Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Ingekuwa ni January mwanzoni ungeanzisha mradi wa kuuza soksi maana kipindi hicho soksi za shule zinanunuliwa, pia ungekuwa mwenyeji umgeanzisha biashara ya udobi kikubwa ni kutafuta vijiwe vya kupiga vibao vya Dobi anapatikana pale tena ungetega maeneo yenye hostel na mtaji ungekuwa 50,000 tu ya kununua pasi na sabuni tu, nguo ungekuwa unakusanya unakwenda kufulia home.
 
Jumua ganja uanze ku-supply kitaa.....................inalipa ila uwe tayari kulala selo..................ganza za laki unapata laki sita....ila usiogope jela............
 
Habar,wana jamvi Mimi n kijana kijana ,je ni biashara gan naweza fanya ikaniingzia kipato kwa haraka zaid
 
Hela hiyo ni mtaji mkubwa sana kama upo kijijini. Unaweza uka fuga au kulima. Ila kwa mjini ni hela ya kula bia mbili tatu weekend na nyama choma inaisha.

Muache uongo na kuwadanganya wenzenu.
Laki 3 bia za nchi gani?
 
Back
Top Bottom