Kwa muda mfupi sana kiongozi wa Tanzania alipata maadui wengi sana

Kwa muda mfupi sana kiongozi wa Tanzania alipata maadui wengi sana

T


Diplomasia gani ya kiuchumi, unaongelea makinikia ama bandari ya bagamoyo.

Tatizo lako wewe nikama teja mlaunga DJ ukishakuita kamanda unajiona tayari unaakili kuiliko watuwote.
Teja la ukweli, ni lile teja lililolewa madaraka , kwa sasa lipo futi 6 chini juu mawe. Lilijiona bora sana, likajiona bila yeye Tz haiwezi kuwepo, Mungu kaliondoa, Tz inasonga mbele tena kwa furaha na amani. Shenzi lile
 
Boss kasome historia ya hizo inchi vzuri kabla hujazitolea mifano then urudi kuja kujenga hoja ukiwa na all the factors sio kukirupuka km ulivyofanya hapa...usiione Marekani ya Leo, imepitia misukosuko Mingi ikiwemo biashara ya Utumwa na Civil wars za kutosha...
Ujerumani na Adolf Hitler,
Ufaransa na Utawala wa kifalme e.g Louis XVI( kasome a great french revolution),
Spain na Utawala wa Dikteta Fransisco Franko,
Italy na dictator Musolini.
Hata Uingereza iliongozwa kifalme kwa Miaka mingi sana.
Kifupi Marekani na Ulaya ya Leo zimejengwa kwa misingi ya jasho na damu, wamepitia stages ambazo sisi hatujawahi kuzipita kufika hapo walipo.
Hilter pamoja na mabaya yake yote ila ndio aliewatenezea wajerumani culture ya kufanya kazi kwa bidii...Jamaa walichapika world war II ila now wanaongoza europe kwa kua na uchumi mkubwa.
Middle East yote inaongozwa ki dictator na familia za kifalme.
Ingalie Libya ya Ghadafi na a shit hole Libya ya Leo...Iraq ya Sadam na Iraq ya Leo.
Rwanda hio hapo pembeni yetu inapaa chini ya Kagame.
Sometime dictatorship is a necessary Evil.

Kifupi kuna stages lazima tuiipitie just to lay down the great foundation for the future generations ht km itatugharimu uhuru na damu.
Marekani na Ulaya hazitaki tupitie huko coz wanajua its a necessary step to achieve maendeleo ya kweli, wanataka tupoteze muda na demokrasia uchwara ili watuibie kweli kweli...[emoji3][emoji3]
Wazungu wana msemo " A pack of sheep led by a Lion will always win a fight against a pack of Lions led by a sheep".
Na sisi watanzania we heve lost a Lion, weather we a pack of sheep witout a Lion or or the otherway around that's for you to figure out.
kilichofanya Ulaya na Marekani kuenelea hayakuwa hayo madhila, ni ugunduzi wa teknolojia, elimu na kuchapa kazi. Ni kama mwanafunzi alikuwa akienda shuleni peku huku akipita vichochoroni kisha useme kilichomsaidia kufaulu ni kwenda shuleni peku na kupita vichochoroni, wala siuo juhudi zake za kusoma.

Nchi kama ya Ujerumani ilikuwa imeendelea saa kabla ya WW1 na Hitler, Hitle kaleta ushenzi wake ndipo akaiponza ujerumani ikageuzwa kuwa kifusi, kifusi kabisa. Yaani Africa ingefanywa vile ambavyo Ujerumani ilifanywa ingechukua miaka hata 100 ku recover, sababu ukoloni wenyewe tu bado unatumika kisingizio hadi leo

Ujerumani ya sasa yenye uchumi mkubwa Ulaya imejengwa katika misingi ya elimu utafiti na uchapaji wa kazi, sio udikteta wala mauaji, Ujerumani iliyokuwa ikiongozwa kidikteta ilikuwa Ujerumani ya Mashariki na iliachwa nyuma sana na Ujerumani ya Magharibi

kuna nchi kama South Korea na Singapore, nchi hizi zipo ulimwengu wa kwanza licha ya kuwa na umasikini mkubwa na kutawaliwa na wazungu kama sisi tulivyopitia, kilichowaenedeza sio udikteta wa kuuwa watu, ni elimu, utafiti, kufanya kazi.

Hivi kwanza Magufuli alibadilisha kitu gani haswa ambacho asingeeza kubadilisha b8ila kupora watu fedha zao na kuiba uchaguzi?
 
