Last sentinel
JF-Expert Member
- Jan 13, 2013
- 214
- 81
kama upo dar unawez ukachukua nguo au.Viatu vya mtumba vikali ukaja mkoani kuuza.AF tena unachukua MA Hindi mkoan unapeleka.darWakuu,habar zenu...Nataka kujua je unaweza anza biashara na mtaji mdogo kama wa laki moja??
Kweli kabisa mzazi... Nimegundua hapa ukichekecha vizuri mind yako unaweza kuanza hata buku suala ni uvumivu tu.Humu kuna madini ya kutosha
Kweli kabisa, na mtu asipoelewa hapa basi haelewi tenaKweli kabisa mzazi... Nimegundua hapa ukichekecha vizuri mind yako unaweza kuanza hata buku suala ni uvumivu tu.
Hii thread ni mind stimulating
Labda kuku wa kienyeji wanaojitafutia chakula wenyewe na si kuku wa kisasa.idea nzur ila nna swal yan io lak3 yote inatumika kwenye kuku tu?.. suala la banda , msoc na dawa lpo nje ya hyo pesa?
mkuu umepata like nyingi sanamimi nikushauri kwanza nikupongeze kwa kuwa na wazo la uwekezaji katika biashara.
Niukweli usiopingika kwamba ukitaka kuwa tajiri na kuwa huru katika eneo la kifedha basi biashara ndiyo suluhisho.
Kwa mtaji wa laki 3 kwetu sisi wafanyabiashara ni pesa nyingi sana kama ukiweza kuwekeza kwenye fursa zinazokuzunguka na zisizo hitaji mtaji mkubwa.
Siku zote biashara zenye fedha nyingi ni biashara ndogo ndogo.
Ukiweza kununua Mayai kama trei 10 za kuku wa kisasa na ukazunguka kwenye vioski vya kukaanga chips na kuuza kwa jumla ndani ya muda mchache utakuwa umekuza mtaji wako.
Mfano ukanunua trei 1 kwa sh 6500 ukauza elf 7000 kwenye trei 10 utapata elf 10
ukipata wateja 10 kila siku wote wakachukua Trei 10 kila m1 utakuta unatengeneza laki moja kwa siku faida. Hapo hujatoka?
Tatizo la watu wengi hawataki kuanzia chini ndiyo maana wanadharau fedha na kubaki maskini.
mkuu smart hatakiw kuuza smartphone ni kitu kama utakitumia vizur kitakupa michongo mingi sana mitandaoniKama una laki tatu uza na hiyo smartphone jumlisha then utajua mtaji wako halisi mana unakuta kijana ana genge but anamiliki cm ya laki tatu!
Ukishafanya hivyo angalia biashara yenye mzunguko wa haraka mana kwa mtaji mdogo ukifanya biashara ya mda mrefu sana utakula mtaji buree.
Nimeipenda Idea yako very wiseNimeelewa
Kama unafanya hii kitu tuwasiliane tufanye kitu # 0753543236300,000
Gunia la viazi vitamu shambani ni 60000
Mabibo sokoni 100000
Nunua gunia 4 kwa 240000
Nauli mpaka shambani ni 20000
Inabaki 40000 ya nauli ya mzigo mpaka sokoni.
Ukiuza utapata 400000 toa mtaji wako 300000 unabaki na 100000.
Kutokea hapo unaweza kujiongezaa ndugu.
300,000
Gunia la viazi vitamu shambani ni 60000
Mabibo sokoni 100000
Nunua gunia 4 kwa 240000
Nauli mpaka shambani ni 20000
Inabaki 40000 ya nauli ya mzigo mpaka sokoni.
Ukiuza utapata 400000 toa mtaji wako 300000 unabaki na 100000.
Kutokea hapo unaweza kujiongezaa ndugu.
Mkuu unamaanisha viazi vya chips na sio viazi vitamu kama nilivokuelewa hivi..300,000
Gunia la viazi vitamu shambani ni 60000
Mabibo sokoni 100000
Nunua gunia 4 kwa 240000
Nauli mpaka shambani ni 20000
Inabaki 40000 ya nauli ya mzigo mpaka sokoni.
Ukiuza utapata 400000 toa mtaji wako 300000 unabaki na 100000.
Kutokea hapo unaweza kujiongezaa ndugu.
Ubarikiwe sana kwa kutupatia Elimu hii.Nimeelewa
Sio vya chips mkuu( viazi mbatata) hivi ni viazi vitamu vinavyopatikana kanda ya katiMkuu unamaanisha viazi vya chips na sio viazi vitamu kama nilivokuelewa hivi..
OK,,ni idea nzuri hata hivyo,big upSio vya chips mkuu( viazi mbatata) hivi ni viazi vitamu vinavyopatikana kanda ya kati
Good idea300,000
Gunia la viazi vitamu shambani ni 60000
Mabibo sokoni 100000
Nunua gunia 4 kwa 240000
Nauli mpaka shambani ni 20000
Inabaki 40000 ya nauli ya mzigo mpaka sokoni.
Ukiuza utapata 400000 toa mtaji wako 300000 unabaki na 100000.
Kutokea hapo unaweza kujiongezaa ndugu.