Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

kama upo karibu na madeleva wa bodaboda.

tengeneza kibox cha wavu wa chuma chenye ngazi tatu pamoja na myororo wa chuma ili kufungia akikisha unabagain na fundi chuma akutengenezee kwa bei isiyozidi laki moja na hamsini. kisha tafuta sehemu ya kuweka hilo box. nunua box moja la oil kwa sh 115000 na oil ya dumu kwa ajili ya kupima kwa sh 60000 pamoja na Dumu empty la Lita 30 hili utalitumia kwa kununua petrol.kisha ongea na muokota makopo ya maji awe anakuuzia makopo ya Lita moja na nusu Lita sio mbaya ukiongeza kiasi kidogo kutoka kwa bei anayouzia kwa kilo kwa wafanyabiashara ya kununua makopo. theni Pima oil katika kipimo cha Lita moja na nusu Lita pia petrol katika vipimo hivyo. pesa itakayobakia nunua spare ndogo ndogo kama Bolt nut. bulb za indicator, break pad na stika mbalimbali.

mchanganuo

box=150,000
oil za kopo=115,000
Oil ya kupima= 60,000
petrol Lita 30=66,000
spare ndogo ndogo=109,000

JUMLA=500000

Laki moja hifadhi ili ikusaidie pale majanga yakitokea

Mapato

Oil ya kopo 6,000*24=144,000
oil ya kupim 4,000*20= 80,000
petrol ya kupima 2,500*30= 75,000
spare (109,000)*1.75= 190,750
jumla = 489,750/=

kama kwa mwezi ukauza mizunguko mitatu kwa kila bidhaa

mauzo 489,750*3= 1,469,250
manunuzi 350,000*3=1,050,000
faida kabla ya gharama=419,250/=

gharama

usafiri 20,000*3=60,000/=
Chakula 5000*30=150,000/=
jumla ya gharama= 210,000/=

Faida kuu
419,250-210000= 209,250

Fanya biashara hii huku ukisave 200000 kwa mwezi baada ya miezi kumi tafuta fremu ya jirani na eneo lako fungua duka la virahinishi na spea ndogondogo pia nunua compressor ndogo ya laki mbili tafuta fundi pikipiki mshawishi ahamie mbele ya duka lako na wewe uwe unaziba pancha na kujaza upepo pikipiki na bajaji kama nguvu unayo ya kutosha ziba ata pancha za gari

Asante umefafanua vizuri sana
 
Mawazo ya wtu ni mengi sana but kama ukipenda ninao uwezo wa kukusaidia nitafute kwa namba 0672573123
 
kama upo karibu na madeleva wa bodaboda.

tengeneza kibox cha wavu wa chuma chenye ngazi tatu pamoja na myororo wa chuma ili kufungia akikisha unabagain na fundi chuma akutengenezee kwa bei isiyozidi laki moja na hamsini. kisha tafuta sehemu ya kuweka hilo box. nunua box moja la oil kwa sh 115000 na oil ya dumu kwa ajili ya kupima kwa sh 60000 pamoja na Dumu empty la Lita 30 hili utalitumia kwa kununua petrol.kisha ongea na muokota makopo ya maji awe anakuuzia makopo ya Lita moja na nusu Lita sio mbaya ukiongeza kiasi kidogo kutoka kwa bei anayouzia kwa kilo kwa wafanyabiashara ya kununua makopo. theni Pima oil katika kipimo cha Lita moja na nusu Lita pia petrol katika vipimo hivyo. pesa itakayobakia nunua spare ndogo ndogo kama Bolt nut. bulb za indicator, break pad na stika mbalimbali.

mchanganuo

box=150,000
oil za kopo=115,000
Oil ya kupima= 60,000
petrol Lita 30=66,000
spare ndogo ndogo=109,000

JUMLA=500000

Laki moja hifadhi ili ikusaidie pale majanga yakitokea

Mapato

Oil ya kopo 6,000*24=144,000
oil ya kupim 4,000*20= 80,000
petrol ya kupima 2,500*30= 75,000
spare (109,000)*1.75= 190,750
jumla = 489,750/=

kama kwa mwezi ukauza mizunguko mitatu kwa kila bidhaa

mauzo 489,750*3= 1,469,250
manunuzi 350,000*3=1,050,000
faida kabla ya gharama=419,250/=

gharama

usafiri 20,000*3=60,000/=
Chakula 5000*30=150,000/=
jumla ya gharama= 210,000/=

Faida kuu
419,250-210000= 209,250

Fanya biashara hii huku ukisave 200000 kwa mwezi baada ya miezi kumi tafuta fremu ya jirani na eneo lako fungua duka la virahinishi na spea ndogondogo pia nunua compressor ndogo ya laki mbili tafuta fundi pikipiki mshawishi ahamie mbele ya duka lako na wewe uwe unaziba pancha na kujaza upepo pikipiki na bajaji kama nguvu unayo ya kutosha ziba ata pancha za gari
Hili ni wazo zuri sana!
 
kama upo karibu na madeleva wa bodaboda.