Hivi ninyi watu mmekubwa na nini hivi nchi zilizoendelea duniani ni China na Singapore pekee yake?Hivi hizo nchi za Asia unazotaja hapo unaweza zifananisha kwa kiwango bora cha maisha na nchi kama Finland, Denmark,Sweden,Norway na Netherlands? kwanini unahisi kigezo cha maendeleo sharti kiwe kwa njia za udhalimu na umwagaji damu?hii roho na akili ya kishenzi hivi mnaipata wapi?imeanza lini?mbona misingi ya taifa letu inaamini katika haki za binadamu?.
hUyo mpotoshaji huyo achana nae, Hiyo Singapore wala haiongozwi kidikteta ina mifumo mizuri tu ya kidemokrasia. China ndio linchi la kidikteta lisiloruhusu hata watu kuwa na Dini
 
Teja la ukweli, ni lile teja lililolewa madaraka , kwa sasa lipo futi 6 chini juu mawe. Lilijiona bora sana, likajiona bila yeye Tz haiwezi kuwepo, Mungu kaliondoa, Tz inasonga mbele tena kwa furaha na amani. Shenzi l
Kamanda...
 
Siwezi bishana kipumbavu kama unavyodhania,in fact uwezo wako wa kujenga hoja ni mdogo kuliko unavyodhani,unalobishania hulijui,unachojibu hujui pia.

Mwaka jana World Bank ili classify world's economies katika categories zifuatazo;

1:High Income Economies - Eg USA,CANADA, GERMANY..

2: Upper Middle Income Countries - Argentina, Georgia, Malaysia,China, Brazil, Turkey ...

3: LOWER Middle Income Economies - Comoro, Zimbabwe, Senegal,Tanzania, Djibouti Eswatini etc[emoji1][emoji1][emoji1]

4:Low income Economies - Burundi,Niger, Yemen, Somalia etc

Huo ndio uchumi wa kati sio?kula viazi tu na uji huko uliko[emoji1787]
hII middl;e income inapigiwa promo ila hata King Mswati ametupita, Zimbabwe na matatizo yao yote wametupita pia
 
Hakuheshimu katiba
Alizuia nyongeza ya mishahara ambayo ipo kikatiba.
Alionea sana watu
Wasiojulikana walishamiri
Kikokotoo cha uonevu
Ubinafsi(Airport kijijini kwake)
Kushamiri kwa kesi za uhujumu uchumi ili kuwasotesha watu jela.
Kutumia task force kuharibu biashara za watu.
Kukumbatia viongozi waovu.

Kunyang'anya UHURU wetu (halafu eti kila j.pili kanisani kutoa vijembe)

Kwani ilishindikana nini kufanya maendeleo bila kuyanfanya yote hayo hapo juu?

HE WAS WRONG.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kwa mfano ile airport ya Chato sasa ina kazi gani ya maana, kupunguza hasara labda wananchi wawe wanakaushia mazao yao kwenye njia ya kurukia ndege
 
Wewe usiwafanye watu wajinga Chama cha wafanyakazi kinauhusiano gani na siasa acha uujinga peleka huko kwa wenzio hukumu ndani sio size yako, unatengeneza maneno huenda hata elimu huna nenda kalime na upambane na maisha yako.
Sasa unabisha nini mkuu, TLS tu ilishavamiwa na kijani
 
Mwendazake alikua shetani


Unajua kuna wakati najiuliza nakosa majibu kuhusu mwendazake.

Hivi najiuliza kwanini alikua mkabila kiasi kile?Hivi inaingia akilini unateua watu wa kwenu tu na kupeleka miradi yote kwenu tu

Alinishangaza zaidi alivyobomoa nyumba kimara huku akizuia za mwanza akisema ni wapiga kura wake!!hapo najiuliza jee kwa kauli hii aliamini ukanda wake ndo wanaostahili kupewa kipaumbele?

