Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nige anza na kufuga kuku wa nyama 100 na baada ya wk mbili nigeingiza batch ya pili tena kuku 100, na balance ya hio laki 5 naitumia kwa, chakula, matibabu
Ndugu wanaJF hasa vijana wenzungu tulio mtaani.
Nahitaji mtu aniandikie kwa umahiri kabisa business plan ukipewa mtaji wa shilingi laki tatu utafanya biashara gani? ukimaanisha mtaji wako ni shilingi laki tatu, bainisha mapato yako yatakua yapi, matumizi na faida yako kwa muda wa mwaka mmoja.
Mshindi nitampa hizo laki tatu kwa maandishi bila rehani yoyote na baada ya mwaka arejeshe pesa zangu hizo hizo laki tatu. Shindano hili ni la kweli halina mezengwe yoyote.
Tuma business plan yako sasa.
Ndugu wanaJF hasa vijana wenzungu tulio mtaani.
Nahitaji mtu aniandikie kwa umahiri kabisa business plan ukipewa mtaji wa shilingi laki tatu utafanya biashara gani? ukimaanisha mtaji wako ni shilingi laki tatu, bainisha mapato yako yatakua yapi, matumizi na faida yako kwa muda wa mwaka mmoja.
Mshindi nitampa hizo laki tatu kwa maandishi bila rehani yoyote na baada ya mwaka arejeshe pesa zangu hizo hizo laki tatu. Shindano hili ni la kweli halina mezengwe yoyote.
Tuma business plan yako sasa.
BUSSINESS PLAN
JINA: MAKUA
MAHALI: DAR ES SALAAM
JINA LA BIASHARA:
MMILIKI: MAKUA
AINA YA BIASHARA: MITO & PILLO SALES
MAHALI ILIPO BIASHARA: MAGOMENI-MWEMBECHAI
MTAJI: TSH 300000
MCHANGANUO WA BIASHARA
1: Kitambaa cha kushonea mito na pillo mita 9 @10,000*9= 90,000/=
2: shiti za nusu inch 5 @3500*5=17500/=
3: krashi/pamba kilo 35 2000*35=70000/=
4: uzi wa kushonea namba 3p @1500*2 =3,000
5: zipu mita 150 @400*15=6000
6: gund tsh. 3500
7: fundi mto mmoja tsh. 1500 *20=30000/=
Jumla 300,000/=
Nitapata mito 20 size 20 na pillo (mito midogo) 10
Mto mmoja tsh. 15,000*20=300,000/=
Pillo tsh. 7500*10=75,000
Kila baada ya wiki mbili natarajia kumaliza mito yote hivya nitapata tsh. 375,000
Faida itakuwa 75,000 kwa miezi miwila ambayo sawa na tsh. 150,000 kwa mwezi
Sawa na tsh. 1,800,000 kwa mwaka.
Nimejaribu kufanya hivyo.
Karibu tufanye forever living business kwa kuanzia mtaji wa laki 3 na sabini na tano
Fanya biashara ya kununua meli Japan uje kuuza huku