Kwa muda mfupi sana kiongozi wa Tanzania alipata maadui wengi sana

Kwa muda mfupi sana kiongozi wa Tanzania alipata maadui wengi sana

Wote wanaomnena vibaya JPM iwe kwa wazi au mioyoni mwao tu ni wale waliozoea kupiga na wenye vyeti fake na wasiofuata sheria!
Kwamba walijiingiza kazini wenyewe ?!. Alitakiwa awe mama yako akoswe na pension zake [emoji107]
 
Wachina walikwenda hivi kwa miaka isiyopungua 20 na leo tunawaona wako hapa ila sie miaka 5 tu ndg yetu washamuwaisha ahera, haitatokea tukajitegemea watanzania na daima tutaendelea kutawaliwa na kuonewa. Tumechukua upande wa wakataa pema sasa pabaya pametuita rasmi
Ujinga mtupu.
 
Well said kijana, naionea huruma Tz yangu tulikuwa tumeanza kupaa Sasa tumerudi tena ground
Kipindi cha Magufuli GDP ya Tanzania unajua iliongezeka kwa kiasi gani? kisha linganisha hiyo na kipindi cha Kikwete usisikilize sana propaganda za TBC
 
tunawezakuwa tunajadiri na kijana ambaye 2015 kushuka chini alikuwa hajazaliwa au hakuwa na ufahamu wa jambo lolote.

leo hii hayo uliyoorodhesha bado yapo,lakini sababu hutumii akili vizuri pia bado huwezi jua.
Dubwana lako limekufa, lilikuwa linajiona ni kubwa kuliko Tanzania, ila limekufa limeiacha Tanzania ipo salama kabisa. Shenzy type
 
Let me keep everything aside, what I know JPM was a real visionary leader, rest in pease Baba
 
Boss kasome historia ya hizo inchi vzuri kabla hujazitolea mifano then urudi kuja kujenga hoja ukiwa na all the factors sio kukirupuka km ulivyofanya hapa...usiione Marekani ya Leo, imepitia misukosuko Mingi ikiwemo biashara ya Utumwa na Civil wars za kutosha...
Ujerumani na Adolf Hitler,
Ufaransa na Utawala wa kifalme e.g Louis XVI( kasome a great french revolution),
Spain na Utawala wa Dikteta Fransisco Franko,
Italy na dictator Musolini.
Hata Uingereza iliongozwa kifalme kwa Miaka mingi sana.
Kifupi Marekani na Ulaya ya Leo zimejengwa kwa misingi ya jasho na damu, wamepitia stages ambazo sisi hatujawahi kuzipita kufika hapo walipo.
Hilter pamoja na mabaya yake yote ila ndio aliewatenezea wajerumani culture ya kufanya kazi kwa bidii...Jamaa walichapika world war II ila now wanaongoza europe kwa kua na uchumi mkubwa.
Middle East yote inaongozwa ki dictator na familia za kifalme.
Ingalie Libya ya Ghadafi na a shit hole Libya ya Leo...Iraq ya Sadam na Iraq ya Leo.
Rwanda hio hapo pembeni yetu inapaa chini ya Kagame.
Sometime dictatorship is a necessary Evil.

Kifupi kuna stages lazima tuiipitie just to lay down the great foundation for the future generations ht km itatugharimu uhuru na damu.
Marekani na Ulaya hazitaki tupitie huko coz wanajua its a necessary step to achieve maendeleo ya kweli, wanataka tupoteze muda na demokrasia uchwara ili watuibie kweli kweli...[emoji3][emoji3]
Wazungu wana msemo " A pack of sheep led by a Lion will always win a fight against a pack of Lions led by a sheep".
Na sisi watanzania we heve lost a Lion, weather we a pack of sheep witout a Lion or or the otherway around that's for you to figure out.
Mwenyewe unajiona umeandiiiiiika
 
Hatuwezi kurudi kule kwenye enzi za ujima eti kisa ndivyo wachina walivyoendelea.
Toa na mifano ya mataifa mengine makubwa basi, au huyaoni? USA, Ujerumani, Ufaransa, UK, Hispania nk.
Ukatili, uonevu ,kuua wenzako kwa kisingizio cha maendeleo haikubaliki.
Isitoshe alikuwa mpigaji kama wapigaji wengine.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hawa wapumbavu kila siku kututolea mifano ya Libya na China, as if ndio mataifa pekee yaliyoendelea, mbona wasitolee Korea na Singapore
 
Wachina walikwenda hivi kwa miaka isiyopungua 20 na leo tunawaona wako hapa ila sie miaka 5 tu ndg yetu washamuwaisha ahera, haitatokea tukajitegemea watanzania na daima tutaendelea kutawaliwa na kuonewa. Tumechukua upande wa wakataa pema sasa pabaya pametuita rasmi
Hapana. Aliyemuwahisha ahera ni Mungu mwenyewe,maana Mungu wa watanzania anachukia mtu mbabe, katili na asiye heshimu katiba aliyoapa kuilinda. Asante Mungu wa Tanzania kwa kuwa unatupenda waja wako.
 
sijui una umri gani kiongozi,ila wewe ni kati ya watu wazima wajinga sana.

nyinyi wazembe wachache ndio matokeo ya tz hii ilipo zaidi ya miaka 50 ya uhuru.
Mbona inaonekana kama wewe huko kama huyo uliyetumia lugha mbaya dhidhi yake, hayo maneno jiambie wewe
 
..Vyama vya siasa hupenda kupenyeza watu wao ktk vyama vya wafanyakazi, wanafunzi, etc etc.

..Sio jambo la ajabu chama cha kijani, au kile kingine, kuwa na interest na uchaguzi wa viongozi wa chama cha wafanyakazi.
Umejibu vyema sana mkuu
 
Back
Top Bottom