King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Jasusi ameshistukiwa, kashakula Mpunga kutoka kwa JIWE, mwambie mtu wako hata akifanya kampeni hawezi kupunguza kura za Lissu, yeye kwa sasa ni ligi ndogo, Maalim kashasema uchaguzi ukifanyika atazidiwa kura na "MZEE WA UBWABWA".wao wamekuwa wakitoa matamko midomoni mwao wakati katiba inatamka mtu akitoa hayo matamko kajivua uanachama wameshajivua uanachama kinachosubiri ni wao kuvuliwa ugombea tu haraka sababu sio wanachama