mi nafanya biashara ya mkaa,join na mimi nikuletee,uuze au umweke mtu auze,kama huwezi nanunua mzigo nakulllllllllletea unauuza kkwea jumla,Mkaa mpaka ufike hapa unakuwa umecost 28000 per bag,Ukiuza hapa dar unauza kwa tsh 37000 per bag,hiyo ni whole sale,,,,retail ni 40000 up to 45000 per bag,,nina kibali kabisa,,,Au kama uko ruaha tafuta shamba kama heka moja,lima vitunguu.Lima kwa kisasa,heka moja ukitumia vibarua na ni umwagiliaji unapata bag 50 mpaka 90 or 100 bag,,ukiuza kila bag sh 60000,unapata kuanzia 3m ,5m to 6m,,hiyo ni ndani ya miezi mitatu,,unakua umevuna