lindz
Member
- Apr 29, 2012
- 38
- 8
habari /wakubwa shikamooni!!mimi ni mwanafunzi wa chuo fulani hapa Dar es salaam !!naombeni ushauri biashara gani naweza nkafanya kwa kiasi cha laki tano na nusu!!frame la duka lipo maan ni la mzazi wangu (anafanya biashara nae pia katika hiyo frame ,biashara ya nguo,eneo mbezi beach)nmemwomba hivyo kakubali niweke biashara yangu pia!!sijajua nifanye biashara gani nzuri ya kukuza mtaji wangu!