Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Mwasalemba malizia usafiri wa majini. Mpaka hapa asante sana mkuu
 
Nimeona kila supllier max quantity ya order ni zaidi ya 2m na wewe umesema unaweza anza mtaji wa 300,000
 
Nimeona kila supllier max quantity ya order ni zaidi ya 2m na wewe umesema unaweza anza mtaji wa 300,000

Boss nadhani kuna wakati nilizungumzia namna suppliers wengi wanavyotafuta mazingira ya ku discourage wateja wa rejareja nilitumia lugha ya retail,na kuwavutia wa jumla yani wholesale,hivyo kimasoko io ni hoja pana sana,saikolojikale apo kwako imegonga so umeingia woga kuuliza,sasa uyo uyo uleiona ana sema labda kuanzia oda 2m n.k chukua namba yake alafu chati nae mara mbili tatu...kuna kitu utajifunza tokea apo,pia jiongeze boss,io laki 3 wewe ni big deal,na yeye kwake ioio laki tatu ni zaidi ya big deal pia,so tafuta lugha nzuri na mazingira ya maongezi ya kibiashara...hana lolote atakaa tu,labda kama umeingia kwa supplier anauza mtambo fulani lakini kama ni bidhaa hizihizi kama nguo,wipes,diapers, viatu,rasta,vitu vya urembo,vitu vya nyumbani,n.k hell no...hakuna uyo...

NB:waeza jifanya okay 2m sio tatizo,lakini huwezi risk kufanya biashara na muuzaji mpya kwa kiasi kikubwa hivyo,lazima utest bidhaa zake sokoni je zitakubalika? so unanuna izo chache kama sample,zikiwa poa aexpect biashara kuuubwa toka kwako zaidi ya io 2m.
 
Inaendelea. ..

Sorry kidogo majukumu yanaingilia jama,so kadri dakika chache nazo pata naandika kitu...ok! Hivyo ukiwa kama mfanyabiashara lazima uchekeche katika cost,hasa namna ya kuwekeza fedha ndogo katika hatua za mwanzo wa biashara,uku ikirudisha pesa nyingi. ..

Usafiri pendwa ni maji ndugu zangu,hapa mfano nazungumzia namna unavyoweza safirisha mzigo wako toka io miji adi bongo kupitia usafiri wa maji,ambao kimsingi ni siku 30-34 mpaka unakufikia,siku zooote ukitumia huu mzigo biashara lazima ikulipe...
...umeshafanya manunuzi na mmekubaliana na supplier wako akafanye delivery,so utampa anwani ya forwarder wako aliepo apo nchini kwao na atafikisha kisha forwarder wako akiupokea mzigo wako on spot atampa risit kisha io risit ndio mzigo wako,supplier wako atakutumia kwa whatsapp au wechat io risit then unasubilia tu.

Hapa case study naomba niwatumie hawa jamaa 'silent ocean ltd' ofcoz jamaa wa majini bongo wapo wengi lakini so far hawa ni rafiki zaidi wa mtu anae anza biashara,kwanini? Gharama zao ni ndogo,how? Mzigo uwe na uzito wowote ule wenyewe sio issue,uweke kitu chochote ndani ya ilo furushi wao sio issue,kikubwa wanajikita zaidi katika dimensions za mzigo kama nilivyopata eleza zaidi juu ya usafiri wa maji,so utapimiwa gharama kadri ya ukubwa wa fulushi lako,lakini ki standard mzigo wa dimensions 1cbm yani fulushi lenye vipimo hivyo ni 400USD,kumbuka hii ni gharama ya jumla yani kuusafirisha ilo fulushi toka dubai au toka china,kuulipia gharama zooote bandarini na kwa wakala yeyote aliepo apo i.e TRA then wewe unaukuta mzigo tayari godown...so wewe ni kwenda na bajaj yako na kuukomboa tu,na kuanza mauzo basi...kumbuka apa katika fulushi lako hata kama utaweka ndani vitu vya thamani ya bilioni,jamaa utawalipa pesa ioio na si zaidi,so practically waeza tafuta tape home jaribu kuchora vipimi vya boxi la ukubwa uo uone lilivyokubwa...na kama boxi ni dogo manake watapima tu upana wake utapimiwa kutokana na upana sio kilichopo ndani...jioni njema jamani,kama wewe unaona pesa laki 3 ni ndogo kwangu ndio kuuubwa,siri yake naijua mimi,na kama wewe unaona laki 3 ni nyiiingi sana,tafuta biashara nyingine kuza mtaji kwanza.tajibu maswali machache lakini yaliyo yamsingi

