Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kuna mdau alishauliza kuhusu biashara endelevu hapa..

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-gani-hapa-tanzania-una-faida-sana-wadau.html

Na kwa ushauri nikamjibu kama ifuatavyo


Hizo nyingi nilizoweka hapo juu haziitaji mtaji mrefu.., ILA /KUMBUKA katika kitabu chako usisahau kuwaambia wadau kitu chochote kama kina faida kubwa na mtaji mdogo (yaani ni rahisi kwa mtu yoyote kufanya) basi mwisho wa siku wengi watafanya na demand itakuwa ndogo kulingana na supply.

PILI Investment sio Pesa peke yake, mtu anaweza akafanya biashara yenye mtaji mdogo ila ikabidi uweke muda wako mwingi hence gharama zikawa kubwa zaidi sababu muda ni PRICELESS..., unless unatumia leverage.., yaani making other people work for you.., mfano kama unasambaza chakula maofisini unaajili watu wakusambazie hata kama unawalipa 95% ya faida ila 5% inayobaki ni bora sababu unakuwa hujatumia muda wako na pesa imeingia..
 
watu kama nyie mungu awanyoshee rehema ukipatacho ukala na wenzanko mungu kamwe hakutupi wazo zuri tunalisubiria mkuu asante sana.
 
Kukiwa na biashara kama hyo. You must be a genious.
 
Kukiwa na biashara kama hyo. You must be a genious.

Kaka, zipo, ila sio kwa mitaj ya 2mil

Mimi napata 30% monthly ya capital, and I am not a genious

You dont need to be a genious, just a risk taker
 
kama uko eneo kuna wakulima wakopeshe kwa kurejesha kwa magunia mfano tsh 30000 kwa gunia la mpunga ambalo ukiliuza ni tsh 70,000 au zaidi
 
kama uko eneo kuna wakulima wakopeshe kwa kurejesha kwa magunia mfano tsh 30000 kwa gunia la mpunga ambalo ukiliuza ni tsh 70,000 au zaidi

MBONA VOCHA ZA ELF50 ZINAINGIZA FAIDA GHAFI YA EL2500 KILA SIKU?
Je kwa siku 30 haitakuwa elf 75 na kwa mwaka si ni lak9?-
biashara za mtaji kidogo faida kubwa zipo ila zingine za kishenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…