CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,001
- 23,449
Usipomrudshia itabd cheti chako apige nacho selfie tu (hana namna)Bond ni cheti cha Degree mkubwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipomrudshia itabd cheti chako apige nacho selfie tu (hana namna)Bond ni cheti cha Degree mkubwa!
Utaenda kupoteza hela huko, Logistics za kuleta mkaa mjini lazma uwe CON-TAWA! Kuna hela nyingi sana utawaachia Maliasili hapo Road na lazma uwe na vibali vya kueleweka.Pori gani mkuu? mkoa gani kabisa mtu ajitose
Ntamrudishia kweli wala sinaga kwereUsipomrudshia itabd cheti chako apige nacho selfie tu (hana namna)
achana na biashara ya mkaa kupata hela inabidi wewe mwenyewe ufanye kazi nyingi na ikiwezekana na kuuza pia, kwa nyie wenye "vyeti " vinavyothibitisha kisomo na ujuzi ulionayo hamyawezi mambo haya. Mkaa inabidi ujitoe ufahamu.Mkuu mkoa gani huu yaani ni sehemu gani naomba uniambie
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuna jamaa tulikuwa tunashirikiana kulima bamia, nikampa zaidi ya Tsh 200,000 tangu 2019 mpaka leo jamàaa stori nyiiingi za kiswahili na pesa haijawahi kurudi.
Kweli kak umenena hapo.Mtu mwenye hela halafu hajui aifanyie nini,Huyo mtu hata ukimshauri hatofanya unachomshauri na kama akifanya,hatofanikisha lazima kifeli na atarudi kwako akwambie ulimuingiza "chakike"
mtu timamu mwenye nia ya biashara (ujasiriamali),Kabla hajashika hata senti 5 tayari ana plan za biashara hata 20 kichwani mwake yani kabla hajaishika hela tyr hela ashajua ataifanyia nn endapo akiipata,Ila hawa ndugu zangu wanao uliza "wafanyeje" kwenye
hela walizonazo asee hawa ushauri pekee unaowafaa nikuwashauri "hiyo hela wanunue nyama choma wale" au watafute mtu anaejua cha kuifanyia wampe aitumie,Hawa ni type ya kina Laizer au wale wazee wa kubet "hela imewafikia ki suprise"
Hamna mtu anakuibia babe, uwe na amani jimbo linakusubiri wewe uliyepita bila kupingwa[emoji3][emoji3][emoji3]
Ila mimi nna wasiwasi na wewe, hawajakuiba kweli [emoji849]
Asipokuelewa atakuelewa baadaye akiwa porini kama anodi jini full masiziUtaenda kupoteza hela huko, Logistics za kuleta mkaa mjini lazma uwe CON-TAWA! Kuna hela nyingi sana utawaachia Maliasili hapo Road na lazma uwe na vibali vya kueleweka.
Sikukatishi tamaa ila nakupa alert. Hii michongo ya kupeana story vijiweni ishatu cost sana.
Ni juu yake sasa kama akiamua kukaza Ubongo au akiwa mwepesi kuelewa.Asipokuelewa atakuelewa baadaye akiwa porini kama anodi jini full masizi
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
wapi unanisubiri boss? Mama yake P kama muendelezo pitia uzi mzima boss kila kitu kipo umo tayari
Tuifaham kwanza taaluma/ujuzi wake ikiwezekana na hobby piaWewe unAwazo gani kwanza...toa wazo wewe kwanza nadhan ndo itapendeza
Haswaa...unaweza mshauri akaange kuku kumbe jamaa Sharobaro hajui hata kuwasha jiko...Tuifaham kwanza taaluma/ujuzi wake ikiwezekana na hobby pia
Biashara gani ulikua na idea nayo nikusaidie kupata Kwa jumla mkuu?Ndugu zangu kuna hela nimeipata ipoo kama laki tano nataka niifanyie biashara ambayo itayonilipa
Angalau nisikose hela ya kula, hela ya kulipia chumba msaada wandugu mie ndo naanza maisha
Upo mkoa gani?
Biashara gani ulikua na idea nayo nikusaidie kupata Kwa jumla mkuu?