zikoje?

Juzi hapa nilileta bandiko kuhusu mishahara ya wafanyakazi wanaofanya katika kampuni za matajiri hawa wawili hapa Tz, Mo Dewji na Bakhresa.
METL GROUP, BAKHRESA GROUP Kampuni kubwa Tanzania zisizojali Wafanyakazi wake

Nilieleza jinsi wanafunzi wa nchi kama Marekani, hata hapo Kenya wanavyotamani kufanya kazi katika kampuni za matajiri wa nchi zao.

Lakini kwa hapa Bongo mambo ni tofauti kabisa, wafanyakazi wa Mo na Bakhersa wanafanya kazi kwakua hakuna mbadala, ajira hakuna. Na hiki ndicho kigezo hutumia kuwanyonya wafanyakazi kwani wanajua hana pa kwenda hata kama mshahara ni mdogo.

Embu wana JF tuangalie hili tangazo la kampuni ya tajiri namba moja Tz, Dewji.
Ni la dereva atakae husika na mauzo pia.

Hivi kweli kwa hali ya hapa Dar unamlipaje mtu mshahara wa Tsh 130,000 kwa mwezi? Mtu huyo anafamilia, analipa kodi, anasomesha, umeme, maji nk Ushahidi link hii hapa chini na screenshot zake, wasije wakabadilisha au kulitoa.

Salesperson Cum Driver. in Dar Es Salaam

Yani hata kima cha chini hawaja kifikia. Mbaya zaidi Serikali inajua haya lakini wanashindana na Mange Kimambi mitandaoni.

Waziri wa kazi na ajira tekeleza majukumu yako, sioni sababu ya nyie kushikilia nafasi hizo huku wananchi wanabyonywa na hawa mabepari wanao zidisha umasikini kwa wananchi.

View attachment 718025View attachment 718026
Mzee baba hakuna boss anayetamani kumwona mfanakaz wake anasherekea na mshahara wake , tofauti na hapo ataitwa majna mengi km mwinz n.k! Hakika kuajiriwa bongo ni utumwa
 
Eddy Love unasemaje juu ya hili, ni kweli ilikuwa hivi wakati unafanya kazi huko!??
Alichokosea Huyo Jamaa Hapo Nikutaja Hiyo Hela Ya Commision Ambayo Ameiweka Kama Ya Kudumu Hajaeleza Mpaka Ufanyeje Ndo Upate Hela Hiyo,ngoja Nikueleze Sales Person Yeyote Yule Iwe Kwa MO,BAKHRESA au MENGI mara nyingi huwa hawapewi mishahara mikubwa bali hupewa mshahara kiduchu kwasababu akipewa mshahara mkubwa hatoweza iletea faida kampuni.Wanachokifanya Mabosi Ni Kuwapa target ya mzigo Sales Person Wote mfano Ukiuza Maji 5000 Ya Masafi Kwa Kila Mwezi Bonus Yako Itakuwa Kadhaa Lets Say Labda Laki 9 Na Kila Sales Man Hupewa Target Kulingana Na Route Aliyopewa Kuuza Kama Route Kubwa Idadi Ya Mzigo Wakuuza Inabidi Uwe Mkubwa Na Bonus Yake Pia Itakuwa Kubwa.Nafikiri Nimeeleweka Ila Sales Person Ndo Anafaidika Kwenye Hayo Makampuni Ila Vitengo Vingine Njaa Kali Sana Na Mikataba Ya Huko Hovyo Hakuna Mifuko Ya Hifadhi Wala Bima Za Afya
 
Huwa najiuliza sana taasisi kama Forbes inatumia vigezo gani kumjua tajiri namba moja katika nchi husika. Wanashindwa hata kutembelea wafanyakazi wa kampuni za tajiri husika kuangalia hali zao nao zikoje?

Juzi hapa nilileta bandiko kuhusu mishahara ya wafanyakazi wanaofanya katika kampuni za matajiri hawa wawili hapa Tz, Mo Dewji na Bakhresa.
METL GROUP, BAKHRESA GROUP Kampuni kubwa Tanzania zisizojali Wafanyakazi wake

Nilieleza jinsi wanafunzi wa nchi kama Marekani, hata hapo Kenya wanavyotamani kufanya kazi katika kampuni za matajiri wa nchi zao.

Lakini kwa hapa Bongo mambo ni tofauti kabisa, wafanyakazi wa Mo na Bakhersa wanafanya kazi kwakua hakuna mbadala, ajira hakuna. Na hiki ndicho kigezo hutumia kuwanyonya wafanyakazi kwani wanajua hana pa kwenda hata kama mshahara ni mdogo.

