Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
- Thread starter
-
- #61
Shukrani mkuuTeacher, nenda na biashara ya simu na vifaa vyake. Halafu unaongezea ndani yake na huduma za kifedha. Hakika utanishukuru kwa huu ushauri.
Na uzuri umekiri mwenyewe machimbo yote ya hivyo vifaa pale Kariakoo unayafahamu. Kwa hii biashara ni rahisi kwako kuisimamia.
Achana na biashara kichaa ya mazao, na pia hiyo ya hardware ambayo kuna wateja wanataka wapelekewe bure mpaka site, hata mfuko mmoja tu wa saruji!
Vijijini ukiwa unamuwekea hata kwa gunia buku 5, mtu anakupambania sana yaani, unaweza hata kuwa na bodyguard kwa hio hela. Mawakala ndo kila kituYeah Kuna mtu alinambia hii, mfano debe la maharage vijijini ni 2000 unamwambia wakala Kila debe unampa 500, Sasa ni speed yake kutafuta then Kila weekend unaenda kuchukua mzigo.
Biashara ya vifaa vya simu inataka usimamizi especially kama akiongeza na uwakala, alafu kwa hio capital bado ni ndogo kufanya uwakala akapata hela inayoeleweka. Hapa nazungumzia experience kabisa. Nafaka zina hela mzee, hio hela anai double chap sana. Maana gunia zinakuja na vipimo kama ni mahindi ni gunia za kg 128 na inajulikana bei zake.Teacher, nenda na biashara ya simu na vifaa vyake. Halafu unaongezea ndani yake na huduma za kifedha. Hakika utanishukuru kwa huu ushauri.
Na uzuri umekiri mwenyewe machimbo yote ya hivyo vifaa pale Kariakoo unayafahamu. Kwa hii biashara ni rahisi kwako kuisimamia.
Achana na biashara kichaa ya mazao, na pia hiyo ya hardware ambayo kuna wateja wanataka wapelekewe bure mpaka site, hata mfuko mmoja tu wa saruji!
Huko kusini mbali sana na huku nilipo, alafu naogopa Al shabab, hahahKama unamawakala huko ambao ni waaminfu ni saw
Ila ukija kusini hawana uamin inahitaj umakin sana ,
Labda uhakikishe kila siku mnakutan jion na asubuhi
Mleta mada, usithubutu kuuchukua huu ushauri!!!Nunua pik pik 5 ajiri vijana kwa wiki kila kijana akuletee laki 1 tu kwa mwezi unapiga milioni 2 akili kukichwa ndugu yangu
Kuna vitu vya msingi unaweza kuanza navyo...9M inafaa kabisa kwa kuanzia ila uwe wilayani.13 inatosha mkuu kwa uzoefu wako?
N saw mkuu, ila pako safe sana sasahvHuko kusini mbali sana na huku nilipo, alafu naogopa Al shabab, hahah
Walau aombe liziko ya miaka miwili akomae na biashara ndo acheki namna ya kumweka mtuKosa lako ni kutaka mafanikio kupitia biashara lakini kazi hutaki kuacha, nakuhakikishia Mimi kuwa utumishi wa umma na kipato kikubwa ni mbingu na ardhi na mchawi muda na usimamizi kwa sababu unataka ukabidhi watu walifanyie kazi itakula kwako na huwezi kuwa mtumishi wakati huohuo kuwa mfanyabiashara angalau ungekuwa DC, DED, RC etc lakini kazi ya ualimu halafu unataka kutusua you should not be serious na kitakacho kuumiza ni uoga vinginevyo hiyo hela itapotea na hutaelewa imepoteaje kama unataka kufanya biashara chukua maamuzi ya kufa umesimama otherwise endelea kuishi umepiga magoti
Mambo Gani haya Tena.... Si kashasema ana hela, si ndio ana kitu hivyo au?Una kitu…
Acha kuwatisha watu wewe...kwanza tuanze wewe unafanya biashara gani?Hamna kazi ngumu kama ya msimu hasa ukiwa Tanzania kwasbb msimu ukifika kila mtu anaingia mpaka bei inashuka kabisa sasa hivo kilo ya mchele Mwanza ni 1200. Kuna wengi walio nunua kwa 1800 wamesha pata hasara kubwa loh,
Yaani kwakuwa mama yako na dada zako ni wajinga basi unadhani kila mwanamke yupo hivyoHapo ndo umeharibu mtaji uweke mke kweli??? Sijui akili za waalimu ziko je,
Kila la kheri kwake
Wewe unsonekana una mimba changa inakusumbua, pinga kwa hoja sijui watu wengine upumbavu ni wa kurithi au? Unavamia hoja ya mtu bila kutoa sababu.Acha kuwatisha watu wewe...kwanza tuanze wewe unafanya biashara gani?
Nimekuuliza swali binti kuwa wewe unafanya biashara gani?Wewe unsonekana una mimba changa inakusumbua, pinga kwa hoja sijui watu wengine upumbavu ni wa kurithi au? Unavamia hoja ya mtu bila kutoa sababu.