Nakutafuta nipe hiyo sehemuUkonga Mombasa kuna eneo langu nliwakodsha taasis moja wanauza sana ila kod wananlipa kidg ...so natafta watu wengne au nkikosa ntaweka mwenyew niongese vijiwe ..coz kuna biashara sana
Itakuwa yy analeta hizo kuni alafu anawauziakumbe wewe hufanyi biashara hii bali watu uliowakodisha.... nikajua ni wewe.
ha haaaa..Pm aje kufanya nini???
Poa kaka.Mambo dada
Acha tu best saivi bongo zinachaj kama umeme bora ata ichaji kwa nia nzuri, inachaj kwa nia ya kutapeliWapiga dili hao.... kikubwa mtu mwenyewe kujiongeza.
Hapo sawaaaa.... tuko pamoja mwalimu. [emoji1]Nmetolea mfano tu napoish mm ....biashara iko dar yote bugurun ...tandale ...mbagala ....magomen usiseme na hta Mikoan pia
Hii ni harufu ya utapeli aiseeeeeNjoo pm mkuu
Mkuu nimeona nia ya dhati, ntakutafutaMe nmesajiliwa dar so tunaleta popote dar ...na hta ka sio mm ila kuwa makini kuni nyngne s nzur ...kuni nzur n mti wa mchaka au mchalaka na pia mpingo hio ndo inafaa kwa kuni ....0685580057
Akishakupatia na mimi nishtue nijichomeke.... lolNakutafuta nipe hiyo sehemu
KaribuMkuu nimeona nia ya dhati, ntakutafuta
Usijari ikikaa sawa nitakucheki tupambane na hali zetuAkishakupatia na mimi nishtue nijichomeke.... lol
Hiyo million ni pamoja na gharama ya kununua na vibarua? Kupakia na kupakuaN simple tafuta eneo zur ..sabb kuni ndo habar ya mjin sasa jpo weng hawajaistukia .....then tafta MTU mwenye usajili ka mm ataenda kukuletea mzgo sabb ww huna vibal ....kwa ufup fuso kubwa kwa dar lenye kuni 3000 huw n milion lak 9 .....kuni moja dar n buku so utauza milion 3 faida milion lak 1 ndan labda ya wik mbili au tatu
Kenta kuni 1600 kuletewa milion ukiuza faida lak sita ndan hta ya wiki mbili au chini ya hapo sabb n ndg sana hizo kwa sehem yeny biashara ka ya kwetu
So jarbun .......
Nimekumic sana ulienda wapiPoa kaka.
Nipo ila naonekana kwa msimu kama leo nimeshinda jf tangu asubuhi.Nimekumic sana ulienda wapi
Hakuna namna.... hahahaUsijari ikikaa sawa nitakucheki tupambane na hali zetu
Usinisahau [emoji4]Akishakupatia na mimi nishtue nijichomeke.... lol
Afadhali timu inaongezeka.... ukimcheki na me utanicheki.Mkuu nimeona nia ya dhati, ntakutafuta
[emoji23][emoji23][emoji23] umeniwahiiii, siwezi kukusahau naanzaje kwa mfano.Usinisahau [emoji4]
Unataka kumtapeli eeeh?Njoo pm mkuu