Kwani Waumini'n wanakula sana mikate na donat wakati wa Maghrib au wakati wa Alfajir?kauze mikate na donat maeneo ya chuo cha MUM pale mida ya maghribi. utauza tu nakwambia...
kula kila mtu na time yake, mi nmezungumzia muda wa jamaa kuuza...Kwani Waumini'n wanakula sana mikate na donat wakati wa Maghrib au wakati wa Alfajir?
Mkuu njoo nikuelekeze biashara za nguo za ndani za wadada, chupi dazani(12) elfu 30000 unauza 40000, nyingine 36000 unauza 45000 mpk 50000, unaweza kuzifanyia reparking tukafanya sita pia. zipo boksa pia 3 elfu 12000 unauza 15000. Vest na nyingine mzigo kutoka Malaysia na Turkey.nipo dar mkuu lakini nataka biashara ifanyike mbeya.
nguo zingine tofauti na hzo hakuna mkuu alafu hakuna hata vitenge?Mkuu njoo nikuelekeze biashara za nguo za ndani za wadada, chupi dazani(12) elfu 30000 unauza 40000, nyingine 36000 unauza 45000 mpk 50000, unaweza kuzifanyia reparking tukafanya sita pia. zipo boksa pia 3 elfu 12000 unauza 15000. Vest na nyingine mzigo kutoka Malaysia na Turkey.
Mkuu nitafute 0715365934Kuna tshirt ya form 6 na manga plain nyekundu nyeup nyeuzi bei ya juml elf 5.. Unauza lejaleja elf 10.
mzee punguza hata elfu 3 mi nikutafuteMkuu nitafute 0715365934
Umemanisha nini??mzee punguza hata elfu 3 mi nikutafute
umesema form 6 tshirt elfu 5 nimekwambia elfu 3Umemanisha nini??
Duuh! Kwanza umekosea hiyo Quote ni ya jamaa ukifuatilia hapo juu, ila sasa T-shirt ndugu form six nzuri ni kuanzia elfu 10000 ata hizo za jamaa sh 5000 bila shaka zitakuwa kituko sana. Mimi najua soko la nguo za ndani ndiyo naelewa vyema T-shirt huwa nadesign ila materials zake lazima yawe ya Hali ya juu.umesema form 6 tshirt elfu 5 nimekwambia elfu 3
biashara ya nguo ni ngumu kwa sasa Fanya hiv nunua nguo za ndani za like zidilia na splay za like AF unaingia mtaani mwenyew kuuza ukifungua ofisi utakula na tra na biashar zenyw sasa no ngumu ile mbayaHabari za jumamosi,naomba msaada nina mtaji wa laki mbili je naweza kufanya biashara ya nguo na ikawezekana?
biashara ya nguo ni ngumu kwa sasa Fanya hiv nunua nguo za ndani za kike sidilia na splay AF unaingia mtaani mwenyew kuuza ukifungua ofisi utakula na tra na biashar zenyw sasa ni ngumu ile mbayaHabari za jumamosi,naomba msaada nina mtaji wa laki mbili je naweza kufanya biashara ya nguo na ikawezekana?
asante sanah ndgbiashara ya nguo ni ngumu kwa sasa Fanya hiv nunua nguo za ndani za kike sidilia na splay AF unaingia mtaani mwenyew kuuza ukifungua ofisi utakula na tra na biashar zenyw sasa ni ngumu ile mbaya
poa ndg nimekuelewa lakin nitaangalia ila kama unauza vitenge vya java original niambie jola sh nagapi?Kuna tshirt ya form 6 na manga plain nyekundu nyeup nyeuzi bei ya juml elf 5.. Unauza lejaleja elf 10.
poa nimekuelewa ndg ila naulizia vitenge huuzi vya mafuta?Duuh! Kwanza umekosea hiyo Quote ni ya jamaa ukifuatilia hapo juu, ila sasa T-shirt ndugu form six nzuri ni kuanzia elfu 10000 ata hizo za jamaa sh 5000 bila shaka zitakuwa kituko sana. Mimi najua soko la nguo za ndani ndiyo naelewa vyema T-shirt huwa nadesign ila materials zake lazima yawe ya Hali ya juu.
mkuu unapatikana wapi nahitaji za kuvaa mwenyeweKuna tshirt ya form 6 na manga plain nyekundu nyeup nyeuzi bei ya juml elf 5.. Unauza lejaleja elf 10.