Mwendazake hakua binadamu wa kawaida kama hakua binadam wa kawaida jamaa nahisi alikua mrundi duuuh


Mimi sijui hata ilikuaje akawa rais najiulizaga hadi leo, miaka michache tu nchi ikageuka jehanam ya kushughulika na wapinzani nchi ikayumba sekunde kadhaa

Haki ya mungu nawaambia angeendelea kuwepo hii nchi miaka michache mbeleni ingekuja kugeuka uwanja wa fujo au vita vya wenyewe kwa wenyewe sipachi picha huo uchato ungekuwaje km idea ya ukabila

Ilikua imefikia hatua hadi baadhi ya watu wa jamii yake ukimkosoa jpm wanakufuata inbox wanakutishia kifo kama ni mtandaoni au live ndo usiseme nilishawahi kutishiwa maisha na watu wa jamii yake mara nyingi tu yaani walijiona wao ndo raia na wenye haki wengine tulionekana kama wadudu tu ,takataka,wahujumu uchumi,mawakala wa mabeberu na maadui wa taifa

Asante mungu kwa kila hatua sijui ingekuaje.. eti mwendazake alikua na legacy acheni kuchekesha ndugu legacy ipi?

Hakua mtu wa kawaida, jamaa sidhan km ni mtanzania kamili ile roho hapana.




He was a devil
Kwanza kabisa ni wanachama wenzake ambao walishazoea kupiga madili makubwa. Hawa walishazoea kukwapua mabil ya shilingi na wao huona kama wamekwapua shilingi elfu moja. Hawa walishamchukia sana kwa kuziba mianya yao ya upigaji.

Pili ni wanasiasa wa upinzani ambao baada ya kusambaratisha vyama vyao nao wakawa hoi kisiasa. Na vyama vyao vikwa vimeyumba kisiasa na kiuchumi.

Tatu ni wananchi ambao wengi walimuona kama kiongozi ambae ni dikteta hawa wengi walidai kupoteza jamaa zao au ndugu zao kwa kile kilichodaiwa ni watu wasiojulikana.

Nne ni wafanyabiashara ambao walizoea kuhujumu uchumi kwa kutengeneza bidhaa bandia, kukwepa kodi, wengi walikamatwa na kukwepa kodi na walikuwa magerezani kwa kuhujumu uchumi

Tano ni matapeli na wapigaji hawa walishazoea kulipwa mabilioni ya senti kwa kuwa na kampuni za mfukoni na walikuwa wakilipwa hata kama hawajafanya kazi.

Kwa ujumla kiongozi alikuwa na maadui wengii sana kwa muda mfupi.

Hivi ndivyo Africa ilivyo.
 
S
Kwanza kabisa ni wanachama wenzake ambao walishazoea kupiga madili makubwa. Hawa walishazoea kukwapua mabil ya shilingi na wao huona kama wamekwapua shilingi elfu moja. Hawa walishamchukia sana kwa kuziba mianya yao ya upigaji.

Pili ni wanasiasa wa upinzani ambao baada ya kusambaratisha vyama vyao nao wakawa hoi kisiasa. Na vyama vyao vikwa vimeyumba kisiasa na kiuchumi.

Tatu ni wananchi ambao wengi walimuona kama kiongozi ambae ni dikteta hawa wengi walidai kupoteza jamaa zao au ndugu zao kwa kile kilichodaiwa ni watu wasiojulikana.

Nne ni wafanyabiashara ambao walizoea kuhujumu uchumi kwa kutengeneza bidhaa bandia, kukwepa kodi, wengi walikamatwa na kukwepa kodi na walikuwa magerezani kwa kuhujumu uchumi

Tano ni matapeli na wapigaji hawa walishazoea kulipwa mabilioni ya senti kwa kuwa na kampuni za mfukoni na walikuwa wakilipwa hata kama hawajafanya kazi.

Kwa ujumla kiongozi alikuwa na maadui wengii sana kwa muda mfupi.

Hivi ndivyo Africa ilivyo.
Sinahakika kama waliomchukia walikuwa wapigaji sijui nini mambo yote ulioyataja jamaa alikuwa muuonezi sana kwamfano mimi mvuvi ziwa tanganyika malizangu halali navua kwa leseni lakini aliteketeza mali zangu kwa kutafuta fedha tu baada ya kuziteketeza aliteka engine zangu nikazinunue kwake
Sasa huo nimfano uliotokea kwangu vipi nawengine wenyekazi zao halali alizivuruga maadui katengeneza yeyemwenyewe kifupi alikuwa mnyanganyi sana mola amnyooshe huko aliko
 
Kwanza kabisa ni wanachama wenzake ambao walishazoea kupiga madili makubwa. Hawa walishazoea kukwapua mabil ya shilingi na wao huona kama wamekwapua shilingi elfu moja. Hawa walishamchukia sana kwa kuziba mianya yao ya upigaji.

