Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Pori gani mkuu? mkoa gani kabisa mtu ajitose
Utaenda kupoteza hela huko, Logistics za kuleta mkaa mjini lazma uwe CON-TAWA! Kuna hela nyingi sana utawaachia Maliasili hapo Road na lazma uwe na vibali vya kueleweka.

Sikukatishi tamaa ila nakupa alert. Hii michongo ya kupeana story vijiweni ishatu cost sana.
 
Mkuu mkoa gani huu yaani ni sehemu gani naomba uniambie
achana na biashara ya mkaa kupata hela inabidi wewe mwenyewe ufanye kazi nyingi na ikiwezekana na kuuza pia, kwa nyie wenye "vyeti " vinavyothibitisha kisomo na ujuzi ulionayo hamyawezi mambo haya. Mkaa inabidi ujitoe ufahamu.
 
Kuna jamaa tulikuwa tunashirikiana kulima bamia, nikampa zaidi ya Tsh 200,000 tangu 2019 mpaka leo jamàaa stori nyiiingi za kiswahili na pesa haijawahi kurudi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mtu mwenye hela halafu hajui aifanyie nini,Huyo mtu hata ukimshauri hatofanya unachomshauri na kama akifanya,hatofanikisha lazima kifeli na atarudi kwako akwambie ulimuingiza "chakike"

mtu timamu mwenye nia ya biashara (ujasiriamali),Kabla hajashika hata senti 5 tayari ana plan za biashara hata 20 kichwani mwake yani kabla hajaishika hela tyr hela ashajua ataifanyia nn endapo akiipata,Ila hawa ndugu zangu wanao uliza "wafanyeje" kwenye

hela walizonazo asee hawa ushauri pekee unaowafaa nikuwashauri "hiyo hela wanunue nyama choma wale" au watafute mtu anaejua cha kuifanyia wampe aitumie,Hawa ni type ya kina Laizer au wale wazee wa kubet "hela imewafikia ki suprise"
Kweli kak umenena hapo.
 
Jamn wajumbe wa JF me ninataka kufungua biashara ya chipsi,
Naomben ushauri wenu wajumbe naanzaje hapo
 
Utaenda kupoteza hela huko, Logistics za kuleta mkaa mjini lazma uwe CON-TAWA! Kuna hela nyingi sana utawaachia Maliasili hapo Road na lazma uwe na vibali vya kueleweka.

Sikukatishi tamaa ila nakupa alert. Hii michongo ya kupeana story vijiweni ishatu cost sana.
Asipokuelewa atakuelewa baadaye akiwa porini kama anodi jini full masizi

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu kuna hela nimeipata ipoo kama laki tano nataka niifanyie biashara ambayo itayonilipa

Angalau nisikose hela ya kula, hela ya kulipia chumba msaada wandugu mie ndo naanza maisha
 
Fungua kijiwe Anza kukaanga vipande vya kuku.
Kwa siku utalaza hela na utapata kitoweo humo humo.ndani ya mwezi na nusu hela itakua imerudi na zaidi.
Zingatia kutafuta kijiwe kilichochangamka Kama stendi/sokoni
 
Ndugu zangu kuna hela nimeipata ipoo kama laki tano nataka niifanyie biashara ambayo itayonilipa

Angalau nisikose hela ya kula, hela ya kulipia chumba msaada wandugu mie ndo naanza maisha
Biashara gani ulikua na idea nayo nikusaidie kupata Kwa jumla mkuu?
 
Back
Top Bottom