Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sorry nimechelewa kukujibu nipo DarUko mkoa gan
laki tanoHio 5 umemaanisha sh ngap ??
HahaaaLabda akauze maji anaweza toka
Mkuu, ufafanuzi kidogo hapo kwenye kutafuta odd maana wengine tunafahamu betting ni kutabiri mechi za mpira wa miguu tuNjoo kwenye betting unatafuta odd 1.10 per day...
500,000 X 1.10 = 550,000
Kila Siku unatengeneza profit ya 50k, ndani ya mwezi una profit ya 1.5m
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nicheki (0786157788 / 0767157788) tuunganishe nguvu, tufanye biashara itakayokupa si chini ya Sh 10,000 kwa sikuMimi ni kijana mkazi wa kigoma mjini nina Tsh 500000 naombeni mnishauri nifanye biashara gani ya kuniingizia walau faida 5000 kwa siku.
Ilishakutokeaga hii lazima akili zikomae
biashara sawa lakin hii bihashara huwezi kupata washauri wazuri.Hbr ya uzm wana Jf
Nina mtaji wa sh 300,000
Naomba ushaur wenu nifanye bihashara gn niko kahama
uza chips kwa kuwa kahama sikuhizi mjini watu hawali tena ugali na futari(ugali +maharage)Hbr ya uzm wana Jf
Nina mtaji wa sh 300,000
Naomba ushaur wenu nifanye bihashara gn niko kahama