Justine_Dannie
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,962
- 1,618
Elimu kandamizi ndio ikoje kaka!?Acheni kejeli nyie mnaojiona wasomi,kwani kumuelewesha mtu kuna shida gani?nyie wenyewe mnajua kabisa hali halisi ya elimu ya nchi yetu, nae hajapenda kuwa hivyo ila ni elimu kandamizi ndio imemsababishia hiyo lugha