mkarimani feki
JF-Expert Member
- Nov 8, 2023
- 302
- 1,212
- Thread starter
-
- #41
sahihi mkuuBiashara ni rahisi kwenye karatasi na sio field haupo mwenyewe.
Ukiloose kwenye businesses ndo utajua ujui.
Bora upoteze pesa kwenye ngono haumi kuliko kupoteza kwenye project utaumia maisha Yako yote.
Bora ukope utie kwenye ardhi Haina hasara unacheza na time TU mkopo ukiisha na ardhi imepanda thamani unapata faida mara mbili.
Kuna taaluma inaitwa ofsa?? Duuuh Wapi huko nikasomeemimi sio ticha mkuu, ni ofsa
Kuna vikundi vya kukopeshana hapo kazini kwako hujauliza?vicoba kama vipi mkuu??
Unaweza ukafanikiwa ukaaamua kulipa deni lao au ukataka kukopa Bank ingine huko mbele yenye riba nafuu zaidi inanunua na mkopo wako wa Bank uliyokopa mambo ya Bank ni mengi..duh miaka nane nikiwa bado nachapika na mkopo haloo
Graduate wote wa serikali kuu hio ndio basic Yao.Ofsa wa zimamoto au TFS?
Mimi nina mshahara kama huyo jamaa ninaishi,niko kwangu,nina nyumba mbili, Sijawahi kulala njaa, mwaka huu january napeleka mtoto wangu English medium school,karo 2M,mwaka jana ndani ya miezi miwili nimekamilisha nyumba ya 13M.Kwa mshahara huo ukikopea,utaishije kwa kiasi kinacho baki nazani utaishi maisha magumu sana
Kitulize kama huna cha maana cha kufanya mikopo ni stress kama ulikopa afu hukuwa na cha maana kufanyaNawishi kuchukua loan kozi life limekua likinichapa sana, wataalamu nipeni uzoefu sana.
Je, nitaweza kopesheka shingapi kwa benki ya CRDB kwa hio salary?
Taasisi au idara gani mkuu?Graduate wote wa serikali kuu hio ndio basic Yao.
Huna mazingira mengine ya rushwa,tip ,safari au Asante.sahihi kaka, coz salary inaishia kwenye recurrent expenditure pekee
mfano wa hizo saccos ili niende??Angalau Saccos na sio huko kausha damu
Kuna mwamba nilienda Bodi enzi izo ipo hapo jirani na Mwenge nikamkuta analalamika wanaondoka na hela yote akasema na kaazi naacha sasa tukose wote, aliacha kila mtu anacheka pale bodiKuna mwenzio huko, analambwa ngoma yote anabakiza kilo tu huko kaibuka anaiomba serekali iingilie kati
watu wengi wanajifanya kujizima data hapaGraduate wote wa serikali kuu hio ndio basic Yao.
Kwa sasa hatokuelewa ila atakuelewa baada ya miezi 6 akishakopa mkopoKama hauna kipato Cha ziada achana na kukopa utaishi kimasikini zaidi
Vyama vya ushirika makazini,masokoni,wakulima nkmfano wa hizo saccos ili niende??
Safi Kabisa tumbaf!Kuna mwamba nilienda Bodi enzi izo ipo hapo jirani na Mwenge nikamkuta analalamika wanaondoka na hela yote akasema na kaazi naacha sasa tukose wote, aliacha kila mtu anacheka pale bodi
Kama unakopa ili ujenge au ununue gari au uanzishe biashara kiongozi bora uache! Ila kama unakopa ili kujazia mtaji kwenye biashara iliyopo tayari nenda kakope!Nawishi kuchukua loan kozi life limekua likinichapa sana, wataalamu nipeni uzoefu sana.
Je, nitaweza kopesheka shingapi kwa benki ya CRDB kwa hio salary?
Mna majina makubwa jamiiforum kumbe tunawazidi mbali mno kwenye mpunga na mahede hede mengine.Mimi nina mshahara kama huyo jamaa ninaishi,niko kwangu,nina nyumba mbili, Sijawahi kulala njaa, mwaka huu january napeleka mtoto wangu English medium school,karo 2M,mwaka jana ndani ya miezi miwili nimekamilisha nyumba ya 13M.
Take home yangu ni 270K
Acha kuogopesha watu, jamaa kama anajiweza akope
Haujafafanua kinagaubaga kuwa hiyo 765k....ni basic salary!?, nett pay!? ... Ama gross pay!?Nawishi kuchukua loan kozi life limekua likinichapa sana, wataalamu nipeni uzoefu sana.
Je, nitaweza kopesheka shingapi kwa benki ya CRDB kwa hio salary?