tengeneza kibox cha wavu wa chuma chenye ngazi tatu pamoja na myororo wa chuma ili kufungia akikisha unabagain na fundi chuma akutengenezee kwa bei isiyozidi laki moja na hamsini. kisha tafuta sehemu ya kuweka hilo box. nunua box moja la oil kwa sh 115000 na oil ya dumu kwa ajili ya kupima kwa sh 60000 pamoja na Dumu empty la Lita 30 hili utalitumia kwa kununua petrol.kisha ongea na muokota makopo ya maji awe anakuuzia makopo ya Lita moja na nusu Lita sio mbaya ukiongeza kiasi kidogo kutoka kwa bei anayouzia kwa kilo kwa wafanyabiashara ya kununua makopo. theni Pima oil katika kipimo cha Lita moja na nusu Lita pia petrol katika vipimo hivyo. pesa itakayobakia nunua spare ndogo ndogo kama Bolt nut. bulb za indicator, break pad na stika mbalimbali.

mchanganuo

box=150,000
oil za kopo=115,000
Oil ya kupima= 60,000
petrol Lita 30=66,000
spare ndogo ndogo=109,000

JUMLA=500000

Laki moja hifadhi ili ikusaidie pale majanga yakitokea

Mapato

Oil ya kopo 6,000*24=144,000
oil ya kupim 4,000*20= 80,000
petrol ya kupima 2,500*30= 75,000
spare (109,000)*1.75= 190,750
jumla = 489,750/=

kama kwa mwezi ukauza mizunguko mitatu kwa kila bidhaa

mauzo 489,750*3= 1,469,250
manunuzi 350,000*3=1,050,000
faida kabla ya gharama=419,250/=

gharama

usafiri 20,000*3=60,000/=
Chakula 5000*30=150,000/=
jumla ya gharama= 210,000/=

Faida kuu
419,250-210000= 209,250

Fanya biashara hii huku ukisave 200000 kwa mwezi baada ya miezi kumi tafuta fremu ya jirani na eneo lako fungua duka la virahinishi na spea ndogondogo pia nunua compressor ndogo ya laki mbili tafuta fundi pikipiki mshawishi ahamie mbele ya duka lako na wewe uwe unaziba pancha na kujaza upepo pikipiki na bajaji kama nguvu unayo ya kutosha ziba ata pancha za gari

Respect MKUU.Bonge la wazo!!!
 
kama upo karibu na madeleva wa bodaboda.

tengeneza kibox cha wavu wa chuma chenye ngazi tatu pamoja na myororo wa chuma ili kufungia akikisha unabagain na fundi chuma akutengenezee kwa bei isiyozidi laki moja na hamsini. kisha tafuta sehemu ya kuweka hilo box. nunua box moja la oil kwa sh 115000 na oil ya dumu kwa ajili ya kupima kwa sh 60000 pamoja na Dumu empty la Lita 30 hili utalitumia kwa kununua petrol.kisha ongea na muokota makopo ya maji awe anakuuzia makopo ya Lita moja na nusu Lita sio mbaya ukiongeza kiasi kidogo kutoka kwa bei anayouzia kwa kilo kwa wafanyabiashara ya kununua makopo. theni Pima oil katika kipimo cha Lita moja na nusu Lita pia petrol katika vipimo hivyo. pesa itakayobakia nunua spare ndogo ndogo kama Bolt nut. bulb za indicator, break pad na stika mbalimbali.

mchanganuo

box=150,000
oil za kopo=115,000
Oil ya kupima= 60,000
petrol Lita 30=66,000
spare ndogo ndogo=109,000

JUMLA=500000

Laki moja hifadhi ili ikusaidie pale majanga yakitokea

Mapato

Oil ya kopo 6,000*24=144,000
oil ya kupim 4,000*20= 80,000
petrol ya kupima 2,500*30= 75,000
spare (109,000)*1.75= 190,750
jumla = 489,750/=

kama kwa mwezi ukauza mizunguko mitatu kwa kila bidhaa

mauzo 489,750*3= 1,469,250
manunuzi 350,000*3=1,050,000
faida kabla ya gharama=419,250/=

gharama

usafiri 20,000*3=60,000/=
Chakula 5000*30=150,000/=
jumla ya gharama= 210,000/=

Faida kuu
419,250-210000= 209,250

Fanya biashara hii huku ukisave 200000 kwa mwezi baada ya miezi kumi tafuta fremu ya jirani na eneo lako fungua duka la virahinishi na spea ndogondogo pia nunua compressor ndogo ya laki mbili tafuta fundi pikipiki mshawishi ahamie mbele ya duka lako na wewe uwe unaziba pancha na kujaza upepo pikipiki na bajaji kama nguvu unayo ya kutosha ziba ata pancha za gari

Mkuu unefafanua vyema sana,Respect!
 
Habari zenu team! Tuungane kunishauri ni biashara gani naweza kuanzisha kwa sh laki tatu 300,000/= na ikanilipa ndani ya muda mfupi... Ushauri ndugu zanguni..Ahsanteni

Eric Shigongo alianza na mtaji wa tshs 5000/= kwa kuuza karanga pale Miti mirefu, Mwanza. mpaka kufika hapa alipo leo. Maisha ni safari, hujachelewa ndugu.

Kila la kheri!
 
Nenda Tandika sokoni asubuhi kuanzia j3-jumamosi kisha udake mashuka na mataulo wanauza bei poa sana kisha uza mtaani.
shuka wanaanzia 1000-5000 kutegemea na ubora na ukubwa .
pia unaweza kuchukua shuka za 1000 nyeupe ukashona foronya ukauza na shuka ukapandisha bei.
 
juvute vute kidogo,upate kama laki nne ivi hlf tunakukaribisha FOREVER!

wengi wamefanikiwa kwenye hii biashara hasa wale wenye real enthusiasm.
 
Back
Top Bottom