Viatu vya kimasai 4000?????
Jamani kuweni wakweli pale hakuna hiyo bei ... Tuweni realistic
Sent using Jamii Forums mobile app
Fafanua mkuu mchango wako tafadhali.
MKUU,Mie ningeanza kupika supu ya kongoro na chapati[emoji39]!
Hhaha sina mkuu napenda san kula aisee!doh! Tena sio kula tu napenda msos mzuri😋!unaovutia😋MKUU,
KUNA MWONGOZO WOWOTE UNAUHITAJI KWENYE HIKI KIPENGELE CHAKO CHA ULAFI?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe Location Duka lilipo.View attachment 1322202
3,000- 4,500 bei ya jumla
It depends na pair unazochukua!!!
View attachment 1322208
Hivyo vya kiume[emoji1426][emoji1426][emoji1426]
View attachment 1322211
Hivyo 2,500[emoji1426]
Nipe Location Duka lilipo.
Mi Nipo Mkoani nataka nimuagize Jamaa angu, Ngoja nimpe haya MaelekezoManzese kuanzia kituo cha bakhresa hadi darajani upande wa kushoto kma unatokea mjini
Kuna sehem nyingi ila ni ndani ndani mpk uwe unaijua mitaa
Au ukifika chukua boda mwambie nipeleke kwenye viatu vya jumla
Kama ni mwenyeji ile mitaa ya sokoni kwa nyuma wapo wengi tu ni wewe na uchaguzi wako na hela yako
Maana vipo vya aina nyingi
Mkuu Kama hautojali Naomba Picha za viatu aina tofauti tofautiManzese kuanzia kituo cha bakhresa hadi darajani upande wa kushoto kma unatokea mjini
Kuna sehem nyingi ila ni ndani ndani mpk uwe unaijua mitaa
Au ukifika chukua boda mwambie nipeleke kwenye viatu vya jumla
Kama ni mwenyeji ile mitaa ya sokoni kwa nyuma wapo wengi tu ni wewe na uchaguzi wako na hela yako
Maana vipo vya aina nyingi
Mkuu Kama hautojali Naomba Picha za viatu aina tofauti tofauti
Sawa Shukrani.Naona akifika hapo itakua rahisi maana atakupigia picha atakavyovikuta hapo
Ila vingi ni kama hivyo nilivyovituma huko juu
Mara zote wanunuzi hufuata wenyewe shambani.Mkuu soko linapatkana wapi??
mwanabhonga
Kazia maarifa kaaKama una chochote cha kukupatia kula. Million Moja weka Fixed account katika bank kubwa mfano mimi ningeshauri NMB (Babalao kwa sasa, inapigwa push na pia ina support maeneo mengi kitaifa)
Fixed account pesa yako haina makato na inakua salama ,unaweza kuanzia miez 6, mwaka au miaka miwili mpaka mitano...(source NMB).
Utabak na Milliona Moja ya soko linalokua ni la utalii tafuta leseni ya Travel services/Air ticketing (ila usichukue ya TALA iko juu USD 2000, Hii waweza chukua badae biashara yako ikikua ukasajili na utalii) kama utafanya ivo nione nipo soko ilo miaka mitatu sasa.