Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Mikese ndo wapi huko mkuu? Na mm naona hiyo inanifaa
Ni hapo Morogoro Mizani ndugu nauli kwenda sio zaidi ya 10000 ukitokea Dar pamoja na mzigo wa tenga lako kwenye lori hutalipa zaidi ya 150000 am sure ukirudi na kuku wako hapa say umewachukua kwa 15,15, naamini unapiga faida...wazo la mbali japo sina uzoefu nalo nimewaza tu...naamini mwanzo mdogo huwa na mwisho mkubwa
 
Hao kuku wana mdondo balaa, Usithubutu kununua kuku pale mikese
Kuku mwenye mdondo hawezi ku-survive kwa saa 24 asife by the way kuna chanjo na inapatikana kwa bei chee sana.
 
Kama waweza distribute tufanye biashara.. Ni wale dagaa safi,hawana nchanga,ambao wameshapikwa na viungo na chumvi,waweza kunywea chai,kwenye supermarket wanauza mpaka buku mbili jelo.
huanikwa kwenye vichanja tumewaweka katika vifungashio.
We unauza shingapi?
 
kwa kiasi hicho cha pesa unaweza kwenda vijiji kama iringa au mbeya ukalangue mbegu za maboga
arafu uje kuniuzia mimi nipo dar,huwa nanunua debe sh12000
Unaweza nitumia your contacts please tufanye biashara
 
Naomba mchango wa kima wazo, nina laki 5 nifanye issue gan?
Npo .....Dodoma (UDOM)
Age ..... 27
Plz tia neno


Anza biashara ya kuuza ubuyu/ukwaju uko mwingi huko Dom. na huhitaji mtaji mkubwa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…