Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kaka mie nilikuwa naona kama kuna uwezekano tukutumie namba zetu via pm afu tufanye kuanzisha kitu kama group hivi la watsap ambapo tutakuwa tunashare ujuzi na ozoefu na kutatua vijitatizo vya hapa na pale na tutakaojaribu basi tushare uzoefu kiurahisi zaidi.
Hili ni wazo zuri sana, Tukiwa wengi tukapeana mawazo inakuwa vizuri na pia whatsap inatoa fursa ya kupata response ya haraka
 
Kaka mie nilikuwa naona kama kuna uwezekano tukutumie namba zetu via pm afu tufanye kuanzisha kitu kama group hivi la watsap ambapo tutakuwa tunashare ujuzi na ozoefu na kutatua vijitatizo vya hapa na pale na tutakaojaribu basi tushare uzoefu kiurahisi zaidi.

Hili ni wazo zuri sana, Tukiwa wengi tukapeana mawazo inakuwa vizuri na pia whatsap inatoa fursa ya kupata response ya haraka

Hahahaha kwa fast learners ni raisi sana kudevelop idea into next move...wazo zuri! Sorry nilikuwa busy kidogo ndio mana nimechelewa kujibu, well nini kinatakiwa? Si action...kikubwa wana group wawe watu sahihi! Basi mmoja wetu awe admin kisha tumtumie namba zetu. ..XFACTOR simamia show,your appointed admin
 
Hahahaha kwa fast learners ni raisi sana kudevelop idea into next move...wazo zuri! Sorry nilikuwa busy kidogo ndio mana nimechelewa kujibu, well nini kinatakiwa? Si action...kikubwa wana group wawe watu sahihi! Basi mmoja wetu awe admin kisha tumtumie namba zetu. ..XFACTOR simamia show,your appointed admin

Haina shida, nitumieni namba zenu kwa PM
 
Kaka mie nilikuwa naona kama kuna uwezekano tukutumie namba zetu via pm afu tufanye kuanzisha kitu kama group hivi la watsap ambapo tutakuwa tunashare ujuzi na ozoefu na kutatua vijitatizo vya hapa na pale na tutakaojaribu basi tushare uzoefu kiurahisi zaidi.

Hahahaha kwa fast learners ni raisi sana kudevelop idea into next move...wazo zuri! Sorry nilikuwa busy kidogo ndio mana nimechelewa kujibu, well nini kinatakiwa? Si action...kikubwa wana group wawe watu sahihi! Basi mmoja wetu awe admin kisha tumtumie namba zetu. ..XFACTOR simamia show,your appointed admin

Nianze na nyie wawili wengine watafuata, nitumieni namba PM.
 
Sikudhani kama mtafikia hatua hii ya kuwa na wazo nililokua nikikifikilia big up to u mates. Xfactor nimekutumia namba zangu tayari.
 
Hongera sana @Ndg.MWASALEMBA kwa thread nzuri na asante sana kwa maelezo yote, xfactor hope umeona pm yangu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom