Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Inshallahsawa nasubiri dear..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inshallahsawa nasubiri dear..
Upo mkoa gan mkuuSure..mie likizo ya corona najizungushia kiwepesi mno dagaa! .najuta kesho sina mzigo na ni ijumaa kuu
MoroUpo mkoa gan mkuu
.. Samahani Mkuu, hebu nifafanulie kidogo hii ya 'Pilipili ya Matunda'. Nimeipenda ingawaje sijaielewa vyema....Kutengeneza Pilipili ya Matunda na Ukwaju..
kukaanga mihogo na Dagaa
kutembeza Nguo za watoto
kesho nitafafanua.... Samahani Mkuu, hebu nifafanulie kidogo hii ya 'Pilipili ya Matunda'. Nimeipenda ingawaje sijaielewa vyema....
Sent using Jamii Forums mobile app
kesho nitafafanua..
Kwenye pita pita zako ukikutana na soko la perege nishtue. Maana wanapatikana kwa soko la vunja bei.Sure..mie likizo ya corona najizungushia kiwepesi mno dagaa! .najuta kesho sina mzigo na ni ijumaa kuu
Vp kuhusu karanga mkuu.?Habari zenu wakuu!
Ni mara nyingi sana vijana tumekuwa tukihangaika huku na kule kutafuta kipato ila wengi wetu tumekuwa tukiambulia kusema hatuna mitaji ya kutosha sasa leo nakuletea hizi biashara baada ya kufanya utafiti wa kina
1. Kuuza dagaa wabichi
Hii biashara inawahusu watu waishio kando kando ya ziwa hasa ziwa victoria. Kwa wenyeji wa Mwanza natambua wanaelewa vizuri hii kitu. Katika biashara hii unachohitaji ni tenga lako na mtaji usiozidi 50,000 hata kama huna baiskel utakodi kwa siku utalipia 1000 tu. Haina changamoto sanaa tofauti na aibu hasa kama wewe ni msomi itakupa shida mpaka kuizoea
2. Kukaanga samaki na kuwauza
Ni biashara nyingine ambayo inaleta pesa mingi sana zaidi ya maelezo. Hapa mtaji hauzidi 100,000 lkn utapata faida zaidi 15000 kwa siku. Kijana changamkia fursa
3. Kutembeza maziwa maeneo ya mjini.
Aisee kijana hii ni zaidi ya biashara niliwahi kuifanya hapa Mwanza lkn niliacha coz nilienda masomoni liporudi nikawa naona aibu tena hapo ndipo huwa naamini kuwa Elimu ni kifungo cha Maisha
4. Kulangua mboga mboga na kwenda kuuza jumla sokoni pale saba saba.
Kwa leo inatoshaa karibuni kwa mapovu na ushaurii
Wanapatikana wapi mkuu.Kwenye pita pita zako ukikutana na soko la perege nishtue. Maana wanapatikana kwa soko la vunja bei.
Bukundi meatu uko mkuu.Wanapatikana wapi mkuu.
Karanga nenda bukene Tabora mda huu.Vp kuhusu karanga mkuu.?
.Bukundi meatu uko mkuu.
Ngoja nilifanyie kazi mkuu.Karanga nenda bukene Tabora mda huu.
Hutajuta mkuu
Jamaa angu usione aibu kabsa maana maisha yako yasipo badilishwa na ww bac hamna mwingine wa kuyabadilisha kabisaaaHayo maneno ya mwisho kwenye kipengele no.4 nayakazia aisee.
Nilishindwa kabisa kufanya mambo tofauti yasiyohitaji elimu niliyosomea kisa aibu na uwoga wa kukosolewa,kusemwa nk mpaka ikanilazimu nihame mkoa niliozoeleka.
Kweli katika zile basic human fears za mwanadamu,FEAR OF CRITICISM ndo adui kubwa na elimu ya darasani ndo inayompa kichwa huyu adui!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku tunajadili mambo ya msingi,angalia maneno ya kutumia. Mapovu ndio nini?Habari zenu wakuu!
Ni mara nyingi sana vijana tumekuwa tukihangaika huku na kule kutafuta kipato ila wengi wetu tumekuwa tukiambulia kusema hatuna mitaji ya kutosha sasa leo nakuletea hizi biashara baada ya kufanya utafiti wa kina
1. Kuuza dagaa wabichi
Hii biashara inawahusu watu waishio kando kando ya ziwa hasa ziwa victoria. Kwa wenyeji wa Mwanza natambua wanaelewa vizuri hii kitu. Katika biashara hii unachohitaji ni tenga lako na mtaji usiozidi 50,000 hata kama huna baiskel utakodi kwa siku utalipia 1000 tu. Haina changamoto sanaa tofauti na aibu hasa kama wewe ni msomi itakupa shida mpaka kuizoea
2. Kukaanga samaki na kuwauza
Ni biashara nyingine ambayo inaleta pesa mingi sana zaidi ya maelezo. Hapa mtaji hauzidi 100,000 lkn utapata faida zaidi 15000 kwa siku. Kijana changamkia fursa
3. Kutembeza maziwa maeneo ya mjini.
Aisee kijana hii ni zaidi ya biashara niliwahi kuifanya hapa Mwanza lkn niliacha coz nilienda masomoni liporudi nikawa naona aibu tena hapo ndipo huwa naamini kuwa Elimu ni kifungo cha Maisha
4. Kulangua mboga mboga na kwenda kuuza jumla sokoni pale saba saba.
Kwa leo inatoshaa karibuni kwa mapovu na ushaurii
Nafahamu ila bado sikua huru kivile.ndo nipo mkoa mwingine napiga mishe kwa uhuru nnaoutaka bila hata chembe ya aibu.Jamaa angu usione aibu kabsa maana maisha yako yasipo badilishwa na ww bac hamna mwingine wa kuyabadilisha kabisaaa