Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Habari zenu wakuu!

Ni mara nyingi sana vijana tumekuwa tukihangaika huku na kule kutafuta kipato ila wengi wetu tumekuwa tukiambulia kusema hatuna mitaji ya kutosha sasa leo nakuletea hizi biashara baada ya kufanya utafiti wa kina

1. Kuuza dagaa wabichi
Hii biashara inawahusu watu waishio kando kando ya ziwa hasa ziwa victoria. Kwa wenyeji wa Mwanza natambua wanaelewa vizuri hii kitu. Katika biashara hii unachohitaji ni tenga lako na mtaji usiozidi 50,000 hata kama huna baiskel utakodi kwa siku utalipia 1000 tu. Haina changamoto sanaa tofauti na aibu hasa kama wewe ni msomi itakupa shida mpaka kuizoea

2. Kukaanga samaki na kuwauza
Ni biashara nyingine ambayo inaleta pesa mingi sana zaidi ya maelezo. Hapa mtaji hauzidi 100,000 lkn utapata faida zaidi 15000 kwa siku. Kijana changamkia fursa

3. Kutembeza maziwa maeneo ya mjini.
Aisee kijana hii ni zaidi ya biashara niliwahi kuifanya hapa Mwanza lkn niliacha coz nilienda masomoni liporudi nikawa naona aibu tena hapo ndipo huwa naamini kuwa Elimu ni kifungo cha Maisha

4. Kulangua mboga mboga na kwenda kuuza jumla sokoni pale saba saba.


Kwa leo inatoshaa karibuni kwa mapovu na ushaurii
Vp kuhusu karanga mkuu.?
 
Hayo maneno ya mwisho kwenye kipengele no.4 nayakazia aisee.
Nilishindwa kabisa kufanya mambo tofauti yasiyohitaji elimu niliyosomea kisa aibu na uwoga wa kukosolewa,kusemwa nk mpaka ikanilazimu nihame mkoa niliozoeleka.

Kweli katika zile basic human fears za mwanadamu,FEAR OF CRITICISM ndo adui kubwa na elimu ya darasani ndo inayompa kichwa huyu adui!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo maneno ya mwisho kwenye kipengele no.4 nayakazia aisee.
Nilishindwa kabisa kufanya mambo tofauti yasiyohitaji elimu niliyosomea kisa aibu na uwoga wa kukosolewa,kusemwa nk mpaka ikanilazimu nihame mkoa niliozoeleka.

Kweli katika zile basic human fears za mwanadamu,FEAR OF CRITICISM ndo adui kubwa na elimu ya darasani ndo inayompa kichwa huyu adui!

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa angu usione aibu kabsa maana maisha yako yasipo badilishwa na ww bac hamna mwingine wa kuyabadilisha kabisaaa
 
Habari zenu wakuu!

Ni mara nyingi sana vijana tumekuwa tukihangaika huku na kule kutafuta kipato ila wengi wetu tumekuwa tukiambulia kusema hatuna mitaji ya kutosha sasa leo nakuletea hizi biashara baada ya kufanya utafiti wa kina

1. Kuuza dagaa wabichi
Hii biashara inawahusu watu waishio kando kando ya ziwa hasa ziwa victoria. Kwa wenyeji wa Mwanza natambua wanaelewa vizuri hii kitu. Katika biashara hii unachohitaji ni tenga lako na mtaji usiozidi 50,000 hata kama huna baiskel utakodi kwa siku utalipia 1000 tu. Haina changamoto sanaa tofauti na aibu hasa kama wewe ni msomi itakupa shida mpaka kuizoea

2. Kukaanga samaki na kuwauza
Ni biashara nyingine ambayo inaleta pesa mingi sana zaidi ya maelezo. Hapa mtaji hauzidi 100,000 lkn utapata faida zaidi 15000 kwa siku. Kijana changamkia fursa

3. Kutembeza maziwa maeneo ya mjini.
Aisee kijana hii ni zaidi ya biashara niliwahi kuifanya hapa Mwanza lkn niliacha coz nilienda masomoni liporudi nikawa naona aibu tena hapo ndipo huwa naamini kuwa Elimu ni kifungo cha Maisha

4. Kulangua mboga mboga na kwenda kuuza jumla sokoni pale saba saba.


Kwa leo inatoshaa karibuni kwa mapovu na ushaurii
Huku tunajadili mambo ya msingi,angalia maneno ya kutumia. Mapovu ndio nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom