Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Mnisamehe.
Nadhani tatizo hapa ni uandishi wako ndio tatizo.maana kuna tofauti kubwa ya uandishi wa kwenye simu na kwenye karatasi au uandishi rasmi (formal)
Ni hivi, mara nyingi unapowasiliana na watu kwa kumbeza simu basi lugha inaharibiwa kwa makusudi. Tizama
Sasa "ss"
Kama "km"
Niambie "nambie"
Na mengine..
Ushauri wangu.
Penda kuandika maneno kwa usahihi wake itafikia muda utazoea kaka.
Asante.
Naomba mnisameh wapendwa
Kukosea kuandika isiwe fimbo kwangu
 
Habari za majukumu wana jf wenzangu nimekuja kwenu kupata ushauri na mawazo kuhusu ujasiliamali Nina kiasi cha sh.laki 5 nataka nibuni biashara dar Nifanye ujasiliamali gani kwa dar maana nimewaza kwamuda mrefu sana sijapata jibu wadau karibuni tupeane mawazo au ushauri .

Sent using [url iPhone x
Uza hyo iphone x uongeze mtaji nikuelekeze cha kufanya!
 
Nunua mbao za reject za bei ndogo kisha tengeneza majeneza ya bei ndogo utauza tu usawa huu
 
jf tuache matani, mimi ninalo eneo fresh katikati ya mji wa morogoro, naendesha biashara ya mgahawa lakini haiendelei, wanga wengi, chuma ulete sijui inakuaje, nikiuza pesa sioni na uuzaji wenyewe kwa siku naweza kupka mchele kg 1 na unga kg1 yaani inaumaa!! eneo nalilipia, kuliachia naona uchungu nataraji labda watoto wakimaliza masomo na uhaba huu wa ajira panaweza kuja kuwafaa, lakini nateseka sana. naomba ushauri wenu zaidi
 
jf tuache matani, mimi ninalo eneo fresh katikati ya mji wa morogoro, naendesha biashara ya mgahawa lakini haiendelei, wanga wengi, chuma ulete sijui inakuaje, nikiuza pesa sioni na uuzaji wenyewe kwa siku naweza kupka mchele kg 1 na unga kg1 yaani inaumaa!! eneo nalilipia, kuliachia naona uchungu nataraji labda watoto wakimaliza masomo na uhaba huu wa ajira panaweza kuja kuwafaa, lakini nateseka sana. naomba ushauri wenu zaidi
Boresha ofisi,zingatia usafi

Tafuta mpishi mzuri

Kauli nzuri kwa wateja

Offer kwa wateja...mara moja moja unamuongezea kipimo mteja cha chakula au mboga.

Vyombo vya kuvutiwa

Nunua bidhaa supa,kama ni mchele uwe grade 1 au maziwa yasiwe na maji.

Pika vitu tofauti tofauti

Muombe sana Mungu

.........[emoji120][emoji120][emoji120]..........
 
i) Inatosha kuanzisha jiko la Nyama choma na chips

ii) Anzisha Duma last vinywaji baridi ambavyo ni maji, juice, soda Nk.

Mafriji ya kuanzia, viti na meza unapata bure toka kwa kampuni za Coca na Pepsi. Na mtaji wa vinywaji unapata kwa mawakala wao yaani unachukua vinywaji bure na ukishauza ndani ya siku 2 au 3 unapeleka pesa, wewe unabaki na profit. Uaminifu ni muhimu.
 
Habari wadau! Nina laki 6 naweza kufanya biashara ipi? Kwa maeneo ya Kahama au Ngara!

Nasubir ushauri wenu!
 
badili biashara uza hata vyakula vya mifugo
jf tuache matani, mimi ninalo eneo fresh katikati ya mji wa morogoro, naendesha biashara ya mgahawa lakini haiendelei, wanga wengi, chuma ulete sijui inakuaje, nikiuza pesa sioni na uuzaji wenyewe kwa siku naweza kupka mchele kg 1 na unga kg1 yaani inaumaa!! eneo nalilipia, kuliachia naona uchungu nataraji labda watoto wakimaliza masomo na uhaba huu wa ajira panaweza kuja kuwafaa, lakini nateseka sana. naomba ushauri wenu zaidi
 
i) Inatosha kuanzisha jiko la Nyama choma na chips

ii) Anzisha Duma last vinywaji baridi ambavyo ni maji, juice, soda Nk.

Mafriji ya kuanzia, viti na meza unapata bure toka kwa kampuni za Coca na Pepsi. Na mtaji wa vinywaji unapata kwa mawakala wao yaani unachukua vinywaji bure na ukishauza ndani ya siku 2 au 3 unapeleka pesa, wewe unabaki na profit. Uaminifu ni muhimu.
Naomba msaada zaidi kwa hyo option ya pili mkuu.
 
Hi, ni biashara gani. Naweza fanya yenye mtaji wa laki tano mpka sita na inalipa pia nitaianzisha katka mzingira gani??????
 
Back
Top Bottom