Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Salamu kwa wote,Mimi ni binti Wa miaka 23, nipo chuo cbe nina mtaji Wa sh laki ,naitaj kufanya biashara ya kujiongezea kipato huku nikiwa nasoma,naomb ushaur n biashara gani nifanye.
asante mkuu,naishi dar maeneo ya mbezi kimara,cijawai fanya biashara y aina yyte,nasomea uhasibu ndoto zangu nikua muhasibu n mfnya biashara hapo baadae hususan restaurant, na ishi nyumban kwa wazazi ,chuoni nasoma masomo y jioni kuanzia xaa 12 mpk 3 usiku.
Tumia akili zaidi
Nimeombwa kuungwa kwenye hilo group ila bado sijaungwa jamani..nnakosa uhondo wa utajiri wakuu.
Nimeombwa kuungwa kwenye hilo group ila bado sijaungwa jamani..nnakosa uhondo wa utajiri wakuu.
pm namba bossNimeombwa kuungwa kwenye hilo group ila bado sijaungwa jamani..nnakosa uhondo wa utajiri wakuu.
pm namba bossMkuu hata mie nimepigana sana kuongezwa kwenye group lakini mpaka dk hii bado cjafanikiwa.