Kwa mwaka 1 na miezi 9 Serikali ya Samia imeokoa Trilioni 20

Kwa mwaka 1 na miezi 9 Serikali ya Samia imeokoa Trilioni 20

HIVI NI KWELI DENI LA TAIFA LIMEFIKA TRILLIONI 91.?

Uko Twitter na Jamii forum kuna watu washaanza kumsingizia Hayati Rais Magufuli, sasa niliweke sawa jambo hili, baada ya kifo cha Hayati Rais Magufuli,Waziri wa fedha alitoa taarifa kuhusu deni la Taifa nami nanukuu;-

"Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba leo amewasilisha bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023.

Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hadi Aprili 2022, deni la Serikali lilikuwa shilingi trilioni 69.44 ikilinganishwa na shilingi trilioni 60.72 kipindi kama hicho mwaka 2021."

Shame on you mnaemsingizia Marehemu.
 
Asilimia 32 ya bajeti ni mikopo.

Bajeti ya mwaka ujao yaweza zidi hapo
Tanzania yatakiwa ikusanye angalau Tril 35, tatizo kubwa ni siasa, walipa kodi wachache, wengi wameachwa na hawaguswi sababu ndo wapiga kura
Si mliguswa kwenye tozo mkapiga kelele...mi hata sijaelewa concept yako
 
Heading ya uzi huu imenivutia sana.

====​

Kwa mwaka 1 na miezi 9 Serikali ya Samia imeokoa Trilioni 20​

 
Mikopo ikijenga SGR na Nyerere Dam na barabara mpya za lami haina shida sio kuishia mifukoni mwa watu!
 
Kwa miaka 5 Magufuli alikopa Trilioni 36, wastani wa Trilioni 7 kwa mwaka.

Magufuli alipofariki mwaka jana mwezi March aliacha Deni la Taifa liko Trilioni 71.

Toka mwaka jana Mwezi Aprili hadi October mwaka huu kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania Deni la Taifa limeongezeka kwa Trillioni 20 na kufikia Trilioni 91.

Hii ni wastani wa kukopa Trilioni 1.05 kwa mwezi, ama wastani wa kukopa Trilioni 13 kwa mwaka. Kwa miaka 4 atakayokua madarakani hadi 2025 ataacha deni la Trilioni 51 na jumla ya Deni la taifa litakua Trilioni 122

Ndugai alikua sahihi, hii nchi ipo siku itapigwa mnada.

View attachment 2441891

Kutokana na taarifa za TRAB na TRAT hili deni ni stahimilivu!
 
Mhh kumbe marehemu alikuwa anakopa mbona alisema hakopi Bali anatumia fedha za ndani? Ule uongo ulikuwa ni kwa faida ya Nani?
Alisema lini hakopi?,ebu weka ushahidi kwa manufaa ya umma.
 
Wamama wanapenda sana kukopakopa.Hata huku mitaani wa mama wanasababisha migogoro ya kifamilia kwa kuwa wanakopakooa hovyo na hakuna cha maana wanachofanya kama huyu hangaya anavyofanya haya madudu yake.Wtz tuukatae huu uhuni wa hangaya.
 
Sawa tuu Wala Hakuna shida Cha msingi madeni yanalipwa..

Good enough ndani ya huo huo mwaka na nusu mapato ya TRA kwa mwezi yamehama kutoka Til.1.3 Hadi Til.2 kwa Mwezi na TRA imekuwa inavunja rekodi ya makusanyo jumla..

Halikadhalika makusanyo jumla ya serikali yangeongezeka pia so Wala Hakuna shida.

Soma hapa 👇
Tra ni figure za mdomoni na kwenye makaratasi mkuu hakuna kitu mkuu hao jamaa nowdays wanavuna na kuweka mifukoni mwao tu
 
Tra ni figure za mdomoni na kwenye makaratasi mkuu hakuna kitu mkuu hao jamaa nowdays wanavuna na kuweka mifukoni mwao tu
Wangekuwa wanavuna na kuweka mikononi mwao Mipango na miradi ya Nchi ingekwama Sasa Kama inaenda seems wanachoweka mikononi mwao Ni kiduchu Sana kumbuka wanawekewa Target lazima wafikishe target
 
Mkuu tuna kopa kwa wazungu wazungu hawana shida kwenye kuwalipa wao pesa kwao siyo tatizo tatizo kwao ni kutofata masharti yao.
Kakudanganya Nani? Kwa taarifa yako Nchi ambako Tzn Ina Deni kubwa Ni Iran Sasa Iran wanaweka masharti gani?
 
Kwa miaka 5 Magufuli alikopa Trilioni 36, wastani wa Trilioni 7 kwa mwaka.

Magufuli alipofariki mwaka jana mwezi March aliacha Deni la Taifa liko Trilioni 71.

Toka mwaka jana Mwezi Aprili hadi October mwaka huu kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania Deni la Taifa limeongezeka kwa Trillioni 20 na kufikia Trilioni 91.

Hii ni wastani wa kukopa Trilioni 1.05 kwa mwezi, ama wastani wa kukopa Trilioni 13 kwa mwaka. Kwa miaka 4 atakayokua madarakani hadi 2025 ataacha deni la Trilioni 51 na jumla ya Deni la taifa litakua Trilioni 122

Ndugai alikua sahihi, hii nchi ipo siku itapigwa mnada.

View attachment 2441891
Watanzania sijui mnataka nini mpewe!? Si mlisema Mama anafungua Nchi na mnataka pesa iongezeke mtaani!? Sasa ndiyo Mama yuko busy kuleta pesa kitaa vumilieni Sasa!!
 
Na lini tulifanya wenyewe????ucziamini zle fix za jiwe
“Juzi mama ameenda kukopa 1.3 trilioni. hivi ipi bora. Sisi Watanzania wa miaka 61 ya uhuru kuzidi kukopa na madeni au tubanane banane hapa hapa, tujenge wenyewe bila madeni haya makubwa makubwa haya yasiyoeleweka. Ni lini sisi tutafanya wenyewe ‘and how’ (na kwa vipi). Sasa 2025 mtaamua mkitoa waliopo nayo sawa waje watakaokuwa kazi yao kwenda kukopa, endapo hiyo namna ya ku-run nchi (kuongoza nchi) hivi sasa deni letu ‘seventy trilioni’ (Sh70 trilioni). hivi nyinyi si wasomi ‘is that healthy’ (hiyo ni afya). Kuna siku nchi itapigwa mnada hii”
 
Back
Top Bottom