NB:kama utaweza jichanga zaidi ya kiasi icho nayo sio mbaya,unakuwa umejiweka katika nafasi nzuri zaidi ya kukuza mtaji haraka zaidi,pia waeza tafuta namna yakujichanga ata mkiwa watatu na mkaagiza kitu kwa pamoja then ukifika mnagawana kisha kila mtu anauza kimpango wake,kumbuka android phone unayo amini nakwambia io ni zaidi ya duka lililopo maeneo meengi sana apa dar,kwa kifupi kama mimi binafsi ningechajiwa kodi,kwa mwezi si chini ya 2m...it pays,hachana na habari za flemu kwanza.
 
Ndg.MWASALEMBA. asante sana kwa taarifa za usafiri wa majini. Nina maswali mawili, 1 ni kuhusiana na TRA, ninavyofahamu kila mzigo lazima kuwe na list ya kuonyesha vitu vilivyomo ndani ya box na bei zake ili uchajiwe VAT, hapo inakuwaje mzee,
2 niliwahi kusafirisha mzigo wangu na hawa Teamglobal lines Tanzania Ltd nafikiri inamilikiwa na wakenya au wako ubia, baada ya mzigo kufika nilichajiwa zaidi ya laki 7 hapo nilishalipa dola 230 kwa supplier kama usafiri, mzigo wenyewe ulikuwa ni incubator, hebu nifafanulie hapo mkuu nipate uelewa zaidi
 
Last edited by a moderator:
Mpangamji
ni kweli boss usemayo...lkn next time tumia forwarder ambae yeye anafanya door to door delivery ndani ya dar,io moja...pia hakikisha kabla ujampa forwarder dili awe amekupa price list yake kwa maana ya gharama zake,wewe hupendi kusikia TRA na usumbufu wao ndio maana ukatoa dili kwake,sasa yeye akirudi baadae kukwambia sijui TRA anataka hivi au anataka vile,yeye wa kazi gani sasa!?si ungemaliza kila wewe,ok waone ao jamaa nilioshauri waeza anza nao katika njia ya maji,na utalipia baada ya wao kuufikia mzigo wako warehouse (dar),lkn watakufamisha mapema gharama baada ya supplier wako kufanya delivery kwao (china au dubai),maana utapimwa dimensions uo mzigo wako then wataandika ktk risit yako,kisha wao watasafirisha na kuutoa bandarini then watakaa nao wao,then watakupigia simu kwamba mzigo wako umefika na waishautoa upo warehouse kwao so ukalipie ile gharama iliopo kwenye io risit,ukifanya malipo unachukua mzigo wako.

So kikubwa hakikisha wewe una m'mudu' supplier wako afanye packing ambayo itasababisha dimensions iwe ndogo,coz unapimiwa gharama kulingana na dimensions hizo habari za TRA n.k wao wanayo platform tayari hautawasikia wakikwambia.

Mfano ata binafsi ukinipa dimensions za uo mzigo ulikuaje naeza kukupa gharama uliyotakiwa kulipia.lkn kwa awali dola 230 then laki 7,duuuu lazima ni zigo linalokaribia ukubwa wa chumba uo,mkuuuubwa sana.
 
Last edited by a moderator:
Angalizo:katika ulimwengu wa biashara epuka matundu yanayoweza kukufanya usifocus,kama haya...IGNORE,usibishane-mpuuze! Wewe endelea kufikiri kufika pale unapo pahitaji kufika.

Sometimes yes but sometimes no!
 
Iko vzuri hii,.ila kwa sie Wa yes yes mzungu kala mafenesi lazima uingizwe cha kuchuchumaa..
 
Back
Top Bottom