huko geita kunatatizo la hospitali kwanini usikodishe nyumba ukafungua hospitali kubwa tu pesa yako itarudi tu
Biashara nyingi Tanzania huwa zikianza hazidumu sana zinakufa kwa kuwa sisi tunaenda kinyume nyume. Unakuta mtu amefumania milioni 10 ndio anaanza kufikiria biashara gani afanye.Yaani ilimradi tu na yeye afanye biashara. Kule kwa wenzetu unakuta mtu hana hata dollar 100 mfukoni anatengeneza wazo la biashara ambayo inahitaji mtaji wa mamilioni ya Dollar na biashara inaanzishwa na kutengemaa na kumfanya yeye awe millionaire baadae. Tuache kwenda kinyume nyume kwenye biashara.
mimi ni mwanachuo mwaka wa kwanza ruaha university (ruco) iringa mjini, naomba ushauri wakubwa nifanye biashara gani niko serious ktk hili nina laki 5 ya uhakika, likizo huwa nakuepo dar, nilifikiria kufanya biashara ya nguo bt ckupata washaur wazur na sehemu ya kupatia mzigo, so nko tayar kwa ushaur abt any pocblbe business.
mi nafanya biashara ya mkaa,join na mimi nikuletee,uuze au umweke mtu auze,kama huwezi nanunua mzigo nakulllllllllletea unauuza kkwea jumla,Mkaa mpaka ufike hapa unakuwa umecost 28000 per bag,Ukiuza hapa dar unauza kwa tsh 37000 per bag,hiyo ni whole sale,,,,retail ni 40000 up to 45000 per bag,,nina kibali kabisa,,,Au kama uko ruaha tafuta shamba kama heka moja,lima vitunguu.Lima kwa kisasa,heka moja ukitumia vibarua na ni umwagiliaji unapata bag 50 mpaka 90 or 100 bag,,ukiuza kila bag sh 60000,unapata kuanzia 3m ,5m to 6m,,hiyo ni ndani ya miezi mitatu,,unakua umevuna
Mishkaki ya mbwa inalipa kwa wenye mitaji midogo
Mishkaki ya mbwa inalipa kwa wenye mitaji midogo
Fanyia utafiti zaid hiyo ya mkaa, itakulipa na ni mali isiyosumbua uuzaji wake endapo utatafuta sehemu nzuri, haiharibiki na hivyo huna wasi wasi wa kupoteza hela yako
Jaribu hiyo ya mkaa, ya vitunguu usithubutu, utalilia chooni
kama vp nunua vitabu vikusahidie katika masomo yakomimi ni mwanachuo mwaka wa kwanza ruaha university (ruco) iringa mjini, naomba ushauri wakubwa nifanye biashara gani niko serious ktk hili nina laki 5 ya uhakika, likizo huwa nakuepo dar, nilifikiria kufanya biashara ya nguo bt ckupata washaur wazur na sehemu ya kupatia mzigo, so nko tayar kwa ushaur abt any pocblbe business.
Biashara nyingi Tanzania huwa zikianza hazidumu sana zinakufa kwa kuwa sisi tunaenda kinyume nyume. Unakuta mtu amefumania milioni 10 ndio anaanza kufikiria biashara gani afanye.Yaani ilimradi tu na yeye afanye biashara. Kule kwa wenzetu unakuta mtu hana hata dollar 100 mfukoni anatengeneza wazo la biashara ambayo inahitaji mtaji wa mamilioni ya Dollar na biashara inaanzishwa na kutengemaa na kumfanya yeye awe millionaire baadae. Tuache kwenda kinyume nyume kwenye biashara.