Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Habari zenu wakubwa wa humu mimi ni kijana wa miaka 20 nimejaribu kuja town (Mwanza) kupambana ila maisha ya hapa kidogo naona kama hayana mwelekeo nimeamua nirudi Kijijini Karagwe murshaka na kwa sasa nina laki mbili tuu naomba kwa anaefahamu hayo mazingira/ au kwa hata asiefahamu anipe wazo linaloweza niimarisha kidogo.

Wazo langu nililo liwaza ni niende nitengeneze banda la kuku ninunue kuku wa 150k baada ya kama miezi 6 nianze kuwa naleta kuku mjini na kuuza.

Mwenye mbinu /uchambuzi na msaada zaidi naomba mnipe mawazo.

Nitashukuru kwa michango ya mawazo yenu.

Fanya hivyo mkuu mara moja
 
Habari wana jf,kwanza kabsa naandika uzi huu nikiwa na imani kwamba jf ni sehemu ambapo naweza kupata majibu ya busara na hekima na sio dharau na mizaha.back 2 da point,nina sh.laki moja hapa nlpo,na nmemalza form six na sina kibarua.

But nategemea km nitachaguliwa nitaenda chuo bt nna hakika mkopo kwangu unaweza kuwa ndoto due to my points,so nilikuwa nataka nikazungushe haka ka hela ili kaongezeke.Natanguliza shukran...jf 4ever.
Habari mkuu, unaweza tupa mrejesho mpaka sasa.
 
Ilikuwa ngumu mwaka 2018 nilikuwa na laki 300,000/nilipewa banda la airtel kwa elfu 30,000/nikapewa na laini ya airtelmoney kwa elfu 50,000/nikanunua laini ya tigopesa laki 100,00/=

Gharama zingine nilitumia elfu 30,000/
Nilianza kutoa uduma kwa laki 100,000/ mtaji uliongezeka mpaka laki 5 na zaidi.
Siri ya mafanikio ni ubahiri na kuzingatia matumizi yawe madogo ya kila mwezi yasizidi kinachoingizwa kwa mwezi.
 
nilianza na 20k

na zote nikanunulia kanda ya Hamza Kalala pc20 - 'Tutabanana hapa hapa'

the rest is history
 
NAOMBENI MAONI AU USHAURI WENU



Wakuu mi nakaa Dar es salaam(Kaliakoo),Nilikuwa nataka kufunga biashara ya vitenge mkoa wa mbeya(Tukuyu) nikiwa na mtaji wa Tshs million moja, nitajumua wapi bizaa bora na kwa bei nafuu na zinazo weza fika kiulahisi mahali husika.
 
MMASAI OG FASHION SHOES
Tunauza simple slippers kali za kimasai kwa bei ya kiwandani jumla na rejareja
Jumla ni shilingi 5000 tu
Reja reja ni shilingi 7000 tu
Tunapatikana Dar es Salaam
Mikoani pia Tunatuma mpka ulipo
Wasiliana nasi call/txt/whatsap 0672904720
Karibuni sana.....
Dar sehemu gani
 
Nina mtaji wa laki 7, hivi ni Biashara gani naweza kufanya ambayo itaniingizia faida kubwa kwa muda mfupi [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Huwezi weka kiwango cha mtaji kwenye range kwamba 100k-900k halafu utegemee jibu sahihi.Kila pesa ina makadirio yake namaanisha 100k inamajibu yake ambayo hayafanani na majibu ya 500k na 500k pia haufanani na 900k..Hapa tunazungumzia hesabu na biashara na hesabu ikishakuwa kwenye range basi majibu yake ni cheni ndefu sana.Kufupisha hili uliza ukitumia kiwango kamili cha fedha mtaji kisha icho kiwango ndio watatiririka wadau ktk ule uhakisia.
 
nilianza na 20k

na zote nikanunulia kanda ya Hamza Kalala pc20 - 'Tutabanana hapa hapa'

the rest is history
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari sana bwashee
 
Mwana,chukua beli moja la mtumba jeans za kiume. Chambua nzuri weka pembeni.zinazobaki piga mnada hata kwa buku buku hata jero.matambala yanayobaki yakatekate wauzie wenye gereji kwa mafungu.

Zile nzuri ulizopata kwa kua upo arusha zipeleke migodini kwa wana aporo uza moja moja.piga ka miezi 2 halafu urudi hapa useme imekuaje.

kwa hapa dar beli zuri unaweza pata kwa tsh160000/-.mia
Laki na sitini hiyo?mabelo hayo yapo wapi
 
Portable toilets /mobile toilets zinakodishwa kwa ajili ya shughuli zote za outdoor, iwe harusi au msiba au sherehe yoyote. Hata kwenye shughuli za ujezi and uchimbaji madina vinaweza kutumika.

Very clean, easy to use and convenient

Bei zetu ni kuanzia 150, 000 kwa siku.

Wasiliana nasi kwa simu namba 0768 333 953

Barua pepe ni hassandkikstoilets@gmail.com

Karibuni sana.
IMG_20200804_151351_821.jpeg
20200718_082949.jpeg
 
Back
Top Bottom