mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
sawa mkuu..nilijua ntawakela wengineMkuu tunaomba utuwekee mtiririko wa chanjo na tiba za magonjwa ili wote tujifunze.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa mkuu..nilijua ntawakela wengineMkuu tunaomba utuwekee mtiririko wa chanjo na tiba za magonjwa ili wote tujifunze.
Hapana mkuu, wengi tunajifunza kupitia huu uzi.sawa mkuu..nilijua ntawakela wengine
Mkuu hii biashara ni nzuri lakini sisi tuliopanga kama tunakosa vitu adimu kama hv, maana kufuga kwwnye nyumba mpo zaidi ya 5 haijaa sawasawa mkuu..nilijua ntawakela wengine
*MAGONJWA YA KUKU NA TIBA ZAKE*Mkuu tunaomba utuwekee mtiririko wa chanjo na tiba za magonjwa ili wote tujifunze.
usijaribu...maana utafukuzwa kabla hakujachaMkuu hii biashara ni nzuri lakini sisi tuliopanga kama tunakosa vitu adimu kama hv, maana kufuga kwwnye nyumba mpo zaidi ya 5 haijaa sawa
tafuta eneo mkuuMkuu hii biashara ni nzuri lakini sisi tuliopanga kama tunakosa vitu adimu kama hv, maana kufuga kwwnye nyumba mpo zaidi ya 5 haijaa sawa
chanjo zipo nyingi kama zamkuu the farmer umesomeka vizuri sana, sasa nina swali langu dogo tu kuhusu chanjo ili kuzuia magonjwa, je kuku wanapatiwa chanjo za magojwa yote hayo tofauti tofauti? au kuna chanjo moja tu inayozuia magonjwa yote?
*ZIFAHAMU TARATIBU NA RATIBA ZA UCHANJAJI WA KUKU KUANZIA VIFARANGA NA KUKU WAKUBWA.*mkuu the farmer umesomeka vizuri sana, sasa nina swali langu dogo tu kuhusu chanjo ili kuzuia magonjwa, je kuku wanapatiwa chanjo za magojwa yote hayo tofauti tofauti? au kuna chanjo moja tu inayozuia magonjwa yote?
kuna mashamba mengi sana mkuu..kama uko serious sema tukuunganishe na wahusika upate mahitajiMadini ya humu ni balaa hivi mtu anaweza akakuuzia kuku wa mayai mjini hapa dsm au wanapatikana sehemu gani?
lakini mara nyingi ni viafaranga ili upate mayai mengi wakianza kutaga kama kusudi lako ni mayaiMadini ya humu ni balaa hivi mtu anaweza akakuuzia kuku wa mayai mjini hapa dsm au wanapatikana sehemu gani?
Ilikuwa mwaka gani?Sio hoja, mshahara wa prof wa chuo kikuu ulikua 1820/=tsh
shukran mkuuchanjo zipo nyingi kama za
1.kideri
2.mdondo
3.gumboro n.k
pia zinatolewa kwa muda tofauti..nilizotoa hapo juu ni tiba ila chanjo utazipata muda si mwingi mkuu
Asante mkuu, nimekuelewa sana.*MAGONJWA YA KUKU NA TIBA ZAKE*
UTANGULIZI
Kuku kama wanyama wengine hushambuliwa
na magonjwa mbalimbali ambayo mengine
yanatibika kwa dawa na mengine hayana tiba
bali kuku hupewa chanjo maalumu ambayo
huzuia magonjwa hayo.Leo nitawaeleza baadhi
ya magonjwa ambayo hushambulia kuku mara
kwa mara na ambayo ni chanzo cha
kuwakatisha tamaa wafugaji wa kuku.
A.) MAGONJWA YANAYOHITAJI CHANJO
1> GUMBORO
Ugonjwa huu husababishwa na virusi.
DALILI ZA UGONJWA
-Kuku kuzubaa na kulundikana, pamoja na
kusinzia
-Kuku kuharisha
-Kuwa na vifo vingi kwa kuku
TIBA
Ugonjwa huu hauna tiba,,Kuku wakipewa Dawa
za oxytetracycline hupunguza vifo.
KINGA
wakinge kuku wapo kwa kuwapa chanjo ya
gumboro (Gumboro vaccine)
2> MAHEPE (Marecks)
Ugonjwa huu husababishwa na virusi
DALILI
-Kuku hupata ulemavu na vifo vya mara kwa
mara.
TIBA
Ugonjwa huu hauna tiba
KINGA
Chanjo hutolewa kwa vifaranga wenye umri wa
siku moja,vifaranga hupewa chanjo ya mahepe
(Marecks vaccine)
3>NDUI YA KUKU (Fowl Pox)
Ugonjwa huu husababishwa na virusi.
