Kaudunde Kautwange
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 1,644
- 1,648
Utakuwa umetusaidia sana vijanaa! Mungu akutie nguvu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila Biashara inaweza kuwa endelevu.., Wachina wana msemo hata safari ndefu inaanzia kwa hatua moja.
Kwa maana hiyo tafuta chochote kinachoweza kununulika sehemu ulipo kwa bei nafuu na uza kwa bei yenye faida kidogo, baadhi ya hivyo ni:-
- Kukata matunda kuweka kwenye containers na kuuza
- Kuuza voucher pamoja na vingine vidogo vidogo (nunua vitu vya jumla uza reja reja)
- Pita kwenye mahoteli na migahawa chukua tender nenda nje ya mji nunua kuku, samaki, mboga mboga n.k. uzia hizi hoteli na migahawa kwa faida ndogo
- Uza magazeti (hii huitaji mtaji) nenda kwa wakala atakupa magazeti, ukiuza faida yako, yakibaki unarudisha, (hakuna hasara)
- Nunua Boda boda endesha mwenyewe au kama kuna kijana muaminifu akuendeshee
- Nenda kwa wanaofungua robota za mitumba chagua nguo nzuri nzuri zifue na zipige pasi utembeze maofisini
Utaona kwamba vitu vya kufanya ni vingi issue ni kwamba location yako kuna mahitaji yapi na wewe upo tayari kufanya kipi, kumbuka sio kila anachokifanya huyu..., yule anaweza kukifanya hulka za watu na salesmanship zipo tofauti fanya kile ambacho wewe upo comfortable na kwenye vyote fanya SWOT analysis uone kipi kitakufaa wewe, usiige kwamba fulani kafanya kafanikiwa ukadhani ni given na wewe ufanikiwa
Kukiwa na biashara kama hyo. You must be a genious.
kama uko eneo kuna wakulima wakopeshe kwa kurejesha kwa magunia mfano tsh 30000 kwa gunia la mpunga ambalo ukiliuza ni tsh 70,000 au zaidi
kama uko eneo kuna wakulima wakopeshe kwa kurejesha kwa magunia mfano tsh 30000 kwa gunia la mpunga ambalo ukiliuza ni tsh 70,000 au zaidi
Thanx. Good idea mkuu
Hahaha,Preta Umenichekesha sana,maana mie nilikuwa kila siku nachungulia,hatimae wewe umejiripua.Bado tunakusubiri mkuu...........
biashara ya unga usiisahau