Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Sidhani kama hapo utapata jibu hata moja sahihi kulingana na kuwasilisha maelezo yaliyokuwa kwenye mabano.
Sio kila kijiji kina fursa zinazo fanana.

We sema ni mkoa gani na kijiji kipi kisha kuna watu wenye uzoefu wa maeneo husika ndio watakupa majibu yenye kuweza kuyafanyia kazi.

Kuna mtu kasema vocha,wakati kuna vijiji hakuna mtandao hata mmoja wa sim unafika huko.Sas atamuuzia nani
Nyanya au Mgahawa,kuna vijiji ambavyo wanalima hizo nyana,na kuna vijiji ambavyo watuw ake hata ufungue mgahawa hakuna mtu utakae mpata


Sasa ukitoa maelezo ya mkoa na kijiji au hata wilala basi inakuwa nahisi watu kukuambia fursa zilizopo huko

KWA wenyeji wa mkoa wa ruvuma wilaya ya mbinga kijiji cha TINGI.. NAOMBA UZOEFU WENU
 
Jambo wadau,

Samahani nina binti yangu nataka nimpe mtaji wa laki moja, so nauliza biashara ipi anaweza kuifanya?
Kwa maeneo kama ya kijijini?

hakuna biashara mbaya au nzuri, tofauti ni mtaji, pia vijiji hutofautiana kwa kimaendeleo, chanzo kikiwa ni elimu ilioleta mengine, ungepata msaada kwa wengi kama ungetaja kijiji na wilaya husika
 
Ni vzr ukutaja ni mkoa gani kwa mfano mby tky anaweza akawa ananunua ndizi kjjni 3000 anapeleke let say tky mjn anauza around 7-10 elfu it depend na ndz yenyewe kwa laki moja ananunua ndz hata 5 plus pesa za vibarua inaweza ikawa 10elfu ila inafuatana na kjj chenyewe maana kuna baaz ya maeneo miondombinu mibovu ivyo bas itampesa kutumia both manual labor and automatic. Nawasilisha
 
Achukue tenda ya kulangua kuku mitetea vijijini ndani na aongee na wenye mahoteli au migahawa kwenye Center, anakauwa anawauzia kwa cash na kurudi tena kijijini. Akifanya hivyo ndani ya mwaka mmoja atakuwa mbali kimtaji, zaidi asitumie pesa vibaya bali azingatie mapato na matumizi. Mwisho awe na daftari la kurekodi mwenendo wa biashara yake. Hakuna lisilowezekana!!!!!!
 
Salamu kwa wote,

Mimi ni binti wa miaka 23, nipo chuo CBE nina mtaji wa sh laki nne, nahitaji kufanya biashara ya kujiongezea kipato huku nikiwa nasoma, naomba ushauri ni biashara gani nifanye?.
 
laki 4
nunua vidaftari vidogo uwe unawauzia wenzako

vile vya wanachuo na kalamu

kwa laki moja hizo laki 3wengine wakushauri

so nunua begi kubwa la mgongoni tia madaftari na hakikish aunakuza jina kila mtu ananunua kwako
 
Biashara ni kukidhi mahitaji ya wateja kwa kupata faida..., cha muhimu angalia mahitaji wanayo weza kuhitaji wanachuo waliokuzunguka iwe ni urembo mavazi au hata kama unajua kusuka unaweza kuwa offer service hii kwa kuwafuata walipo

Kama una taste ya style ya nguo unaweza kwenda kuchagua mitumba robota likifunguliwa unazifua na kuzinyoosha unawapelekea wanafunzi wenzako wachague
 
Hongera kwa wazo nzuri, angalia mazingira ya hapo ulipo vitu gani vidogo vidogo visivyopatikana kwa urahisi ndio udili navyo, au kama kwenu kuna uwezekano wa kuwa na mifugo ungeenda kufuga kuku maana mara nyingi faida yake nikuu, ubarikiwe sana
 
Back
Top Bottom