Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?


Kuna materialists na idealists. Materialist anaanza kuwa na kitu then anatafuta wazo, mfano kama ni biashara afanye ipi wakati tayari ana mtaji. Idealist anaanza kuwa na wazo then anaangalia atafanyaje ili apate mtaji. Kwa hiyo nategemea na falsafa ya muhusika.
 

uza vocha haitokuumiza kichwa kwa mtaji huo
 



Jaribu hiyo ya mkaa, ya vitunguu usithubutu, utalilia chooni
 
Mishkaki ya mbwa inalipa kwa wenye mitaji midogo

kama umeshindwa kutoa ushauri unakaa kimya sio kila kitu lzm uchangie sawa mkubwa!!

Kwa mtaji huo unaweza ukawekeza hata kwenye mpesa tafuta kijana kwa hapo hapo Iringa maeneo ya chuoni kwenu awe anafanya hy ishu pole pole itakuzalishia pesa na kupata hasara sio rahisi na ni easy to manage it!
 
Fanyia utafiti zaid hiyo ya mkaa, itakulipa na ni mali isiyosumbua uuzaji wake endapo utatafuta sehemu nzuri, haiharibiki na hivyo huna wasi wasi wa kupoteza hela yako

sio kirahisi hivyo.
mali asili na idara ya msitu wamekuwa pilipili kweli.
wakikudaka unasifirisha mkaa, faini yao ni kichefuchefu!
labda uwe na vibali vyote
 
kama vp nunua vitabu vikusahidie katika masomo yako
 

Sioni kama we ni mfuatiliaji wa mambo yanayoendelea duniani, ni kama ulikariri zamani kuwa ulaya hawafirisiki, yaan daily watu wanasema biashara kubwa zinakufa ulaya, umoja wa ulaya unadidimia, af bado unabaki kusema waTz akili hazifanyi kazi kibiashara
 
jf naomba mnipe mawazo kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nina laki 3 nataka nijumue nguo za dukani then nipeleke vijijini nikauze kwa rejareja,kwa wale wazoefu wa biashara hasa za minadani hiyo pesa inaweza kunitoa kimaisha? mimi nipo sumbawanga mjini nataka kwenda mbeya mjini kujumua huo mzigo kwa hiyo pesa,naomba msaada wa mawazo
 
ungekuwa town zingekutoa, hasa ukianzisha genge la chakula maeneo ya stendi au yeyote yenye watu wengi wa kipato cha chini na kati.

Nguo?? Sina hakika, labda mitumba lakini nikifikiria nauli?? Au uwe wale wanaouza vijijini kwa kufuata siku za minada.
 
vijiji vya sumbawanga sivifahamu,chochote kile nitakachofika kama unavifahamu naomba unipe data ya vijiji ambavyo angalau nitauza
 
Yani hiyo hela ni ndogo sana kwa biashara yako yakusafiri nakushauri ukanunue chenji uuze bara barani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…