Pili ni wanasiasa wa upinzani ambao baada ya kusambaratisha vyama vyao nao wakawa hoi kisiasa. Na vyama vyao vikwa vimeyumba kisiasa na kiuchumi.

Tatu ni wananchi ambao wengi walimuona kama kiongozi ambae ni dikteta hawa wengi walidai kupoteza jamaa zao au ndugu zao kwa kile kilichodaiwa ni watu wasiojulikana.

Nne ni wafanyabiashara ambao walizoea kuhujumu uchumi kwa kutengeneza bidhaa bandia, kukwepa kodi, wengi walikamatwa na kukwepa kodi na walikuwa magerezani kwa kuhujumu uchumi

Tano ni matapeli na wapigaji hawa walishazoea kulipwa mabilioni ya senti kwa kuwa na kampuni za mfukoni na walikuwa wakilipwa hata kama hawajafanya kazi.

Kwa ujumla kiongozi alikuwa na maadui wengii sana kwa muda mfupi.

Hivi ndivyo Africa ilivyo.
usisahau wenye ndugu zao kwenye viroba
 
Mimi sio kamanda, mmekariri kila ambaye hakumkubali huyo jamaa yenu basi ni wa CHADEMA, AKILI FINYU
Hata hao makamanda wenzako hawamkubali huyo jamaayetu kama wewe tha's why your log in directly to team Nyumbu.
 
S

Sinahakika kama waliomchukia walikuwa wapigaji sijui nini mambo yote ulioyataja jamaa alikuwa muuonezi sana kwamfano mimi mvuvi ziwa tanganyika malizangu halali navua kwa leseni lakini aliteketeza mali zangu kwa kutafuta fedha tu baada ya kuziteketeza aliteka engine zangu nikazinunue kwake
Sasa huo nimfano uliotokea kwangu vipi nawengine wenyekazi zao halali alizivuruga maadui katengeneza yeyemwenyewe kifupi alikuwa mnyanganyi sana mola amnyooshe huko aliko
Kazi halali? Kwani kila uvuvi ni halali?
 
Hivi ni kweli umefanikiwa kufumba macho hata kugoma kuona maendeleo aliyoleta mpendwa Rais wetu wa awamu ya tano? Miaka 5 kabla hakuna aliyekuwa na ndoto za kuhamishia makao makuu dodoma! Leo hata hilo hulioni? Kama ni rahisi mbona wengine hawakuweza kulifanya? Reli standard gauge je huoni? Mradi wa kufua umeme kwenye bwana la mwl Nyerere-Stiglers George huna habari nalo? Kama ni hivyo utakuwa kipofu wa kujitakia ili kufurahisha mabeberu! Urithi aliotuachia JPM haufutiki vizazi na vizazi!!
Leo Tanzania tuko salama sana ukilinganisha na mataifa mengine kwenye Janga la corona kwa sababu JPM alituongoza kumtanguliza Mungu mbele ya jitihada na ujuzi wa kibinadamu! Wewe ukigoma kuyaona hayo, kuna mamilioni ya watanzania wanayaona!
Mimi hilo la kuhamishia makao Dodoma sikuona umuhimu wake kwa wakati huu wa maendeleo makubwa ya teknologia ya mawasiliano
 
Hata hao makamanda wenzako hawamkubali huyo jamaayetu kama wewe tha's why your log in directly to team Nyumbu.
Nyumbu ndio nyie mpo mitandaoni kila mara kusifu na kuabudu mfu... eti alichukiwa na watu wengi kama alikuwa muovu kwa nini asichukiwe?
 
Yani hata wewe ungekuwa na neema ungesamehe hayo unayoamini alikosea.

Ila kutokana na mioyo yenu kuwa migumu[emoji16][emoji16] joking mwana...

Magu yuko heaven anakunywa mvinyo wa mbinguni
Bible ninayoisoma inaniambia "OLE WAKE AMTGEMEAE MWANADAMU MWENZIYE" So wimbo wa upako wa cardinal P. haina maana. Kwamba hakuwa mbaya kiivyo ?! Mwema utawaporaJe wenzio uchaguzi . Huo ni uwizi kama uwizi mwingine. UtamminiaJe mwenzio magazine nzima ?!. Huo ni zaidi ya ujambazi . R I H
 
Back
Top Bottom