OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Unadhani kila siku hao kuku ishirini wataisha?1.Tafuta sehemu yenye mkusanyiko wa watu wengi fungua banda la matunda hutojutia
2.fungua vijiwe hata vitano vya kukaanga kuku wa kisasa ambapo kila kijiwe kiuze angalau kuku ishirini tu kwa siku, hapa itabidi uwe na vijana wa kukusaidia kwa simu lipa 5000 kwa kila kijana
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app