1.Biashara ya Karanga za kukaanga/mbichi
2.biashara ya mama ntilie
3.biashara ya miwa
4.unaweza nunua baiskeli ukakodisha kijijini
5.unaweza chonga mkokoteni ukakodisha kwa saa 1,000/=.
6.unaweza nunua nguo ama viatu vya mtumba ukaenda kuuza mtaani kwa kutembeza
7.ukafungua genge simple lenye mazaga yote mtaani
8.unaweza tumia kama ada ya kujifunza skills flani,gereji,kushona viatu,computer
9.unaweza itumia kununua na kujenga banda la kuku,kanga kwa ajili ya ufugaji
10.unaweza limia heka mbili za ardhi ifakara kwa ajiri ya kilimo cha mpunga
11.unaweza agiza vitu online vya USD 0.5 ukaja kuviuza kwa USD 2.5
Acha wengine nao wajazie
NOTE:kuweza kufanya kitu hiyo pesa na utayari wa mfanyaji ni vitu viwili tofauti.
Hiyo laki 1 unaweza lipia lodge na huyo malaya asije au unaweza walipia pombe rafiki zako na nyumbani bado wakalala njaa.
Sent using
Jamii Forums mobile app