Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Mkuu hizo biashara zenye return ya 30% hadi 40% ni zipi tuchangamkie?
 
Kukiwa na biashara kama hyo. You must be a genious.

Biashara nyingi za reja reja faida yake sio mbaya, muuza karanga anapata mpaka 100%, wauza uji wakata matunda wanaweza wakapata hata gross ya double the amount waliyoweka..., Ila hapa issue ni kwamba ingawa investment ya pesa sio nyingi ila investment ya nguvu na muda ni kubwa

Kuna mdau namjua huwa anazunguka kwenye ufunguzi wa marobota ya mitumba kwa siku anachagua nguo kama kumi kali kali anaziweka vizuri anawatembezea wadau wake, faida inaweza ikawa mpaka mara tatu...

Kwahio nadhani ni bora mtu hata uka-investment milioni 20 kama biashara unayofanya haichukui muda wako kuliko investment ya elfu 20 kama biashara inataka 100% ya muda wako.., Ingawa kwa nchi zetu za kimasikini kuajiri wafanyakazi ni pesa ndogo sana.., (unaweza ukamuajiri mtu akufanyie biashara hizi za mitaji midogo ukamlipa na bado faida ikabaki) Ila tatizo sababu mtaji ni mdogo anytime anaweza akakugeuka akafanya kile ulichomtuma afanye kwa faida yake mwenyewe na wateja walewale wako atakuibia..

Cha muhimu hapa ni kama mdau alivyosema ni kwa vikundi kuungana na kufanya biashara kwa pamoja iwe ukulima, ufugaji au uchuuzi, hapo wataweza hata kupata tender kubwa kubwa au hata kuongeza value ya bidhaa zao
 
Biashara nyingi za reja reja faida yake sio mbaya, muuza karanga anapata mpaka 100%, wauza uji wakata matunda wanaweza wakapata hata gross ya double the amount waliyoweka..., Ila hapa issue ni kwamba ingawa investment ya pesa sio nyingi ila investment ya nguvu na muda ni kubwa

Kuna mdau namjua huwa anazunguka kwenye ufunguzi wa marobota ya mitumba kwa siku anachagua nguo kama kumi kali kali anaziweka vizuri anawatembezea wadau wake, faida inaweza ikawa mpaka mara tatu...

Kwahio nadhani ni bora mtu hata uka-investment milioni 20 kama biashara unayofanya haichukui muda wako kuliko investment ya elfu 20 kama biashara inataka 100% ya muda wako.., Ingawa kwa nchi zetu za kimasikini kuajiri wafanyakazi ni pesa ndogo sana.., (unaweza ukamuajiri mtu akufanyie biashara hizi za mitaji midogo ukamlipa na bado faida ikabaki) Ila tatizo sababu mtaji ni mdogo anytime anaweza akakugeuka akafanya kile ulichomtuma afanye kwa faida yake mwenyewe na wateja walewale wako atakuibia..

Cha muhimu hapa ni kama mdau alivyosema ni kwa vikundi kuungana na kufanya biashara kwa pamoja iwe ukulima, ufugaji au uchuuzi, hapo wataweza hata kupata tender kubwa kubwa au hata kuongeza value ya bidhaa zao

Nakuunga mkono kaka, vikundi kuungana vinakuza mtaji kwa muda mfupi sana na wanaweza kuanzisha hata facilities za kuongeza thamani bidhaa zao
 
je? kwa sisi wanafunz wenye mitaj midogo mfano 200000 ni biashara gan twaweza kufanya ambazo hazitaitaj mda mwing katika usimamiz ili niweze kupata mda mwingi wa kusoma shule yaani izo biashara zenye return nzuri
 
je? kwa sisi wanafunz wenye mitaj midogo mfano 200000 ni biashara gan twaweza kufanya ambazo hazitaitaj mda mwing katika usimamiz ili niweze kupata mda mwingi wa kusoma shule yaani izo biashara zenye return nzuri[/QUO

wataalam mtusaidie kwa sisi wanafunzi nn tufanye kwa mitaji midogo pind tunapokuwa chuon.
 
je? kwa sisi wanafunz wenye mitaj midogo mfano 200000 ni biashara gan twaweza kufanya ambazo hazitaitaj mda mwing katika usimamiz ili niweze kupata mda mwingi wa kusoma shule yaani izo biashara zenye return nzuri

je? kwa sisi wanafunz wenye mitaj midogo mfano 200000 ni biashara gan twaweza kufanya ambazo hazitaitaj mda mwing katika usimamiz ili niweze kupata mda mwingi wa kusoma shule yaani izo biashara zenye return nzuri[/QUO

wataalam mtusaidie kwa sisi wanafunzi nn tufanye kwa mitaji midogo pind tunapokuwa chuon.


Mkuu cha kufanya angalia watu waliokuzunguka wana mahitaji gani unayoweza ukaya-solve..

Problems are Opportunities in Disguise.., kwahio kama kuna mahitaji ya vouchers, labda study materials, laptops, costmetics, secretarial services, problem solvings... au mahitaji yoyote unayoweza wewe ukayapata sehemu fulani kwa bei rahisi unaweza ukafanya biashara..,

Kama vipi unaweza kwenda a step forward hata ukawa na watu wako wanafanya usafi wa nguo hadi kutoa huduma ya kupika chakula cheaply (lakini kwa bei watakazotaka wanafunzi sijui kama uta-break even); be creative na uwe na USP (Unique Service Proposition) kwanini watu wanunue kwako na sio kwa kina mama au wafanyabiashara waliokuzunguka chuo ?
 
Ngoja tumsaidie kidogo.
Chips & Chicken Cafe
Wines & Spirits
Gas (LPG) Retail
Bottled Water
Motorcycle Spare Parts
Gift Service
Daycare
Tents & Chairs Leasing
Bookshop...
Hair Salon
M-pesa Sub Agent
Cyber Cafe
Executive Barber Shop
Handbag Service
Fruit / Juice Parlor
Movie Shop
Timber Yard
'Local' Bar
Photocopy Bureau
Chapati Wholesale
Pork Eatery/Butchery
Smokies & Egg Vending
 
Habar wana Jf nina laki tano mfukon nataka nifanye biashara je naweza fanya biashara gani?
 
Kama una eneo la kutosha tafuta kuku 50 kwa 8000 each ambao after 2month wataanza kutaga t? Hiyo laki 1 tengeneza banda, kuku wa kienyeji hawaugui ovyo kama mazingira yakiwa masafi.
JIONGEZE KIAKILI
 
Njoo chukua viatu jumla nauza 16 Ww wauza 20 Mali toka nairobi ImageUploadedByJamiiForums1414425039.847724.jpg
 
Back
Top Bottom