Wachina baada ya kuona population yao inavoongezeka kwa kasi, wakaja na sera ya kuzaa mtoto mmoja kwa kila wanandoa, lakini wakwetu sisi karuhusu wananchi wazaliane kwa kufyatua watoto kama matofaliChina na Tanzania kisera ni ardhi na mbingu usifananishe china na vitu vya kijinga kabisa mkuu
Tusilazimishane itikadi we kama alikutendea mema endelea na mapambio mimi niache freesijui una umri gani kiongozi,ila wewe ni kati ya watu wazima wajinga sana.
nyinyi wazembe wachache ndio matokeo ya tz hii ilipo zaidi ya miaka 50 ya uhuru.
CHINA YA CHATOHata china walikuwepo kama wewe na hawakuzuia kitu
Wewe ni nani
Hatukukutuma ubumbe cheti fekiCHINA YA CHATO
Ndugu tulikuwa tumefika mbali sana.Uchaguzi wa chama cha wafanyakazi unahusiana vp na kua chama cha kijani?
Motion ya huyo hayati wenu haikua na uelekeo wa kutupeleka uchina,ngoma ilikuwa inaelekea ZIMBABWE acheni kufananisha uharo na futari.
NIPO WAZI KABISA SIKUMPENDA JAMAA YENU HAKUWA KIONGOZI RAFIKI WA WATANZANIA.
Kabla huyu mwamba wenu hajaingia madarakani nilikuwa nikienda kumsalimia bibi kule nyanungu kwa kupita mbugani basi ilikuwa nalipa 30000 mpaka Tarime.Kwanza kabisa ni wanachama wenzake ambao walishazoea kupiga madili makubwa. Hawa walishazoea kukwapua mabil ya shilingi na wao huona kama wamekwapua shilingi elfu moja. Hawa walishamchukia sana kwa kuziba mianya yaou ya upigaji.
Pili ni wanasiasa wa upinzani ambao baada ya kusambaratisha vyama vyao nao wakawa hoi kisiasa. Na vyama vyao vikwa vimeyumba kisiasa na kiuchumi.
Tatu ni wananchi ambao wengi walimuona kama kiongozi ambae ni dikteta hawa wengi walidai kupoteza jamaa zao au ndugu zao kwa kile kilichodaiwa ni watu wasiojulikana.
Nne ni wafanyabiashara ambao walizoea kuhujumu uchumi kwa kutengeneza bidhaa bandia, kukwepa kodi, wengi walikamatwa na kukwepa kodi na walikuwa magerezani kwa kuhujumu uchumi
Tano ni matapeli na wapigaji hawa walishazoea kulipwa mabilioni ya senti kwa kuwa na kampuni za mfukoni na walikuwa wakilipwa hata kama hwajafanya kazi.
Kwa ujumla kiongozi alikuwa na maadui wengii sana kwa muda mfupi.
Hivi ndivyo Africa ilivyo.
Magufuli na yeye alikuwa akipiga sana kafariki akiwa na pesa nyingi sanaWell said kijana, naionea huruma Tz yangu tulikuwa tumeanza kupaa Sasa tumerudi tena ground
Na mungu akampenda sana akamtwaa akiwa Kijana bado,mshahara Wa dhambi ni mauti.Hata yeye hakutaka umpende...
Tuliomwelewa tulimpenda....
RIP mwamba
Udhalimu wake ni namna mnavyohisi kuhusika katika tukio la Lissu, Saanane na mnaodai walipotea? Au mnamhusisha na masuala gani ambayo unaweza kuyatolea ushahidi?
. ..Kuwachukia makabila ya kaskazini.JPM was kind of a leader.. Alikosea na Kuharibu reputation yake..
..Alipoendekeza ukabila.
..kuminya demokrasia
..kutotaka kosolewa
Kila kitu tu kilipanda bei sio ilo tu wakati huo akuna ongezeko la mishahara, makampuni yanapunguza wafanyakazi, serikali Ajira hakuna.....uku serikali ikitangaza viwanda kuongezeka sjui maelfu mangapi nchini ndani ya miaka 5 😂😂😂😂Kabla huyu mwamba wenu hajaingia madarakani nilikuwa nikienda kumsalimia bibi kule nyanungu kwa kupita mbugani basi ilikuwa nalipa 30000 mpaka Tarime.
Alipoingia tu mwamba garama ikapanda ikafika 50000 eti wanaopita huko wote walipishwe kama watalii Wa ndani.
,utadhani anawakatia majani hao wanyama.kwa hili Mimi nkageuka kuwa adui wake.
Mungu ni mkali aisee aendelee kuwepo tuNa mungu akampenda sana akamtwaa akiwa Kijana bado,mshahara Wa dhambi ni mauti.
Kama chaguzi za vyuoni tu (DARUSO,UDOSO,n.k) CCM huwa wanaziingilia na kupachika mamluki wao madarakani,sembuse vyama vya wafanyakazi?Watu wengine huamua kutafuta kick
Kwa maelezo ya kipuuzi uliyotoa siwezi kusoma upuuzi.
Pitia hizo nakala utaelewa kwanini binadam apendi mabadaliko na ndio maana kwenye course za management/uongozi module ya ‘change management’ inafundishwa jinsi ya kupambana na resistance na namna sahihi ya kuleta mabadaliko.
Watanzania wamezoea kuongezewa mishahara mara kwa mara hata kama nchi aina uwezo.
Wahitimu vyuoni wamezoea kupata ajira serikalini
Kuna watu wamezoea kufanya biashara na serikali tu
Wafanyabiashara awajazoea kufuata accounting procedures kwa mujibu wa sheria na wala awajui legal implication zake za kutofanya ivyo
Kuna watu wamezoea udokozi serikalini wa mali za umma, kutofuata government policies kwenye utendaji wa kila siku, uzembe makazini, viongozi wasiopewa targets; etc.
Kuna raia wa kawaida walishazoea kutapeli wenzao kirahisi bila ya kuchukuliwa hatua za kisheria au kufanya biashara za magendo with ease.
Kuna vyama vya siasa ambavyo wanadhani mikutano ya hadhara ni haki yao hata baada ya uchaguzi.
Kuna vyombo vya habari vilizoea kuandika bias reports zenye kuutungia uongo upande fulani au kumchafua mtu au kutunga story tu ambayo aina ukweli wowote.
Mambo yote hayo hapo juu hayakubaliki hata nchi zilizoendelea sisi kwetu ni norm. Magufuli alianza kubadili hayo now change is not easy kama hizo nakala zinavyoelezea it takes time people to accept the new norm na watu walishaanza kukubali taratibu, mother naona kama vile anataka kurudi nyuma.
View attachment 1766941
Hujanilazimisha poa. Ila nini maana ya pitia?Nilikulazimisha kusoma?
We ni mgeni ndani ya nchi hii?au bado kinda?Uchaguzi wa chama cha wafanyakazi unahusiana vp na kua chama cha kijani?
Anaemwita nwenzie mjinga Mimi huwa namweka kwenye kundi la mashogasijui una umri gani kiongozi,ila wewe ni kati ya watu wazima wajinga sana.
nyinyi wazembe wachache ndio matokeo ya tz hii ilipo zaidi ya miaka 50 ya uhuru.
Hivi huwa mnalazilishwa kuchangia?Ungetakiwa ku-ignore post yote baada ya kuona upuuzi. Hukuwa na sababu ya kuimaliza.