Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Life is too short and sometimes is not fair ,tafuta kimwana for one nite only asubuhi utakuwa mtu mwingine ,laki moja inaumiza kichwa Kama mtaji
 
Jawilat wewe upo mkoa gani? na je ukiniuzia kwa bei hiyo na mimi ninauza kwa bei gani?
Ngoja nikuuzie shuka kwa jumla,ni za cotton kama upo maeneo ya mjini,upitishe katika maofisi,
 
Mie nipo singida,ila mzigo upo dar,huku nauza 35-30000
25000 nauza kwa mtu anaechukua nyingi.
Jawilat wewe upo mkoa gani? na je ukiniuzia kwa bei hiyo na mimi ninauza kwa bei gani?
 
mkuu anza biashara ya kununua na kuuza kuku wa kienyeji kutoka mikoani kuja mijini at a reasonable price..
 
Mie nipo singida,ila mzigo upo dar,huku nauza 35-30000 25000 nauza kwa mtu anaechukua nyingi.
nyingi zinaanzia ngapi. dada sema ni aina gani ya shuka na zinaquality gani, ( weka picha ndugu)
 
nyingi ni kwanzia 6,nashindwa kuupload picha,material ni cotton.
 
Hata mie umenivutia mkuu Jawilat maana hua ninafanya hiyo biashara ya mashuka ila yenyewe ni mtumba,naona kama yako hiyo ni nzuri zaidi,nakupm ili kujua njinsi ya kukupata
 
 
Kwa haraka haraka fungua saloon ya kiume kwan utapata mashine moja na kioo kimoja...
 
kiko wapi hicho kijiji mkuu, ni songea hapa hapa, mbinga, au Namtumbo.

Namtumbo,ukifika pale junction ya kwenda namabengo unashuka unachukua boda hadi mdwema.Nauli hadi pale ni buku jero na kwenda huko ni buku 2.
 
Namtumbo,ukifika pale junction ya kwenda namabengo unashuka unachukua boda hadi mdwema.Nauli hadi pale ni buku jero na kwenda huko ni buku 2.

okay bro nimekupata kumbe sio mbali naweza kwenda na kurudi.vip hao kuku wanaweza niuzia kwa bei gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…