Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Ukonga Mombasa kuna eneo langu nliwakodsha taasis moja wanauza sana ila kod wananlipa kidg ...so natafta watu wengne au nkikosa ntaweka mwenyew niongese vijiwe ..coz kuna biashara sana
Nakutafuta nipe hiyo sehemu
 
Hiyo million ni pamoja na gharama ya kununua na vibarua? Kupakia na kupakua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…