MASABURI
Member
- Dec 30, 2011
- 79
- 19
NI KWELIIIndugu yangu doreen22 na london wamekupa mwanga thatha anza kadhi but
tafuta dhile amri dha ujathiriamali, mi ntakupa chache tu;
- ubunifu(andaa mpango wa biashara yako)
- kujituma
- fanya kadhi mwenyewe(uthiajiri mtu kwandha)
- tundha mahethabu vidhuri
- uvumilivu
- kubali hathara penye faida
- ujathiri(uthiogope)
- kubali changammoto(uthidharau)
- pigania kuongedha mtaji inapobidi
- heshimu wateja wako
- fanya tathmini ya biashara yako kila wakati na ukibaini maendeleo chanya endelea nayo, kama ni hathi andha kufikiri upya juu ya mpango wako na uendeledhaji wake.
"usikubali kufeli mtihani nje ya chumba cha mtihani"