Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 1,117
- 3,153
Si mliguswa kwenye tozo mkapiga kelele...mi hata sijaelewa concept yakoAsilimia 32 ya bajeti ni mikopo.
Bajeti ya mwaka ujao yaweza zidi hapo
Tanzania yatakiwa ikusanye angalau Tril 35, tatizo kubwa ni siasa, walipa kodi wachache, wengi wameachwa na hawaguswi sababu ndo wapiga kura
Tozo ni double taxationSi mliguswa kwenye tozo mkapiga kelele...mi hata sijaelewa concept yako
Kutokana na taarifa za TRAB na TRAT hili deni ni stahimilivu!Kwa miaka 5 Magufuli alikopa Trilioni 36, wastani wa Trilioni 7 kwa mwaka.
Magufuli alipofariki mwaka jana mwezi March aliacha Deni la Taifa liko Trilioni 71.
Toka mwaka jana Mwezi Aprili hadi October mwaka huu kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania Deni la Taifa limeongezeka kwa Trillioni 20 na kufikia Trilioni 91.
Hii ni wastani wa kukopa Trilioni 1.05 kwa mwezi, ama wastani wa kukopa Trilioni 13 kwa mwaka. Kwa miaka 4 atakayokua madarakani hadi 2025 ataacha deni la Trilioni 51 na jumla ya Deni la taifa litakua Trilioni 122
Ndugai alikua sahihi, hii nchi ipo siku itapigwa mnada.
View attachment 2441891
Elewa wakopwaji ni tofauti ...Hakuna mtu atakukopesha kama hukipi Deni,elewa Hilo.
Alisema lini hakopi?,ebu weka ushahidi kwa manufaa ya umma.Mhh kumbe marehemu alikuwa anakopa mbona alisema hakopi Bali anatumia fedha za ndani? Ule uongo ulikuwa ni kwa faida ya Nani?
Mkuu tuna kopa kwa wazungu wazungu hawana shida kwenye kuwalipa wao pesa kwao siyo tatizo tatizo kwao ni kutofata masharti yao.Hakuna mtu atakukopesha kama hukipi Deni,elewa Hilo.
Madarasa na vituo vya AfyaMimi mwenyewe nimeshindwa kuelewa matumizi ya hiyo trilioni 20 za Mkopo.
Kwani makusanyo yetu hizo trilioni 2/mwezi zinatumika kufanya Nini?
Tra ni figure za mdomoni na kwenye makaratasi mkuu hakuna kitu mkuu hao jamaa nowdays wanavuna na kuweka mifukoni mwao tuSawa tuu Wala Hakuna shida Cha msingi madeni yanalipwa..
Good enough ndani ya huo huo mwaka na nusu mapato ya TRA kwa mwezi yamehama kutoka Til.1.3 Hadi Til.2 kwa Mwezi na TRA imekuwa inavunja rekodi ya makusanyo jumla..
Halikadhalika makusanyo jumla ya serikali yangeongezeka pia so Wala Hakuna shida.
Soma hapa 👇
Wangekuwa wanavuna na kuweka mikononi mwao Mipango na miradi ya Nchi ingekwama Sasa Kama inaenda seems wanachoweka mikononi mwao Ni kiduchu Sana kumbuka wanawekewa Target lazima wafikishe targetTra ni figure za mdomoni na kwenye makaratasi mkuu hakuna kitu mkuu hao jamaa nowdays wanavuna na kuweka mifukoni mwao tu
Kakudanganya Nani? Kwa taarifa yako Nchi ambako Tzn Ina Deni kubwa Ni Iran Sasa Iran wanaweka masharti gani?Mkuu tuna kopa kwa wazungu wazungu hawana shida kwenye kuwalipa wao pesa kwao siyo tatizo tatizo kwao ni kutofata masharti yao.
Mhh kumbe marehemu alikuwa anakopa mbona alisema hakopi Bali anatumia fedha za ndani? Ule uongo ulikuwa ni kwa faida ya Nani?
Watanzania sijui mnataka nini mpewe!? Si mlisema Mama anafungua Nchi na mnataka pesa iongezeke mtaani!? Sasa ndiyo Mama yuko busy kuleta pesa kitaa vumilieni Sasa!!Kwa miaka 5 Magufuli alikopa Trilioni 36, wastani wa Trilioni 7 kwa mwaka.
Magufuli alipofariki mwaka jana mwezi March aliacha Deni la Taifa liko Trilioni 71.
Toka mwaka jana Mwezi Aprili hadi October mwaka huu kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania Deni la Taifa limeongezeka kwa Trillioni 20 na kufikia Trilioni 91.
Hii ni wastani wa kukopa Trilioni 1.05 kwa mwezi, ama wastani wa kukopa Trilioni 13 kwa mwaka. Kwa miaka 4 atakayokua madarakani hadi 2025 ataacha deni la Trilioni 51 na jumla ya Deni la taifa litakua Trilioni 122
Ndugai alikua sahihi, hii nchi ipo siku itapigwa mnada.
View attachment 2441891
“Juzi mama ameenda kukopa 1.3 trilioni. hivi ipi bora. Sisi Watanzania wa miaka 61 ya uhuru kuzidi kukopa na madeni au tubanane banane hapa hapa, tujenge wenyewe bila madeni haya makubwa makubwa haya yasiyoeleweka. Ni lini sisi tutafanya wenyewe ‘and how’ (na kwa vipi). Sasa 2025 mtaamua mkitoa waliopo nayo sawa waje watakaokuwa kazi yao kwenda kukopa, endapo hiyo namna ya ku-run nchi (kuongoza nchi) hivi sasa deni letu ‘seventy trilioni’ (Sh70 trilioni). hivi nyinyi si wasomi ‘is that healthy’ (hiyo ni afya). Kuna siku nchi itapigwa mnada hii”
Huwezi kumsikia mdini Zitto akiongelea lolote