Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

anza biashara ya baba lishe au mama lishe...hiyo pesa inatosha kabisa, lakini nguo mmh!!
 
anza biashara ya baba lishe au mama lishe...hiyo pesa inatosha kabisa, lakini nguo mmh!!
Biashara ya kijinga hiyo mkuu,,, unamtaka aunguwage na moto tuu ,,,
Mkuu chukuwa ushauri wa biashara ya dagaa mkuu
Hiyo ya nguo usijaribu hata kidogo
Hiyo ya kuwapikia wanaume wenzako achana nayo
 
Hivi ndivyo matapeli washamba wa mikoani huwatapeli wakuja wenzao kwa kuweka namba ya simu ili iwe kama ulimbo kunasa na wasiokuwemo.[emoji57]
 


Acha usanii bro kama una wazo la biashara weka hapa jamvini namba za simu za nini tena!!!
 
fanya biashara ya starehe zote unazozikosa pindi huna hela, ukimaliza pesa zote faida yake utaiona
 
hivi zile chupi wanazouza 1000 kule kariakoo zinapatikana wapi kwa bei ya jumla?
 
HABARINI WANA JF....
mm ni mwanafunzi wa chuo na ninatamani sana kuja kua mkulima mkubwa wa mazao ya biasharakamampunga, mahindi,vitunguu,matikiti na mengineyo....

Kila kitu kina mwanzo wake, natambua uwepo wa watu walioanza mapema ukulima, pia wakulima wa miaka mingi hapa..
Mwanzo wangu mimi nina kiasi cha sh Laki 5 na ninataka mwaka huu nianze kazi ya ukulima...
Kwa mliotangulia naomba ushauri je nianze nakilimo gani? ambacho pesa itatosha....

IKUMBUKWE..
Natokea Mbeya na nataka kulima huko mbeya ambako Mpunga na Mahindi vinastawi sana......

Pia sina shamba, natarajia kukodisha.
Naomba ushauri wenu Ndugu zangu Mliotangulia na pia wenye uwezo wa kudadavua mambo

Ahsanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…