Umomi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 677
- 986
Sawa sawa man ulifanya k2 cha maana sanaNafahamu ila bado sikua huru kivile.ndo nipo mkoa mwingine napiga mishe kwa uhuru nnaoutaka bila hata chembe ya aibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawa man ulifanya k2 cha maana sanaNafahamu ila bado sikua huru kivile.ndo nipo mkoa mwingine napiga mishe kwa uhuru nnaoutaka bila hata chembe ya aibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo n lugha ya kawaida sanaHuku tunajadili mambo ya msingi,angalia maneno ya kutumia. Mapovu ndio nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
NzegaKaranga nenda bukene Tabora mda huu.
Hutajuta mkuu
Mzee ulichoandika hapa ni Theory au labda undhani biashara aina ya Uwakala nk.Jamaa angu usione aibu kabsa maana maisha yako yasipo badilishwa na ww bac hamna mwingine wa kuyabadilisha kabisaaa
Sijakulewa swali lakoMzee ulichoandika hapa ni Theory au labda undhani biashara aina ya Uwakala nk.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu weka hitaji lako vizuri
Mabibo ni nachoona kufanya ni kufungua biashara ya chipsebu weka hitaji lako vizuri
1. unaishi wapi ? hii itasaidia kujua nn ukifanya utafanikiwa.
2. ww mwenyewe unaona nn unaweza kufanya ili usaidiwe kulingana na wepesi wako wa kufanya jambo.
nk
nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok sasa fanya hivi :
Njoo nikupeleke kwenye maduka ya jumla ya nguo za ndan ujichagulieNaitaji hii business, unansaidiaje nguo za ndani za wadada
Wakati ukisubiri korona wenzio wanaendelea kuchapa noti.Nadhani wakati huu na hili gonjwa sio sahihi kuanzisha biashara