Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Nimejaribu kujitutumua na kukusanya laki mbili na elfu sabini napenda kufanya biashara.

Ni biashara ipi itaniinua, nipo Dodoma (Central Zone)
 
Nimejaribu kujitutumua na kukusanya laki mbili na elfu sabini napenda kufanya biashara.

Ni biashara ipi itaniinua, nipo Dodoma central zone.
 
Baadae tukutane pale Micasa tupange mkakati
 
Habari

Members najua humu kuna watu wa aina nyingi, waliobobea katika biashara, na watu wa sekta nyingine. Naomba kusaidiwa kujua BIASHARA ninayoweza kufanya kwa mtaji wa laki tano tu, ila hiyo biashara iwe na uwezo wa kunipatia faida ya 10000 tu kwa siku!! Hiyo faida ni baada ya kutoa malipo ya kijana msimamizi.

*Nataka biashara ambayo naweza muachia kijana akafanya wakati na mimi naendelea na shughuli nyingine
* biashara ambayo haina utata sana katika usimamizi

* biashara ambayo ni ya kudumu,kwa maana ya kwamba inakuwa kama investment flani hivi inayoweza kukaa miaka kadhaa
* shida yangu ni uhakika wa elfu kumi tu kwa siku
* eneo itakapofanyika ni kati ya MWANZA au DAR

Asanteni!
 
Wee hebu kuwa serious basi [emoji23][emoji23][emoji23]

Vigezo viiiingi halafu unataka faida chap chap...daaah hujaanalyse SWOT bado unataka fasta tu
kwan kipi cha ajabu hapo? Nani kasema faida chap chap? Soma kwa umakini
 
Kuna Uzi kama huu upo humu pia uliletwa na@bondelabaraka mm n mnufaika wa huo Uzi pitieni kuna mengi ya kijifunza huko ziko business idea nyingi za mitaji ya kawaida kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…