DALILI
-Kuku hupatwa na vidonda kichwani.
-Kuku hupata uvimbe mweupe kwenye
mdomo na kushindwa kula.
TIBA
Ugonjwa huu hauna tiba.
KINGA
Chanja kuku wako wa siku 60-90 kwa chanjo ya
Ndui ya kuku (Fowl pox vaccine).
4>MDONDO (New castle)
Ugonjwa huu husababishwa na virusi
DALILI
-Ugonjwa huu hutokea kwa ghafla na kuenea
kwa haraka
-Vifo vya kuku huwa vingi
-kuku hupumua kwa shida
-Kuku hupooza na kulemaa miguu
-Kuku hupinda shingo yake
-Kuku hupunguza kutaga mayai
-kuku huarisha
-Kuku Kuzunguka zunguka na kutembea
kinyume nyume.
TIBA
Hauna tiba
KINGA
Chanja vifaranga wako na kuku wako kwa
chanjo ya Mdondo (New Castlef vaccine) na
urudie chanjo hii kila baada ya miezi mitatu.
B.)MAGONJWA YANAYOTIBIKA KWA DAWA
1>KUHARA DAMU (coccidiosis)(Koksidiosisi
Ugonjwa huu husababishwa na virusi.
DALILI
-Kuku huzubaa na kujikunyata
-Kuku kuharisha LinkedI chenye damu au
kinyesi cha kahawi
-Kuku hudhoofika,manyoya huvurugika na
kulegea mabawa na kuonekana kama wawevaa
koti
-Kuku hupungukiwa homa ya kula
-Vifo huwa vingi kwa vifaranga
TIBA
Wape kuku wako dawa kama Esb 3, Amprolium,
au Basulfa.
KINGA
Zingatia usafi wa banda la kuku na usiruhusu
unyevuunyevu katika banda la kuku,
2>HOMA YA MATUMBO(Fowl typhoid)
Husababishwa na bakteria
DALILI
-Kuku hupata homa kali
-Kuku huarisha kinyesi cha kijani au njano
-Vifo huwa vingi hasa kwa vifaranga wenye
wiki 1-2
-Kuku huzubaa,kuvimba viungo vya
miguu,kuchechemea,kukosa hamu ya kula
-Kuku wanaotaga hupunguza utagaji,hutaga
mayai yenye ganda laini na hupata vifo vya
ghafla
TIBA
Dawa za oxytetracycline kama
Furamax,Typhoprim hutibu ugonjwa huu.
KINGA
Hakikisha usafi wa banda na vyombo vya
chakula na maji kwa kuku.
Tenganisha kuku wagonjwa na wazima
C)MINYOO
Hushambulia kuku wote wakubwa na vifaranga
DALILI
-Kuku hukonda
-Kuku huarisha
-Kuku hukohoa
-Kuku hupunguza utagaji
-Kuku hudumaa katika ukuaji/hawakui vizuri
-Kuku hupungua uzito
TIBA
Tumia dawa za minyoo kama piperazine
KINGA
Wapewe dawa za minyoo mara kwa mara kila
baada ya miezi mitatu
D)VIROBOTO/CHAWA/UTITIRI
Hushambulia sana vifaranga na hutokea vifo
kwa wingi kwa vifaranga Kwa kuku wakubwa
tatizo halionekani kwa sana lakini nao
huathiriwa sana.
DALILI
-Kuku kutochangamka
-Ukuaji mdogo wa kuku
-Kuku kutotaga na kuhatamia vizuri kutokana
na kusumbuliwa na chawa,utitiri au viroboto
-Viroboto huonekana kuganda machoni
wakinyonya damu
TIBA
Tumia dawa za unga kama sevin dust
5% ,Malathion ,akheri powder kwa kuku wote na
mabanda yao.
KINGA
Boresha usafi wa mabanda ya kuku.
E)UKOSEFU WA VITAMINI A
huathiri sana kuku wadogo.
*DALILI*
-Kuku huvimba macho na kutoa uchafu mzito
kama sabuni ya kipande iliyolowana.
-Mara nyingi ugonjwa hujitokeza baada ya
kipindi kirefu cha kiangazi
TIBA
wape kuku wote dawa za vitamini za kuku
zinazouzwa dukani.
KINGA
Wape kuku wako mchicha na majani mabichi
mara kwa mara.
ZINGATIO
Fuata ushauri wa matumizi sahihi kwa kila
dawa pindi ununuapo katika duka la dawa..
1972Ilikuwa mwaka gani?
KakaJambazi wacha ujambazi. Mwaka huo Shigongo alikuwa na miaka miwili tu. Hiyo biashara ya mtaji wa 5000 aliifanyaje?1972
Mkuu hii biashara inakuwaje,nipe mwongozo kidogoNjoo manyara ufanye biashara ya mahindi!