Pitia hizo nakala utaelewa kwanini binadam apendi mabadaliko na ndio maana kwenye course za management/uongozi module ya ‘change management’ inafundishwa jinsi ya kupambana na resistance na namna sahihi ya kuleta mabadaliko.
Watanzania wamezoea kuongezewa mishahara mara kwa mara hata kama nchi aina uwezo.
Wahitimu vyuoni wamezoea kupata ajira serikalini
Kuna watu wamezoea kufanya biashara na serikali tu
Wafanyabiashara awajazoea kufuata accounting procedures kwa mujibu wa sheria na wala awajui legal implication zake za kutofanya ivyo
Kuna watu wamezoea udokozi serikalini wa mali za umma, kutofuata government policies kwenye utendaji wa kila siku, uzembe makazini, viongozi wasiopewa targets; etc.
Kuna raia wa kawaida walishazoea kutapeli wenzao kirahisi bila ya kuchukuliwa hatua za kisheria au kufanya biashara za magendo with ease.
Kuna vyama vya siasa ambavyo wanadhani mikutano ya hadhara ni haki yao hata baada ya uchaguzi.
Kuna vyombo vya habari vilizoea kuandika bias reports zenye kuutungia uongo upande fulani au kumchafua mtu au kutunga story tu ambayo aina ukweli wowote.
Mambo yote hayo hapo juu hayakubaliki hata nchi zilizoendelea sisi kwetu ni norm. Magufuli alianza kubadili hayo now change is not easy kama hizo nakala zinavyoelezea it takes time people to accept the new norm na watu walishaanza kukubali taratibu, mother naona kama vile anataka kurudi nyuma.
View attachment 1766941