Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Foronya mbili,ila kuna wakati shuka zinakua kubwa sana unaweza kukata foronya zaidi
Umenivutia,foronya nne au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenivutia,foronya nne au?
Life is too short and sometimes is not fair ,tafuta kimwana for one nite only asubuhi utakuwa mtu mwingine ,laki moja inaumiza kichwa Kama mtaji
Ngoja nikuuzie shuka kwa jumla,ni za cotton kama upo maeneo ya mjini,upitishe katika maofisi,
Jawilat wewe upo mkoa gani? na je ukiniuzia kwa bei hiyo na mimi ninauza kwa bei gani?
nyingi zinaanzia ngapi. dada sema ni aina gani ya shuka na zinaquality gani, ( weka picha ndugu)Mie nipo singida,ila mzigo upo dar,huku nauza 35-30000 25000 nauza kwa mtu anaechukua nyingi.
Bei ni 25000 shuka zipo mbili size ni 6x6 pamoja na foronya,unafungashiwa vizuri unafikishiwa ulipo,
Mi nataka shuka size kubwa kuliko 6×6 coz godoro ni nene. Zinapatikana?
Utapata ila bei ni tofauti kidogo,
alivyokushauri ynaa siyo mbaya ni nzuri, ila ungekuwa dar ningekushauri kama ungekuwa na mtu anayeuza vyombo, siku hizi kuna watu wengi sana wanauza uza vyombo barabarani, ungempa hiyo hela kama kuongezea mtaji(ila uwe unamfahamu na awe mwaminifu) yeye atakuwa anakupa kila siku 5000 ambayo kwa mwezi kama sijakosea utakuwa na 150000,utamuongezea mtaji kidogo ili hata hela yako ya kupata inaongezeka kufikia 10000, mbayo kwa mwezi wa pili utapata 300000 waweza endelea kujipanga. mi niliwashauri wadada wangu wakazi kufanya hivyo ili kuweza kujiwekea akiba endapo atataka kuacha kazi apate kitu cha kwenda kuanzia mtaani nje ya mshahara wake. nawanafanyiwa vizuri sana na hao wakaka(nadhani hii kitu watu hawaifahamu)[/QUOT ni kitu kizuru je security ya huyo unaempa pesa itakuwa ni nini thats momey bro!
ni vp siku biashara ikiwa ngumu?je hiyo buku 5 anakupa au itategemea na mauzo?
ni vp siku biashara ikiwa ngumu?je hiyo buku 5 anakupa au itategemea na mauzo?
swali zuri ila sijawahi kumsikia biashara ikawa ngumu kwamuda wote, sehemu alipo ni sehemu ya watu wanahitaji hivyo vitu kila mara, hivyo haijawahi kutokea na hata ikitokea ni mambo ya biashara kuna siku unapata na kuna siku unakosa
Kwa haraka haraka fungua saloon ya kiume kwan utapata mashine moja na kioo kimoja...
kiko wapi hicho kijiji mkuu, ni songea hapa hapa, mbinga, au Namtumbo.
Namtumbo,ukifika pale junction ya kwenda namabengo unashuka unachukua boda hadi mdwema.Nauli hadi pale ni buku jero na kwenda huko ni buku 2.
okay bro nimekupata kumbe sio mbali naweza kwenda na kurudi.vip hao kuku wanaweza niuzia kwa bei gani.
Sijajua kaka,ungeenda kusurvey kule kwanza.