Embu wana JF tuangalie hili tangazo la kampuni ya tajiri namba moja Tz, Dewji.
Ni la dereva atakae husika na mauzo pia.

Hivi kweli kwa hali ya hapa Dar unamlipaje mtu mshahara wa Tsh 130,000 kwa mwezi? Mtu huyo anafamilia, analipa kodi, anasomesha, umeme, maji nk Ushahidi link hii hapa chini na screenshot zake, wasije wakabadilisha au kulitoa.

Salesperson Cum Driver. in Dar Es Salaam

Yani hata kima cha chini hawaja kifikia. Mbaya zaidi Serikali inajua haya lakini wanashindana na Mange Kimambi mitandaoni.

Waziri wa kazi na ajira tekeleza majukumu yako, sioni sababu ya nyie kushikilia nafasi hizo huku wananchi wanabyonywa na hawa mabepari wanao zidisha umasikini kwa wananchi.

View attachment 718025View attachment 718026
bora huyo laki na 30,je makampuni ya ulinzi watasemaje na risk zote wanazopata ungejua mishahara yao diuuuuh
 
Huwa najiuliza sana taasisi kama Forbes inatumia vigezo gani kumjua tajiri namba moja katika nchi husika. Wanashindwa hata kutembelea wafanyakazi wa kampuni za tajiri husika kuangalia hali zao nao zikoje?

Juzi hapa nilileta bandiko kuhusu mishahara ya wafanyakazi wanaofanya katika kampuni za matajiri hawa wawili hapa Tz, Mo Dewji na Bakhresa.
METL GROUP, BAKHRESA GROUP Kampuni kubwa Tanzania zisizojali Wafanyakazi wake

Nilieleza jinsi wanafunzi wa nchi kama Marekani, hata hapo Kenya wanavyotamani kufanya kazi katika kampuni za matajiri wa nchi zao.

Lakini kwa hapa Bongo mambo ni tofauti kabisa, wafanyakazi wa Mo na Bakhersa wanafanya kazi kwakua hakuna mbadala, ajira hakuna. Na hiki ndicho kigezo hutumia kuwanyonya wafanyakazi kwani wanajua hana pa kwenda hata kama mshahara ni mdogo.

Embu wana JF tuangalie hili tangazo la kampuni ya tajiri namba moja Tz, Dewji.
Ni la dereva atakae husika na mauzo pia.

Hivi kweli kwa hali ya hapa Dar unamlipaje mtu mshahara wa Tsh 130,000 kwa mwezi? Mtu huyo anafamilia, analipa kodi, anasomesha, umeme, maji nk Ushahidi link hii hapa chini na screenshot zake, wasije wakabadilisha au kulitoa.

Salesperson Cum Driver. in Dar Es Salaam

Yani hata kima cha chini hawaja kifikia. Mbaya zaidi Serikali inajua haya lakini wanashindana na Mange Kimambi mitandaoni.

Waziri wa kazi na ajira tekeleza majukumu yako, sioni sababu ya nyie kushikilia nafasi hizo huku wananchi wanabyonywa na hawa mabepari wanao zidisha umasikini kwa wananchi.

View attachment 718025View attachment 718026
Dawa ni kumuibia tuu hao wanakwepa PAYE NSSF
 
bora huyo laki na 30,je makampuni ya ulinzi watasemaje na risk zote wanazopata ungejua mishahara yao diuuuuh
Tatizo La Kazi Za Ulinzi Na Makampuni Mengine Zina Madalali Kibao (mtu Wa Kati) Hao Ndo Wananufaika Tena Sana,unakuta Yeye Anapewa Laki Tano Kwa Kila Kichwa Cha Mlinzi Kutoka Kwenye Kampuni Aliyoingia Nayo Ubia Then Walinzi Anaenda Kuwalipa Laki Na 20 Sasa Hebu Pga Mahesabu Ndo Ana Walinzi Labda 300 Unadhani Mkwanja Kiasi Gani Kwa Mwezi Ana Beba Halafu Raisi Wako Anatangaza Madalali Hawataki Katika Nchi Hii Still Bado Wapo Ndo Maana Kiwanda Cha Cement Cha Dangote Migomo Na Migogoro Haiishi Pale
 
Mo Kweli NYOSO,Kuna Jamaa Shamba Boy Kazi Yake Kuu ni Kuhudumia Mifugo kuwapa Chakula (Kuku+Mbuzi na ChairFire) analipwa Laki na nusu.
Yeah sure mie mwenyewe vijana wangu shamba nawalipa 150K, hapo chakula matibabu etc juu yangu. Ajira bongo zakinyonyaji sana.
 
Back
Top Bottom