Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwa pesa hiyo itatosha?Fungua mama ntilie hakika hutojuta
Inategemea unataka kutoboa nini, kama ni karatasi unaweza ila kama ni ukuta huwezi.
Unaanz mdogo mdogo biashara ya chakula inalipa kinomaM
Mkuu kwa pesa hiyo itatosha?
Asante kwa ushaur mzuriUpo mkoa gani mkuu wote ni wahanga..
Mi nikiipata hiyo naenda kukata leseni naingia kwenye udereva nikatafute mtaji mnono..
Viatu vya mtumba vya kiume vizuri tembeza wanawake wabishi sana kununua wanalalamika mno..
Fungua banda la chips uwe msafi sana kuanzia nywele mpaka chini usivae ndala,uza mwenyewe usiweke mtu
Ukibahatika kupata meza sokoni ukauza mali kavu changanya na mbichi kidogo
Fungua genge litengeneze vizuri weka mzigo pembeni yake kaanga samaki
Nenda kilabuni chukua chumba tafuta muhudumu wa kilabuni mzoefu,weka local bia na pombe za kienyeji wewe uwe unakaa counter..ndani mle jenga counter ya mbao
Tafuta mwenyeji kijijini awe unakukusanyia kuku kwa bei ndogo zikitimia idadi unazotaka unaenda kulipa na kurudi na mzigo unakuja kuuza kwenye bar/hotel
Biashara ya promotion ya bidhaa mbalimbaliNipo chuo mwaka wa kwanza na natamani kuanzisha biashara ya mtaji wa laki tano,biashara ambayo nitaweza ku balance mda wangu wa masomo na kuisimamia ushauri bros
yaani sina mshahara, ndo kwanza npo chuo mwaka wa kwanza naenda wa pili.
na nakaa nyumbani, na kama nmeandika mshahara basi nmekosea.
[emoji3][emoji3][emoji3]Wewe sio ndo ulkua unatamba umepata kazi TPA ama?
Jaman wana jf me nina mtaji wa 1mil. Ninahitaj kufungua biashara ya mahitaji ya nyumbani je,, inafaa kama haifai naomben ushaurii..
Nipo chuo mwaka wa kwanza na natamani kuanzisha biashara ya mtaji wa laki tano,biashara ambayo nitaweza ku balance mda wangu wa masomo na kuisimamia ushauri bros
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] na saivi ndipo naingia shift, kufa sasaWewe sio ndo ulkua unatamba umepata kazi TPA ama?